Hivi kwanini mwendokasi huduma zinakuwa mbovu na wao ni monopoly?

Hivi kwanini mwendokasi huduma zinakuwa mbovu na wao ni monopoly?

SISI HUWA TUNAANGALIA BENEFITS ZETU ZA LEO [emoji753][emoji753]

KESHO ITAJITEGEMEA WAKATI KESHO INAANDALIW NA JANA NA JUZI


Kungekuw na usimamiz mzuri kabsa hii biashara ilitakiw iwe next level na iwe 24HRS usiku kabisa wangekuw na vi mwendo kasi vidogo vko available system zikaw update and efficiently lakn kampun inazeek utazan madaras ya shule za msingi

WA Tz labda tukabidhi watu binafs wafanye biashara hizo wakina Kilimanjaro, Dar express
 
Basi moja inabeba watu si chini ya 350 during rush hours. Nauli ndogo ni 750. Per trip ni 262,500 hio ya kuishia Kimara tu. Chukulia basi kumi zifanye mzunguko huo mara 6 kuanzia saa 10 jioni hadi saa 3 usiku.

Roughly 262,500x10x6=15,750,000 hio ni Gerezani - Kimara one way hujahesabia kurudi. Ukiweka nenda rudi manaake unazungumzia 25M.

Kivukoni-Kimara nako upate 15,750,000 one way. Ukiweka nenda rudi maanake unazungumzia 30M kwa traffic ya ferry.

Hapo sijagusa ya mbezi mwisho ambayo ni 400x350=140,000
Ukiweka mabasi 10 yaende 6 trip kila moja ni 140,000x10x6 =8,400,000 hio ni one way Kimara-Mbezi tu during rush hours. Ukiweka 2 way maana yake inaweza gonga 12M.

Sijazungumzia less profitable routes kama Moroco, Muhimbili na Mwenge. Tuchukulie zote combined two ways zilete 23M tu during rush hours.

Twende kwenye hesabu ya jumla sasa.
Kwa masaa 5 tu ya jioni kuanzia saa 10.

Kimara-Gerezani: 25M
Kivukoni-Kimara: 30M
Kimara-Mbezi: 12M
Muhimbili-Morroco-Mwenge: 23M
SUB Totals================90M

Routes asubuhi: 70M
Routes jioni: 90M
TOTAL================160M

EXPENSES
FUEL. 20M
MISC. 5M (25)

NET==================135M

Humo una justify vipi kwamba umeshindwa nunua basi? Hio ni hesabu ya siku tu. Fanya kwa mwezi mzima utagundua kuwa hizo basi zinaweza generate 4.05B ukitoa mishahara ya kulipa staff wote, maintanance na vipuri utagundua the company makes around 2.5 Billions each month on average.

Basi moja la kichina sidhani kama linazidi 300M na hununui kila siku. Kwanini wanashindwa kununua gari hawa jamaa? Hivi wabongo ni nini tunaweza kusimamia wenyewe kikaenda bila ngendembwe? Ni aibu tupu!
"Ngozi nyeusi ina laana milele"

UMUGHAKA wa baghaka
 
[emoji3591] Nitajie mradi mmoja tu wa serikali ambao unaendeshwa kwa weledi na kwenda kama unavyotakiwa.

[emoji3591] Nitajie kitu ambacho sisi Wabongo tulishawahi kuanzisha na kikaenda vizuri.

[emoji3591] Nitajie taasisi au shirika lo lote la serikali ambalo linafanya kazi inavyopaswa. Labda NIDA! [emoji16][emoji16][emoji16]

Nipo nimekaa paleee [emoji117][emoji117][emoji117]
 
[emoji3591] Nitajie mradi mmoja tu wa serikali ambao unaendeshwa kwa weledi na kwenda kama unavyotakiwa.

[emoji3591] Nitajie kitu ambacho sisi Wabongo tulishawahi kuanzisha na kikaenda vizuri.

[emoji3591] Nitajie taasisi au shirika lo lote la serikali ambalo linafanya kazi inavyopaswa. Labda NIDA! [emoji16][emoji16][emoji16]

Nipo nimekaa paleee [emoji117][emoji117][emoji117]
Maswali kuntu mzee wa mitulingas

Ukijibiwa uni tag

Ova
 
HUu mradi ulijengwa kwa fedha ya mkopo sio hela ya ndani So Baada ya kukamilika na miaka kadhaa kupita Hyo hela inatakiwa irudi Ndio hvyo Wakipata pesa wanalipa deni mzee sisi huku uraiani tunaona wanapiga hela lakin Tukienda huku kujua zaidi Tutaona Mengi zaidi bora tukae kimya tu tuache wafanye kazi yao ...ni hayo tu
 
[emoji3591] Nitajie mradi mmoja tu wa serikali ambao unaendeshwa kwa weledi na kwenda kama unavyotakiwa.

[emoji3591] Nitajie kitu ambacho sisi Wabongo tulishawahi kuanzisha na kikaenda vizuri.

[emoji3591] Nitajie taasisi au shirika lo lote la serikali ambalo linafanya kazi inavyopaswa. Labda NIDA! [emoji16][emoji16][emoji16]

Nipo nimekaa paleee [emoji117][emoji117][emoji117]
Haitokaa ipatikane kwanza wenyewe kwa wenyewe wanakwamishana, kuna mtu wiki iliyopita kafwatilia cheti cha kuzaliwa akaambiwa rita aende na kitambulisho cha nida na wala si namba ya nida, huku nida wenyewe sijui hata kama wanafotoa tena hvo vitambulisho, sasa unawaza rita ina serikali yake isiyotaka namba kutoka nida yenye serikali yao nyingine ama vipi,
Tanzania bado sana
 
Haitokaa ipatikane kwanza wenyewe kwa wenyewe wanakwamishana, kuna mtu wiki iliyopita kafwatilia cheti cha kuzaliwa akaambiwa rita aende na kitambulisho cha nida na wala si namba ya nida, huku nida wenyewe sijui hata kama wanafotoa tena hvo vitambulisho, sasa unawaza rita ina serikali yake isiyotaka namba kutoka nida yenye serikali yao nyingine ama vipi,
Tanzania bado sana

Tumefika mahali ukienda kwenye hizi taasisi ukapata huduma inavyostahili unashangaa.

Juzi nimekwenda mahali nikahudumiwa kwa weledi sana mdada yule yaani yuko so professional. Ilibidi nimuulize kama yeye ni mgeni na kama ni Mtanzania...Aliishia kunipa namba yake na pengine siku moja nitamtoa out tukale angalau kitimoto [emoji16][emoji16][emoji16]

Unaingia kwenye taasisi ya serikali watu wamenuna utafikiri umeenda kuwakopa hela wakati wameajiriwa pale ili kuhudumia Watanzania wenzao. Nchi ya ajabu sana hii!
 
Back
Top Bottom