New City
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 2,880
- 3,794
NIDA! , labda kama umemaanisha kile kiwanda cha wahindi cha kutengeneza khanga[emoji3591] Nitajie mradi mmoja tu wa serikali ambao unaendeshwa kwa weledi na kwenda kama unavyotakiwa.
[emoji3591] Nitajie kitu ambacho sisi Wabongo tulishawahi kuanzisha na kikaenda vizuri.
[emoji3591] Nitajie taasisi au shirika lo lote la serikali ambalo linafanya kazi inavyopaswa. Labda NIDA! [emoji16][emoji16][emoji16]
Nipo nimekaa paleee [emoji117][emoji117][emoji117]