Hivi kwanini mwendokasi huduma zinakuwa mbovu na wao ni monopoly?


Tabu yote ya nini hiyo mkuu...

Mamlaka tu ya udhibiti ingeweka masharti magumu na muendeshaji akikiuka anapokwa kazi...
 
Hata wewe ukiwekwa hapo uwezi kusimamia mtu mweusi asome asomavio zaidi ataabulia kuongea kingereza na kuvaa suti kwa me na kwa ke ataabulia kuvaa kimini na mawigi kichwani kubandika kucha za bandia tu habari ya usimamizi tuwaachie weupe
Msile sana
 

Hakuna…..Na hawana ushindani kwenye kuendesha mradi basi anayeteseka ni mwananchi
 
Inachokera ni ile hali ya mtu kusimama kuanzia saa 10 hadi saa 12 uko foleni gari haziji na njia haina foleni. Wakati kulikuwa na uwezekano after every 10 minutes gari inatoka.
Kati ya vitu vinakera ni kusimama foleni kama tunaomba misaada Kwa wahindi pindi tunasubiria gari
 
mleta uzi nadhani kwa kiasi kikubwa yuko sahihi ingawa sometimes hesabu zinaweza kuwa kazidisha kidogo ila ukweli ni kwamba mradi unaingiza hela na demand ni kubwa wameshindwa kuwa wabunifu kutumia kadi na kuongeza idadi ya mabasi thats it , vinginevyo Bongo ingekua kama mbele tu. Kwa jinsi yanavyojaza na watu kubambiana huwezi kuwa na akili timamu ukaacha gari yako home upande mwendo kasi BIG NO
 
Systematic corruption and colluding to steal are the main challenge of the organisations and others alike.
 
Boss kwenye watu 350 per bus per trip nadhan hesabu haziko sawa hapa. Yale mabasi ni makubwa ndio lakin sidhan kama watafika abiria hao 350.

Kwengine sijaendelea
 
ni kipi ambacho Watanzania tumeweza kukiendesha kwa mafanikio kikawa mfano kwa wengine?..

ukipata jibu la hili swali basi utajua kwanini mwendokasi imetushinda
 
Hizo hesabu ni exaggeration
Kweli too much exaggeration. Haiwezekani ikawa rush hour kutoka Kimara to Gerezani/Ferry at the same time iwe rush hour kutoka Gerezani/Ferry to Kimara.
 
Tabu yote ya nini hiyo mkuu...

Mamlaka tu ya udhibiti ingeweka masharti magumu na muendeshaji akikiuka anapokwa kazi...
Kwa uzoefu wa jinsi tunavyofanya mambo yetu hiyo naona itachukuwa muda sanaa, angalia TTCL Vs makampuni mengine ya simu yanavyokimbiza...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…