Tukiongea ule ukweli kabisa hawana uwezo wanafanya mziki kitajiri , kiufupi hata wanachoimba hakisikiki . Mfumo wa mziki wanaoimba ni nchi kama Jamaica ila jamaa hawana mashairi mazuri labda wakaimbie matajiri na watalii .
Unataka kusema nyimbo gani wameimba hata kiitikio kikabamba ? Kiufupi wanachanganya lugha kama sio watanzania , sikiliza ile nyimbo yao kamatia chini 😀...John makini anapiga hizo za Jamaica sana ila anaelekewa sauti inatoka kabisa ila hao wenzetu hata kiswahili hakieleweki.
Uwezo mdogo , angalia beat aliyoipiga Nahrel kwenye nyimba ya weusi ''gere'' ila bado weusi wameimba wakasikika ndani ya beat yenye nguvu ila wao binafsi na mkewe beat ikiwa juu wanatafuna maneno : Mfano kwenye kamatia chini na ile walioimba na Diamond.