Hivi kwanini Nahreel na Aika hawapati sapoti ya kutosha Bongo ili hali wako na sound ya tofauti kuzidi wasanii wengi wa kwenye A list

Hivi kwanini Nahreel na Aika hawapati sapoti ya kutosha Bongo ili hali wako na sound ya tofauti kuzidi wasanii wengi wa kwenye A list

Itakua issue n mitonyo tu.. wasanii wa kibongo kumlipa producer hua mbinde.
. .. Joh Makin alipotea mara tu baada ya Nahreal kuacha kumpigia midundo n issue inasemekana ilikua mitonyo
Kumbe... Kwahiyo jamaa alikua analeta uhome boy sio😅😅
 
Tukiongea ule ukweli kabisa hawana uwezo wanafanya mziki kitajiri , kiufupi hata wanachoimba hakisikiki . Mfumo wa mziki wanaoimba ni nchi kama Jamaica ila jamaa hawana mashairi mazuri labda wakaimbie matajiri na watalii .

Unataka kusema nyimbo gani wameimba hata kiitikio kikabamba ? Kiufupi wanachanganya lugha kama sio watanzania , sikiliza ile nyimbo yao kamatia chini 😀...John makini anapiga hizo za Jamaica sana ila anaelekewa sauti inatoka kabisa ila hao wenzetu hata kiswahili hakieleweki.

Uwezo mdogo , angalia beat aliyoipiga Nahrel kwenye nyimba ya weusi ''gere'' ila bado weusi wameimba wakasikika ndani ya beat yenye nguvu ila wao binafsi na mkewe beat ikiwa juu wanatafuna maneno : Mfano kwenye kamatia chini na ile walioimba na Diamond.
Mkuu "MANZESE" BONGE LA DUDE
 
Kuna kitu unajaribu kushindana nacho na hutakuja kufanikiwa hata siku moja. Kujaribu kumuelewa na kufuatilia kila aina ya mziki ukiwa na lengo la kutafuta ukuburudishe.

Simuelewi Khadija Kopa anachoimba na Taarabu kiujumla ila haimaanishi ni mziki mbaya na msanii mbaya pia.

Pale Wasafi wana msanii anaitwa D Voice mimi simuelewi ila naamini ana fanbase yake.

Kuna rapa Marekani aliwahi sema "This shit is not for everybody.".

Don't try to be everybody, utakosoa hata pazuri.
Sasa mbona iko wazi Navy kenzo hawaeleweki rejea mada husika🤣🤣...Mfano ile kamatia chini wameimba nn pale ?
 
Tukiongea ule ukweli kabisa hawana uwezo wanafanya mziki kitajiri , kiufupi hata wanachoimba hakisikiki . Mfumo wa mziki wanaoimba ni nchi kama Jamaica ila jamaa hawana mashairi mazuri labda wakaimbie matajiri na watalii .

Unataka kusema nyimbo gani wameimba hata kiitikio kikabamba ? Kiufupi wanachanganya lugha kama sio watanzania , sikiliza ile nyimbo yao kamatia chini 😀...John makini anapiga hizo za Jamaica sana ila anaelekewa sauti inatoka kabisa ila hao wenzetu hata kiswahili hakieleweki.

Uwezo mdogo , angalia beat aliyoipiga Nahrel kwenye nyimba ya weusi ''gere'' ila bado weusi wameimba wakasikika ndani ya beat yenye nguvu ila wao binafsi na mkewe beat ikiwa juu wanatafuna maneno : Mfano kwenye kamatia chini na ile walioimba na Diamond.
Tatizo sio wewe mkuu tatizo ni "Tanga" nyie huko zenu Taarab,singeli,mchiriku,mnanda na baikoko sio rahisi kusikiliza na kuelewa mziki wa Navy.

Yani watu wenye ngoma kama Company,Morning,Why now,Manzese,Game,Fella useme hawajui? Leta album yoyote unayoiona bora bongo hivi karibuni ikiwezekana hata miaka 10 iliyopita halafu nikuwekee album za Navy Kenzo, watu wajudge nani ni wasanii na nani ni wanamziki!

Navy Kenzo ndio maana halisi ya mziki, na ukija kwenye uproducer Nahreel ni mikono iliyobarikiwa anzia Riz one,Shem lake njoo kwenye ngoma za Weusi ambao tangu waache kutoa mziki kwa Nahreel mara ya mwisho kutoa nyimbo nzuri angalau kwa Luffa!
 
Tatizo sio wewe mkuu tatizo ni "Tanga" nyie huko zenu Taarab,singeli,mchiriku,mnanda na baikoko sio rahisi kusikiliza na kuelewa mziki wa Navy.

Yani watu wenye ngoma kama Company,Morning,Why now,Manzese,Game,Fella useme hawajui? Leta album yoyote unayoiona bora bongo hivi karibuni ikiwezekana hata miaka 10 iliyopita halafu nikuwekee album za Navy Kenzo, watu wajudge nani ni wasanii na nani ni wanamziki!

Navy Kenzo ndio maana halisi ya mziki, na ukija kwenye uproducer Nahreel ni mikono iliyobarikiwa anzia Riz one,Shem lake njoo kwenye ngoma za Weusi ambao tangu waache kutoa mziki kwa Nahreel mara ya mwisho kutoa nyimbo nzuri angalau kwa Luffa!
Soma kichwa za uzi utaelewa usilete ushabiki ,sasa niambia wanaimba mziki gani?

Navy kenzo wameanza mziki lin? Kuwa mtanga kuna uhusiano gani ?🤣🤣Ukweli hamna uwezo wao ni mdogo wangekuwa juu ,huwezi kufananisha na Diamond hata robo hwafiki acheni unafiki...Uzungu mwingi ila hamna mnachojua.
 
Soma kichwa za uzi utaelewa usilete ushabiki ,sasa niambia wanaimba mziki gani?

Navy kenzo wameanza mziki lin? Kuwa mtanga kuna uhusiano gani ?🤣🤣Ukweli hamna uwezo wao ni mdogo wangekuwa juu ,huwezi kufananisha na Diamond hata robo hwafiki acheni unafiki...Uzungu mwingi ila hamna mnachojua.
Acheni ujuha
Hivi kila kitu why mfananishe na huyo diamond? Diamond mwenyewe kashajichokea siku hizi

Kama hujui wimbo wa diamond ule Nana nahreel ndiyo aliproduce ila diamond akaleta uswahili wa kufuta signature yake.

Jamaa wanajua mziki sana ngoma zao ziko unique na beat ni expectional
 
Acheni ujuha
Hivi kila kitu why mfananishe na huyo diamond? Diamond mwenyewe kashajichokea siku hizi

Kama hujui wimbo wa diamond ule Nana nahreel ndiyo aliproduce ila diamond akaleta uswahili wa kufuta signature yake.

Jamaa wanajua mziki sana ngoma zao ziko unique na beat ni expectional
Wanaimba mziki gani? Unajua kwamba Juma nature alikuwa anaimba mziki tofauti na bongo fleva ila alikuwa anahit sana?
 
Nahreel ndiyo producer ambaye angeupeleka muziki wetu panapotakiwa sio hawa s2kizzy kazi kidogo Kiki nyingi sana

Fuatilia hata weusi walipoondoka kwa nahreel ndiyo kimoja hivyo wamepotea .

Joh makini tangu aondoke kwa Nahreel ndiyo mpaka leo anahangaika hangaika tu
Kwa producer nakuja 100 ila mziki hayuko poa ,kipaji hakuna .Majani alishakuwa kwenye ngoma na Madee ila anajua sio kipaji chake .
 
Back
Top Bottom