Tatizo sio wewe mkuu tatizo ni "Tanga" nyie huko zenu Taarab,singeli,mchiriku,mnanda na baikoko sio rahisi kusikiliza na kuelewa mziki wa Navy.
Yani watu wenye ngoma kama Company,Morning,Why now,Manzese,Game,Fella useme hawajui? Leta album yoyote unayoiona bora bongo hivi karibuni ikiwezekana hata miaka 10 iliyopita halafu nikuwekee album za Navy Kenzo, watu wajudge nani ni wasanii na nani ni wanamziki!
Navy Kenzo ndio maana halisi ya mziki, na ukija kwenye uproducer Nahreel ni mikono iliyobarikiwa anzia Riz one,Shem lake njoo kwenye ngoma za Weusi ambao tangu waache kutoa mziki kwa Nahreel mara ya mwisho kutoa nyimbo nzuri angalau kwa Luffa!