Hivi kwanini nguvu kubwa inatumika kwa mama Samia?

Hivi kwanini nguvu kubwa inatumika kwa mama Samia?

ntuchake

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2024
Posts
408
Reaction score
1,549
Katika kipindi chote tangu Tanzania ipate uhuru, hakuna kipindi ambacho raisi amekuwa akipromotiwa sana kama huyu mama. Licha ya kumpromote sana lakini wananchi wanaonesha bado hawamkubali. Sasa ivi kila page ya serekali wanabandika mapicha ya mama.

Waswahili wanasema kizuri chajiuza kibaya chajitembeza. Mama afanye kazi aache kutumia pesa ya serikali kujipamba mbona Magufuli alikua anapiga kazi inaonekana na raia tukamkubali bila matangazo? Hii nchi ina matatizo mengi mama aache kufuja pesa za uma.
 
Katika kipindi chote tangu Tanzania ipate uhuru, hakuna kipindi ambacho raisi amekuwa akipromotiwa sana kama huyu mama. Licha ya kumpromote sana lakini wananchi wanaonesha bado hawamkubali. Sasa ivi kila page ya serekali wanabandika mapicha ya mama. Waswahili wanasema kizuri chajiuza kiraya chajitembeza. Mama afanye kazi aache kutumia pesa ya serikali kujipamba mbona Magufuli alikua anapiga kazi inaonekana na raia tukamkubali bila matangazo?
Mbona Mama anakubalika kila sehemu wewe unaishi wapi?
 
Ni kwasabau sasa hv tunataka kuchagua raisi mzuri atakayelinufaisha taifa kama mama hatoshi hatuna budi kumchagua mtu mwingine

Mama ameshindwa kuwalipa fidia ya ardhi wakaazi wa msimbazi wenye ofa na hati. Watu kama hao unadhani watamchagua kweli.
 
Mbona Mama anakubarika kila sehemu wewe unsishi wapi?
Labda anakubalika nyumbani kwako na kwa chawa wenzako. Pia mitaani ndo utajua hali halisi achana na porojo za chawa kwenye social media. Chawa mmoja ana hesabu za social media zaidi ya 20 za kumtukuza mama tu
 
Hana mvuto
Hapendwi
Ana nyota ya bundi
Amefeli
Wanamuona shamba la bibi
 
Mbona Mama anakubalika kila sehemu wewe unaishi wapi?
Mama yako yupi anayekubalika wakati ye mwenyewe anajifungiaga ndani anaalia kwa kuona jinsi anavyochukiwa
 
Hana mvuto
Hapendwi
Ana nyota ya bundi
Amefeli
Wanamuona shamba la bibi
Naogopa kukuambia ukweli kwasbb nyie mtu akienda kinyume na mawazo yenu mnamita chawa ndo shida. Ila Raisi wetu kwa viwango vya uraisi wa Tanzania she is above average, na atashinda uchaguzi kwa kishindo.
 
Naogopa kukuambia ukweli kwasbb nyie mtu akienda kinyume na mawazo yenu mnamita chawa ndo shida. Ila Raisi wetu kwa viwango vya uraisi wa Tanzania she is above average, na atashinda uchaguzi kwa kishindo.
Chawaaaa😂😂😂😂
 
Wezi, mafisadi na watu wa kupindisha mambo ndo wanaompenda,,, ila kama haupo kwenye hayo makundi ngumu kumuelewa
 
Ni kwasabau sasa hv tunataka kuchagua raisi mzuri atakayelinufaisha taifa
kama mama hatoshi hatuna budi kumchagua mtu mwingine


Mama ameshindwa kuwalipa fidia ya ardhi wakaazi wa msimbazi wenye ofa na hati.
watu kama hao unadhani watamchagua kweli.
CCM wasimpitishe huyu mama kugombea tena. Akiongezewa miaka mitano tena Tanzania sijui itakua na hali gani!!!
 
Naogopa kukuambia ukweli kwasbb nyie mtu akienda kinyume na mawazo yenu mnamita chawa ndo shida. Ila Raisi wetu kwa viwango vya uraisi wa Tanzania she is above average, na atashinda uchaguzi kwa kishindo.
Waambie hao, namshuru mama nimepata 10gb kutoka voda.
 
Back
Top Bottom