Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Wasalaam nyote,
Tukubbali tukatae Rais Hassan. Anaupiga mwingi, πππππ
Niende kwenye mada moja kwa zote, katika harakati zangu za kuchangamana na watu mbalimbali sehemu nyingi katika mizunguko ya kikazi hasa ndani ya nchi si mara moja nimewasikia wakulungwa wakisema.
Mganga wa kienyeji awaye yeyote awe wa kitabu, tunguli, awe wa kurithi mizimu, akianza ufuska ama umalaya tu nguvu za tiba na ubora wake vinapotea, kupungua au kuexpire kabisa. Je umalaya unasumu gani kwenye tiba za uganga ?
Je kuna uhusiano gani kati ya hivi vitu nguvu za uganga na umalaya?
Wenye uzoefu au idea elimu asili na elimu tiba asili karibu kwa majibu tafadhari,
Wadiz
ccc. UMUGHAKA
ccc. Mshana Jnr
ccc. etc
Tukubbali tukatae Rais Hassan. Anaupiga mwingi, πππππ
Niende kwenye mada moja kwa zote, katika harakati zangu za kuchangamana na watu mbalimbali sehemu nyingi katika mizunguko ya kikazi hasa ndani ya nchi si mara moja nimewasikia wakulungwa wakisema.
Mganga wa kienyeji awaye yeyote awe wa kitabu, tunguli, awe wa kurithi mizimu, akianza ufuska ama umalaya tu nguvu za tiba na ubora wake vinapotea, kupungua au kuexpire kabisa. Je umalaya unasumu gani kwenye tiba za uganga ?
Je kuna uhusiano gani kati ya hivi vitu nguvu za uganga na umalaya?
Wenye uzoefu au idea elimu asili na elimu tiba asili karibu kwa majibu tafadhari,
Wadiz
ccc. UMUGHAKA
ccc. Mshana Jnr
ccc. etc