Hivi kwanini nguvu za waganga wa kienyeji wengi wakianza ufuska/umalaya nguvu zao za tiba zinaisha?

Hivi kwanini nguvu za waganga wa kienyeji wengi wakianza ufuska/umalaya nguvu zao za tiba zinaisha?

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Wasalaam nyote,

Tukubbali tukatae Rais Hassan. Anaupiga mwingi, πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™

Niende kwenye mada moja kwa zote, katika harakati zangu za kuchangamana na watu mbalimbali sehemu nyingi katika mizunguko ya kikazi hasa ndani ya nchi si mara moja nimewasikia wakulungwa wakisema.

Mganga wa kienyeji awaye yeyote awe wa kitabu, tunguli, awe wa kurithi mizimu, akianza ufuska ama umalaya tu nguvu za tiba na ubora wake vinapotea, kupungua au kuexpire kabisa. Je umalaya unasumu gani kwenye tiba za uganga ?

Je kuna uhusiano gani kati ya hivi vitu nguvu za uganga na umalaya?

Wenye uzoefu au idea elimu asili na elimu tiba asili karibu kwa majibu tafadhari,

Wadiz

ccc. UMUGHAKA
ccc. Mshana Jnr
ccc. etc
 
Uhalisia waganga hawanaga nguvu zozote .. ni janja janja za kisaikolojia na viini macho tu.

Kama unabisha weka password kwenye simu yako. Hakikisha unaijua peke yako hata mkeo wala mama yako haijui..

Kisha nenda kwa mganga.. mwambie apige ramli zake na dawa zake kisha aitoe password simu yako uone kama ataweza

Ndege ya malaysia airline mh 370 ilivyopotea lilitangazwa dau kwa waganga dunia nzima waseme iko wapi.. waganga kimyaaaa kama hawajaona tangazo vile
 
Wasalaam nyote,

Tukubbali tukatae Rais Hassan. Anaupiga mwingi, πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™

Niende kwenye mada moja kwa zote, katika harakati zangu za kuchangamana na watu mbalimbali sehemu nyingi katika mizunguko ya kikazi hasa ndani ya nchi si mara moja nimewasikia wakulungwa wakisema.

Mganga wa kienyeji awaye yeyote awe wa kitabu, tunguli, awe wa kurithi mizimu, akianza ufuska ama umalaya tu nguvu za tiba na ubora wake vinapotea, kupungua au kuexpire kabisa. Je umalaya unasumu gani kwenye tiba za uganga ?

Je kuna uhusiano gani kati ya hivi vitu nguvu za uganga na umalaya?

Wenye uzoefu au idea elimu asili na elimu tiba asili karibu kwa majibu tafadhari,

Wadiz

ccc. UMUGHAKA
ccc. Mshana Jnr
ccc. etc
Hi ni kwel lakin sijui kwann, mganga akizini na mteja ni kosa hata dawa yake haifanyi kazi, hasa uganga wa mizimu hautaki ufuska kabisa, ukijijua umefanya ufuska nenda kwa mganga mwenzio akuoshe
 
Wasalaam nyote,

Tukubbali tukatae Rais Hassan. Anaupiga mwingi, πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™

Niende kwenye mada moja kwa zote, katika harakati zangu za kuchangamana na watu mbalimbali sehemu nyingi katika mizunguko ya kikazi hasa ndani ya nchi si mara moja nimewasikia wakulungwa wakisema.

Mganga wa kienyeji awaye yeyote awe wa kitabu, tunguli, awe wa kurithi mizimu, akianza ufuska ama umalaya tu nguvu za tiba na ubora wake vinapotea, kupungua au kuexpire kabisa. Je umalaya unasumu gani kwenye tiba za uganga ?

Je kuna uhusiano gani kati ya hivi vitu nguvu za uganga na umalaya?

Wenye uzoefu au idea elimu asili na elimu tiba asili karibu kwa majibu tafadhari,

Wadiz

ccc. UMUGHAKA
ccc. Mshana Jnr
ccc. etc
Kama akili yako inaamini huo upumbavu basi huwezi kusema kama rais anaupiga mwingi ama lah maana huna akili ya kuchambua mambo.
 
Ngoja nikupe Siri sio Uganga tu Nguvu kubwa ya binadamu ya kiroho inaondoka Kwa kufanya mapenzi Ni rahisi kumloga mtu anaye Fanya Zinaa kuliko yule ambaye hazini Ni rahisi kufanikiwa mtu ambaye hafanyi Zinaa kuliko yule anayefanya zinaa shortly Mungu aliacha laana kweny zinaa
 
Wasalaam nyote,

Tukubbali tukatae Rais Hassan. Anaupiga mwingi, πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™

Niende kwenye mada moja kwa zote, katika harakati zangu za kuchangamana na watu mbalimbali sehemu nyingi katika mizunguko ya kikazi hasa ndani ya nchi si mara moja nimewasikia wakulungwa wakisema.

Mganga wa kienyeji awaye yeyote awe wa kitabu, tunguli, awe wa kurithi mizimu, akianza ufuska ama umalaya tu nguvu za tiba na ubora wake vinapotea, kupungua au kuexpire kabisa. Je umalaya unasumu gani kwenye tiba za uganga ?

Je kuna uhusiano gani kati ya hivi vitu nguvu za uganga na umalaya?

Wenye uzoefu au idea elimu asili na elimu tiba asili karibu kwa majibu tafadhari,

Wadiz

ccc. UMUGHAKA
ccc. Mshana Jnr
ccc. etc
Because when they share a bed with women they lose more electrons so their shells remain empty and can't function appropriately
 
Umalaya na ulevi uliopitiliza ni vitu viwili tofauti ambavyo havipatani kabisa na uganga. Vinaenda kuchafua na kushusha hadhi kabisa mpaka nguvu zote za kiroho za mhusika alizokuwa nazo zinapotea kabisa. Ivyo vitu havifai hata kidogo kwa mganga kuwa navyo.
 
Umalaya na ulevi uliopitiliza ni vitu viwili tofauti ambavyo havipatani kabisa na uganga. Vinaenda kuchafua na kushusha hadhi kabisa mpaka nguvu zote za kiroho za mhusika alizokuwa nazo zinapotea kabisa. Ivyo vitu havifai hata kidogo kwa mganga kuwa navyo.
Vipi kuhusu uvutaji wa sigara kwa Mganga?
 
Uhalisia waganga hawanaga nguvu zozote .. ni janja janja za kisaikolojia na viini macho tu.

Kama unabisha weka password kwenye simu yako. Hakikisha unaijua peke yako hata mkeo wala mama yako haijui..

Kisha nenda kwa mganga.. mwambie apige ramli zake na dawa zake kisha aitoe password simu yako uone kama ataweza

Ndege ya malaysia airline mh 370 ilivyopotea lilitangazwa dau kwa waganga dunia nzima waseme iko wapi.. waganga kimyaaaa kama hawajaona tangazo vile

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wasalaam nyote,

Tukubbali tukatae Rais Hassan. Anaupiga mwingi, πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™

Niende kwenye mada moja kwa zote, katika harakati zangu za kuchangamana na watu mbalimbali sehemu nyingi katika mizunguko ya kikazi hasa ndani ya nchi si mara moja nimewasikia wakulungwa wakisema.

Mganga wa kienyeji awaye yeyote awe wa kitabu, tunguli, awe wa kurithi mizimu, akianza ufuska ama umalaya tu nguvu za tiba na ubora wake vinapotea, kupungua au kuexpire kabisa. Je umalaya unasumu gani kwenye tiba za uganga ?

Je kuna uhusiano gani kati ya hivi vitu nguvu za uganga na umalaya?

Wenye uzoefu au idea elimu asili na elimu tiba asili karibu kwa majibu tafadhari,

Wadiz

ccc. UMUGHAKA
ccc. Mshana Jnr
ccc. etc
Ndo uweke Uzi humu MMU?
 
Back
Top Bottom