Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe haujui tupo vitani tayari?Unaona mambo yapo Sawa et ee?Ya nini mkuu? Hiyo ni silaha ya kivita ujue😀😀😀
Zamani mahakama ilikuwa haiingiliwi..sio km kipindi hiki wabaka watoto wanaachiwa bure ingawa walikutwa na hatia
Huyu jamaa kwangu bado ni shujaa sana lakini najiuliza hao wanaotaka kumpa Mwalimu utakatifu wanatumia vigezo gani ilhali mtu alikua ana sign hati za vifo?
Asante kwa mchango wako mkuu. Haina maana kwamba baada ya hukumu tu Mwamwindi alinyongwa. Bilashaka kuna taratibu nyingine nyiingi zilifuatwa baada ya hapo(sina hakika na suala la rufaa kwa vile alikiri mwenyewe maana kwenye murder rufaa ni automatic)Mwisho; Nahisi Mtoa maada hana ushahidi na uthibitisho kwa aliyoyaandika!
Raisi na Idara zilizokuwa chini yake zina utaratibu wake wa kufanya kazi.
ASISIKIE STORI ZA VIJIWENI AMBAZO MARA NYINGINE HAZINA UKWELI.
Kuna watu wengi tu ambao haku sign hati zao za kunyongwa na mwisho wa siku adhabu zao zikabadilishwa na kua vifungo vya maisha, japo kwangu mimi naona kifungo cha maisha ni adhabu ya kikatili sana kuliko watu wengi wanavyofikiriaKwani hata kama angechelewa kusaini hati si lazima angenyongwa tuuu, tena afadhali alivowahi kuliko angechelewa maana mtu angekuwa anaishi na stress za kusubiri kunyongwa.
Mahakama ikishatoa hukumu ya kunyongwa ile forn hupelekwa kwa rais akikubali kuisaini tuu ndo hukumu ya kitanzi ni hapo hapo na rais akikataa kuisaini tuu kinyongo cha mnyongwaji hupuga dang'adang'a ila anakuwa ameshikiliwa hadi hapo kesi watakapoamua tenaMahakama ndo ilioamua anyongwe baada ya kumkuta na hatia..Nyerere hausiki hapo
😀😀😀, kama ni vita ya kiuchumi inahitaji Kalashinakov ya mwaka 47 au Semi Automatic Riffle ya mwaka 58 mkuu?Wewe haujui tupo vitani tayari?Unaona mambo yapo Sawa et ee?
VeryInteresting
Mkuu nimekusoma between the lines, hoja yako inafikirisha😎Mwamwindi alikuwa ni BEBERU..! Hivi leo Mo akihukumiwa kunyongwa kwa kosa la kuua jiwe si atasaini hiyo hati hata saa tisa usiku na atavuta mtego yeye mwenyewe? Mabeberu ni wa kunyonga na kuteka tu..
😀😀😀Sio tu wanaachiwa bure.....!
Bali pia tunawaalika KIJIJINI kupata Chai na kupiga picha!
Wanasema watu wa Iringa si wamchezo mchezo mkuuWakati huo RC itakuwa hakuwa na ulinzi kama huyu wa DAR
Mie bubafsi siioni hoja ya kutuletea humu jf tujadili kwa sababu za msingi zifuatazo;
1. Anaposema nyerere alisaini hukumu ya kifo cha mwamwindi haraka.
- mtoa maada anaposema haraka, ana taarifa Ni siku ngapi Nyerere alisaini toka pale alipohukumiwa. Na anafikiri ingesainiwa siku ngapi baada ya hukumu kutolewa?
- je mtoa maada anajua kipindi ambacho Ni lazima Raisi awe amesaini hukumu ya kifo baada ya hukumu kutoka mahakamani?
- je mtoa maada ana taarifa za wengine ambao raisi aliwahisha au kuchelewesha kusaini hati zao za hukumu za kifo.
Swali kwa mtoa maada!
- Nyerere alisaini hukumu ya mwamwindi ya kifo baada ya siku ngapi tangu kuhukumiwa ili ilinganishwe kama iliwahishwa au kucheleweshwa!
- Mwamwindi alinyingwa siku ngapi baada ya Nyerere kusaini hati yake ya hukumu ili tujilidhishe kuwa aliwahisha!
Mwisho; Nahisi Mtoa maada hana ushahidi na uthibitisho kwa aliyoyaandika!
Raisi na Idara zilizokuwa chini yake zina utaratibu wake wa kufanya kazi.
ASISIKIE STORI ZA VIJIWENI AMBAZO MARA NYINGINE HAZINA UKWELI.
Sema kifo sio vifo maana ktk kukaa madarakani zaidi ya miongo mitatu aliasing hati ya kifo moja tu ya huyo mwammwindi. Usiniulize Mzee Ruksa alisaini ngapi kwa kipindi chake cha miaka kumiHuyu jamaa kwangu bado ni shujaa sana lakini najiuliza hao wanaotaka kumpa Mwalimu utakatifu wanatumia vigezo gani ilhali mtu alikua ana sign hati za vifo?
Sio viongozi wa Kiafrika tu, hivi unadha huko, kwa weupe ni nchi za zote hazina adhabu hii ya kunyonga.Kuna suala jingine, kuna kitu kinaitwa extra judicial killings, viongozi wengi wa Kiafrika inawezekana wakawa hawaonekani kwamba wana idhinisha hati za hukumu za vifo kwa waliohukumiwa adhabu hiyo lakini wameua sana katika mauaji yasio ya kisheria, kimyakimya