Hivi kwanini Nyerere aliidhinisha kunyongwa Mwamwindi?

Hivi kwanini Nyerere aliidhinisha kunyongwa Mwamwindi?

Sibishi kwamba alipatikana na hatia kama alivyokiri mwenyewe na hukumu aliyopata ni stahili yake. Hoja ni kwamba kwanini Nerere asi sign za wengine waliouwa kwa ukatili mkubwa na akaidhinisha Mwamwindi anyongwe haraka?
Sababu Aliua RC (MKUU WA MKOA)!.. hiyo ni dharau kubwa kwa serikali na nchi. Mengine ni dhahania tu, lakini kuua ni ukweli na yeye mwenyewe muuaji alikiri akiwa timamu!.
Wewe kama baba mwenye nyumba unatakiwa kutambua makosa gani ya kuyachukulia adhabu haraka na makosa gani ya kuyafanyia mchakato kutambua nia zake!. Lakini usisahau 'kuwalinda' wasaidizi wako dhidi ya watoto wako!.
 
Sababu Aliua RC (MKUU WA MKOA)!.. hiyo ni dharau kubwa kwa serikali na nchi. Mengine ni dhahania tu, lakini kuua ni ukweli na yeye mwenyewe muuaji alikiri akiwa timamu!.
Wewe kama baba mwenye nyumba unatakiwa kutambua makosa gani ya kuyachukulia adhabu haraka na makosa gani ya kuyafanyia mchakato kutambua nia zake!. Lakini usisahau 'kuwalinda' wasaidizi wako dhidi ya watoto wako!.
Very good point mkuu, nakubaliana na argument yako
 
Sibishi kwamba alipatikana na hatia kama alivyokiri mwenyewe na hukumu aliyopata ni stahili yake. Hoja ni kwamba kwanini Nerere asi sign za wengine waliouwa kwa ukatili mkubwa na akaidhinisha Mwamwindi anyongwe haraka?
Sesten una hypothesis unataka kuireject ama ? Mbona kama unajibu fulani unalitafutia justification! Huoni kilichofanyika ni sahihi na wakati wote rais anahitajika kusaini hati za kifo pale ambapo hukumu imetoka na hakuna rufaa iliyokatwa kwa kipindi cha muda fulani
 
KUTEMBEA NA MKE WA MWAMWINDI NI UONGO SI KWELI kulikuwepo na unyanyasaji aliwafanyia wenye mashamba makubwa pia siku ya kuuawa alitoa maneno ya kuudhi kwenye makabuli ya ndugu zake mwagito...... Rest in peace mnyalu
Thanks for the info and your version of the story Kabinti ka ludilo ,ingawa kuna hadithi nyingi za wazee wa Iringa zinasimulia kua hilo jambo la RC kutoka na mke wa Mwamwindi lilikuwepo na lilifahamika na watu wengi
 
ni kama leo

Nimchinje bashite kama nyama choma

Hebu imagine baba yake atakachonifanya ...

Kwanza lazima nienjoy na wale warwanda uchwara

Yatakayoendelea , mwaka mpya unakua unakula na mtukuf satan
 
Sesten una hypothesis unataka kuireject ama ? Mbona kama unajibu fulani unalitafutia justification! Huoni kilichofanyika ni sahihi na wakati wote rais anahitajika kusaini hati za kifo pale ambapo hukumu imetoka na hakuna rufaa iliyokatwa kwa kipindi cha muda fulani
James nakuelewa sana kaka ila nadhani hujaipata hoja yangu kwa ukamilifu

Labda nitoe mfano huu. Mimi nimekwepa kulipa kodi nikakamatwa na wewe pia ukakwepa kulipa kodi na ukakamatwa. Kitu amabacho hakitabishaniwa ni kwamba sote mimi na wewe tunamwakosa lakini mimi napata leniency kutoka mamlaka husika na wewe unaadhibiwa na wakati we all have committed the same offence?

Nimewaelewa vizuri sana na nakubaliana moja kwa moja na wanaotoa hoja kwamba Mwalimu alifanya vile ili kutoa fundisho na kuweka nidhamu katika nchi mtu asije kuingia mawazo ya kudhuru viongozi wa serikali na ionekane kama kitu cha kawaida
 
James nakuelewa sana kaka ila nadhani hujaipata hoja yangu kwa ukamilifu

Labda nitoe mfano huu. Mimi nimekwepa kulipa kodi nikakamatwa na wewe pia ukakwepa kulipa kodi na ukakamatwa. Kitu amabacho hakitabishaniwa ni kwamba sote mimi na wewe tunamwakosa lakini mimi napata leniency kutoka mamlaka husika na wewe unaadhibiwa na wakati we all have committed the same offence?

Nimewaelewa vizuri sana na nakubaliana moja kwa moja na wanaotoa hoja kwamba Mwalimu alifanya vile ili kutoa fundisho na kuweka nidhamu katika nchi mtu asije kuingia mawazo ya kudhuru viongozi wa serikali na ionekane kama kitu cha kawaida
Ok, sawa. Sesten unaweza Ku address post namba 13 ktk huu uzi.
 
Ok, sawa. Sesten unaweza Ku address post namba 13 ktk huu uzi.
Asante kwa mchango wako mkuu. Haina maana kwamba baada ya hukumu tu Mwamwindi alinyongwa. Bilashaka kuna taratibu nyingine nyiingi zilifuatwa baada ya hapo(sina hakika na suala la rufaa kwa vile alikiri mwenyewe maana kwenye murder rufaa ni automatic)

Inawezekana ilichukua muda hata wa miaka kadhaa kabda ya kutekelezwa hukumu hiyo kutokana na taratibu hizo. Suala ninalouliza na ambalo ni mashuhuri sana katika duru za historia japo sio za kuandikwa ni kwamba katika hati za kunyongwa ambazo Mwalimu alizi sign bila kujiuliza miongoni mwao ni hiyo ya Mwamwindi, hata kama adhabu ilikuja kutekelezwa miaka kadhaa baada ya hukumu

Kusema kwamba nikuletee takwimu za nani alinyongwa lini baada ya hukumu ni kuufifisha mjadala kwa sababu unajua kabisa kwamba siwezi kuwa nazo.

Humu JF hatujuani lakini inawezekana kabisa kuna watu wamo humu waliwahi kuhudumu katika maeneo ambayo wanaweza wakawa source ya kutupa historia ya nini hasa kilichoendelea kitu ambacho huwezi kupata katika kitabu chochote kilichoandikwa. Na wanafanya hivyo bila kutakiwa kutoa majina au utambulisho wao

THAT WAS MY REPLY TO THE SAID ARGUMENTS
 
Amri ya Tano inasema usiue ina maana hao waliokua wanaua walipingana na Mungu at the same time wakapewa utakatifu?Acha kukariri
Acha kuingilia dini mkuu, Daudi akiwa mfalme alipigana vita na kuua mamia kwa maelfu, lakini ni mtakatifu, Kadhalika wafalme wengi tu waliomfuata, hata Musa aliua watu pale bahari ya shamu, lakini ni mtakatifu. Mifano ipo mingi kwenye Quran na Biblia

Changia mada, acha kuingilia dini za watu mkuu.
 
Sio viongozi wa Kiafrika tu, hivi unadha huko, kwa weupe ni nchi za zote hazina adhabu hii ya kunyonga.

Marekani mpaka leo adhabu hii ipo, na watu wananyongwa sana msione kimya.
Ni kweli Wamarekani wanatekeleza sana hii adhabu na uzuri wao hawana double standards kwamba waangalie mkosaji ni nani au aliyeathiriwa ni nani ili i determine uharaka wa kutekelezwa adhabu husika
 
Thanks for the info and your version of the story Kabinti ka ludilo ,ingawa kuna hadithi nyingi za wazee wa Iringa zinasimulia kua hilo jambo la RC kutoka na mke wa Mwamwindi lilikuwepo na lilifahamika na watu wengi
1545834455206.png

hako kabint ni kadogo sana hakaelewe chochote, Said Mwamwindi alikuwa na wake zaidi ya wanne na walikaa miji tofauti, ingawa huyo wa hapo Isimani alikuwa si wa kuvutia na ni wale waliokuwa hawavai kiatu lkn kwa Dr ni kweli alikuwa na mmojawapo
sipendi kutoka nje ya mjadala tubakie ni kwanini Hati yake ilisiniwa haraka
Na tukumbuke Mwl JK Nyerere alisaini watu wawili 2 kunyongwa ingawa penginne wanasema watatu katika utawala wake
huyu ni kwa sababu alikuwa Mkuu wa mkoa na aliwakilisha Serikali
 
Sibishi kwamba alipatikana na hatia kama alivyokiri mwenyewe na hukumu aliyopata ni stahili yake. Hoja ni kwamba kwanini Nerere asi sign za wengine waliouwa kwa ukatili mkubwa na akaidhinisha Mwamwindi anyongwe haraka?
Tuwekee mifano ya waliosamehewa adhabu ya kifo ili tulinganishe.
 
View attachment 978090
hako kabint ni kadogo sana hakaelewe chochote, Said Mwamwindi alikuwa na wake zaidi ya wanne na walikaa miji tofauti, ingawa huyo wa hapo Isimani alikuwa si wa kuvutia na ni wale waliokuwa hawavai kiatu lkn kwa Dr ni kweli alikuwa na mmojawapo
sipendi kutoka nje ya mjadala tubakie ni kwanini Hati yake ilisiniwa haraka
Na tukumbuke Mwl JK Nyerere alisaini watu wawili 2 kunyongwa ingawa penginne wanasema watatu katika utawala wake
huyu ni kwa sababu alikuwa Mkuu wa mkoa na aliwakilisha Serikali
Mkuu asante sana kwa maelezo na pia picha ya Bwana Mwamwindi. Mambo haya tunajikumbusha au tunajifunza na mtu unapata mawazo na taarifa mpya kila siku kutoka kwa watu walio yaishi matukio kama haya, na kwa kufanya hivyo unajikuta maswali yako mengi yaliyopo kichwani kwa muda mrefu yanajibiwa
 
Tuwekee mifano ya waliosamehewa adhabu ya kifo ili tulinganishe.
Taarifa na ripoti zipo kila mahali kua katika kipindi cha miaka 23 ya Urais wake Mwalimu Nyerere ali sign hati chache sana kuidhinisha kunyongwa watu waliopewa adhabu hiyo na mahakama zetu

Auz ukiniambia nikuletee majina ya hao watu unajua kabisa siwezi kua nayo lakini haibatilishi ukweli kua Mwalimu haku sign hati za wahukumiwa wengi
 
Back
Top Bottom