Hivi kwanini nyoka hana miguu na anatembea? Na jongoo Hana macho lakini hajigongi wala hatembei na fimbo?

Hivi kwanini nyoka hana miguu na anatembea? Na jongoo Hana macho lakini hajigongi wala hatembei na fimbo?

Na mimi nakuiliza. Kwa nini wanyama wana mikia ya nyuma lakini binadamu hana?
Binadamu mkia anao ila mkia wa binadamu umepotelea ndani kwa ndani kwenye uti wa mgongo wako ndio mkia wako ulipo jichunguze, na sababu ni kwamba mkia hauna umuhimu tena kwa binadamu km ilivyo kwa wanyama wengine maana binadamu ni mnyama aliechangamka
 
Madhara ya kupiga mswaki masomo ya sayansi hususani biolojia ndio haya, nyoka/jongoo unajua anatembea vipi unajua kitu kinaitwa locomotive or locomotion unaelewa kitu kinaitwa movement unaelewa metabolic process? Hilo swali ni topic ya form 1 kwenye biolojia km ulidoji kipindi pole sana
Wewe uliosoma Biology upo wapi zaidi ya kuburuzwa na CCM kila siku?
 
Naombeni mnisaidie nimechoka kuwa mjuaji na kuumiza kichwa changu kwa swali ambalo wadau wana maswali aisee hivi kwanini nyoka hana miguu na anatembea na yawezekana anakimbia kuzidi binadamu? Na pia kwa jongoo hana macho na anatembea bila hata kujigonga na wala hatembei na fimbo? ?????
CCM wana Polisi, Majaji, Magereza, Mahakama lakini bado wanaiba, wanadhurumu, wanaingia mikataba ya hovyo
 
Binadamu mkia anao ila mkia wa binadamu umepotelea ndani kwa ndani kwenye uti wa mgongo wako ndio mkia wako ulipo jichunguze, na sababu ni kwamba mkia hauna umuhimu tena kwa binadamu km ilivyo kwa wanyama wengine maana binadamu ni mnyama aliechangam
Mkuu kwenye biology unaonekana umekwiva, sasa nitakuwa nakuuliza maswali magumu ili JF uione chungu zaidi ya shubiri.
 
Back
Top Bottom