Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tabora, right?Nipo kaliua
Hivi ndio shule kwanza zimefungwa..Naombeni mnisaidie nimechoka kuwa mjuaji na kuumiza kichwa changu kwa swali ambalo wadau wana maswali aisee hivi kwanini nyoka hana miguu na anatembea na yawezekana anakimbia kuzidi binadamu? Na pia kwa jongoo hana macho na anatembea bila hata kujigonga na wala hatembei na fimbo? ?????
Hilo ni swali la kihistoria ya makazi ya binadamu unaingia ndani kwenye jiografia masuala ya settlement n population distribution yaan hilo suali lako limezama ndani kijiografia na kihistoria zaidi sio kibiolojia kwa sana, nadhani kiufupi niseme hivyo naomba ulete swali lingine ukiuliza upuuzi nakujibu upuuziTuanzie hapa hapa.
Kwa nini binadamu wantofautiana lugha namna ya kuwasiliana (kwa njia ya sauti) lakini ng'ombe wa dunia nzima huelewana/hutoa sauti zinazofanana?
the great fimboyaukwajuBinadamu tuna mikia ya mbele tu AKA fimboyaukwaju.
YesTabora, right?
Nyoka hatembei..usijekuwa umemchanganya na mjusi..Naombeni mnisaidie nimechoka kuwa mjuaji na kuumiza kichwa changu kwa swali ambalo wadau wana maswali aisee hivi kwanini nyoka hana miguu na anatembea na yawezekana anakimbia kuzidi binadamu? Na pia kwa jongoo hana macho na anatembea bila hata kujigonga na wala hatembei na fimbo? ?????
Yes, tukutane PM.
Subhaana'llah1. Surah Taha (20:50):
"Mola wetu ni Yule aliyeupa kila kitu umbile lake, kisha akakiongoza."
Naanza na nyokaNaombeni mnisaidie nimechoka kuwa mjuaji na kuumiza kichwa changu kwa swali ambalo wadau wana maswali aisee hivi kwanini nyoka hana miguu na anatembea na yawezekana anakimbia kuzidi binadamu? Na pia kwa jongoo hana macho na anatembea bila hata kujigonga na wala hatembei na fimbo? ?????
Elimu yetu ina changamoto nyingi sana, sayansi ya form 2 -3 imeeleza vizuri sana tabia na sifa za viumbe watambaao (reptilia). Lakini kingine mambo yote haya yako wazi kabisa kwenye makala mbalimbali za kisayansi,tena kwa kiswahili, kwenye mitandao ya kijamii...Hukusoma classification bro? Mambo ya distinctive features
ya kuwa mtumwa wa ccm?Elimu yetu ina changamoto nyingi sana, sayansi ya form 2 -3 imeeleza vizuri sana tabia na sifa za viumbe watambaao (reptilia). Lakini kingine mambo yote haya yako wazi kabisa kwenye makala mbalimbali za kisayansi,tena kwa kiswahili, kwenye mitandao ya kijamii...