zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Binadamu mkia anao ila mkia wa binadamu umepotelea ndani kwa ndani kwenye uti wa mgongo wako ndio mkia wako ulipo jichunguze, na sababu ni kwamba mkia hauna umuhimu tena kwa binadamu km ilivyo kwa wanyama wengine maana binadamu ni mnyama aliechangamkaNa mimi nakuiliza. Kwa nini wanyama wana mikia ya nyuma lakini binadamu hana?
Simulizi za utotoni hizi kamba za Bibi wa kipindi cha Chei Chei Shangazi Redio RTDSi walibadilishana
Kama nyoka na jongoo waliweza kubadilishana hivyo vitu basi njoo mimi na wewe tubadilishane temperecha.Si walibadilishana
Wewe uliosoma Biology upo wapi zaidi ya kuburuzwa na CCM kila siku?Madhara ya kupiga mswaki masomo ya sayansi hususani biolojia ndio haya, nyoka/jongoo unajua anatembea vipi unajua kitu kinaitwa locomotive or locomotion unaelewa kitu kinaitwa movement unaelewa metabolic process? Hilo swali ni topic ya form 1 kwenye biolojia km ulidoji kipindi pole sana
CCM wana Polisi, Majaji, Magereza, Mahakama lakini bado wanaiba, wanadhurumu, wanaingia mikataba ya hovyoNaombeni mnisaidie nimechoka kuwa mjuaji na kuumiza kichwa changu kwa swali ambalo wadau wana maswali aisee hivi kwanini nyoka hana miguu na anatembea na yawezekana anakimbia kuzidi binadamu? Na pia kwa jongoo hana macho na anatembea bila hata kujigonga na wala hatembei na fimbo? ?????
Mkuu kwenye biology unaonekana umekwiva, sasa nitakuwa nakuuliza maswali magumu ili JF uione chungu zaidi ya shubiri.Binadamu mkia anao ila mkia wa binadamu umepotelea ndani kwa ndani kwenye uti wa mgongo wako ndio mkia wako ulipo jichunguze, na sababu ni kwamba mkia hauna umuhimu tena kwa binadamu km ilivyo kwa wanyama wengine maana binadamu ni mnyama aliechangam
Kama nyoka na jongoo waliweza kubadilishana hivyo vitu basi njoo mimi na wewe tubadilishane temperecha.
Experimental Questions only usiniulize maswali ya kipuuzi nitakujibu upuuziMkuu kwenye biology unaonekana umekwiva, sasa nitakuwa nakuuliza maswali magumu ili JF uione chungu zaidi ya shubiri.
Niko Mombasa kwa sasa.Uko wapi?
Ukonga-MombasaNiko Mombasa kwa sasa.
Ok nitafanya hivyo.Experimental Questions only usiniulize maswali ya kipuuzi nitakujibu upuuzi
Haya fanya hivyo usiniulize kwanini binadamu tunakunya mavi yananuka wakati tunakula chakula kinanukiaOk nitafanya hivyo.
La hasha niko 254.Ukonga-Mombasa
Umefikaje?La hasha niko 254.
Tuanzie hapa hapa.Haya fanya hivyo usiniulize kwanini binadamu tunakunya mavi yananuka wakati tunakula chakula kinanukia
Niko Mombasa kwa sasa.
Nilipitia Tanga.Umefikaje?
Yeah, wewe je.Kenya?
Nipo kaliuaYeah, wewe je.