Hivi kwanini Prof. Janabi asiwe Rais wa Jamuhuri ya watu wa Tanzania?

Hivi kwanini Prof. Janabi asiwe Rais wa Jamuhuri ya watu wa Tanzania?

Hatufai amekaa kiizraili mtoa roho, anajua mengi na ni msharika mkubwa wa msoga gang
 
Jamani kama Kuna wazee hili Taifa wenye kutia neno Mimi naomba mnisikilize na mtakuja sema Taifa lina manabii.
Prof Janabi ni kiongozi hanijuwi simjuwi ila kwa kazi anazifanya na uzalendo wake kwa watanzania Mimi nawaomba huyu jamaa apewe form atatupeleka kuwa nchi ya maziwa na asali.

Kule Marekani kuliwahi kuwepo Bencarson daktari bingwa wa upasuwaji. Japo hakupata ila kwakweli Janabi Prof nichuma
Prof Janabi amekuwa mkurugenzi alie fanya mabadiliko makubwa sana kwenye kila secta amepewa pale muhimbili pamepita wakurugenz wengi ila Prof Janabi amepadilisha sana sana.
Prof hana makuu na nimtu wa watu kama kweli tuna taka Rais huyu mwamba anaweza kuwa jibu lakizazi kipya na atakuwa naashirikiano makubwa na mataifa makubwa
Nyota ya huyu Prof sio ukurugenzi ni Urais wa Jamuhuri ya watu wa Tanzania. Sio sipendi kwenda na Samia hapana ila namuona Prof Janabi jembe sana na anaweza kututoa hapa tulipo kwa kufanya mabadiliko makubwa na Taifa hili kikawa na Neema za ajabu mm ni Mkiristo ila namuona Muislamu huyu ni WA wote hana udini ana upendo na watu wake anajitoa kwa Taifa lake ❤️🇹🇿
Haukuambiwa kwamba fomu ya ugombea urais itatolewa moja tu kwa CCM na ina jina kabisa?Kwa nini unataka kuanzisha songombingo?
NB;Walimu wameshainunua hiyo fomu.
 
Kama taasisi yake ameshindwa kuisimamia ataweza kusimamia Nchi?CAG Kila mwaka anaibua uozo muhimbili .kwanza kafanya kituko Cha kuweka camera fiche (CCTV)chooni sijui ndiyo aone wagonjwa wanavyokunya. Huduma mhimbili ni mbovu sana kama wewe siyo maarufu au cheo tofauti na Nchi nyingine.Huyo Bora aendelee na kazi yake ya kushauri watu wale maharage na maboga Kwa wingi
 
Jamani kama Kuna wazee hili Taifa wenye kutia neno Mimi naomba mnisikilize na mtakuja sema Taifa lina manabii.
Prof Janabi ni kiongozi hanijuwi simjuwi ila kwa kazi anazifanya na uzalendo wake kwa watanzania Mimi nawaomba huyu jamaa apewe form atatupeleka kuwa nchi ya maziwa na asali.

Kule Marekani kuliwahi kuwepo Bencarson daktari bingwa wa upasuwaji. Japo hakupata ila kwakweli Janabi Prof nichuma
Prof Janabi amekuwa mkurugenzi alie fanya mabadiliko makubwa sana kwenye kila secta amepewa pale muhimbili pamepita wakurugenz wengi ila Prof Janabi amepadilisha sana sana.
Prof hana makuu na nimtu wa watu kama kweli tuna taka Rais huyu mwamba anaweza kuwa jibu lakizazi kipya na atakuwa naashirikiano makubwa na mataifa makubwa
Nyota ya huyu Prof sio ukurugenzi ni Urais wa Jamuhuri ya watu wa Tanzania. Sio sipendi kwenda na Samia hapana ila namuona Prof Janabi jembe sana na anaweza kututoa hapa tulipo kwa kufanya mabadiliko makubwa na Taifa hili kikawa na Neema za ajabu mm ni Mkiristo ila namuona Muislamu huyu ni WA wote hana udini ana upendo na watu wake anajitoa kwa Taifa lake ❤️🇹🇿
Ili tunywe chai na pilipili? Fala wewe!!
 
Jamani kama Kuna wazee hili Taifa wenye kutia neno Mimi naomba mnisikilize na mtakuja sema Taifa lina manabii.
Prof Janabi ni kiongozi hanijuwi simjuwi ila kwa kazi anazifanya na uzalendo wake kwa watanzania Mimi nawaomba huyu jamaa apewe form atatupeleka kuwa nchi ya maziwa na asali.

Kule Marekani kuliwahi kuwepo Bencarson daktari bingwa wa upasuwaji. Japo hakupata ila kwakweli Janabi Prof nichuma
Prof Janabi amekuwa mkurugenzi alie fanya mabadiliko makubwa sana kwenye kila secta amepewa pale muhimbili pamepita wakurugenz wengi ila Prof Janabi amepadilisha sana sana.
Prof hana makuu na nimtu wa watu kama kweli tuna taka Rais huyu mwamba anaweza kuwa jibu lakizazi kipya na atakuwa naashirikiano makubwa na mataifa makubwa
Nyota ya huyu Prof sio ukurugenzi ni Urais wa Jamuhuri ya watu wa Tanzania. Sio sipendi kwenda na Samia hapana ila namuona Prof Janabi jembe sana na anaweza kututoa hapa tulipo kwa kufanya mabadiliko makubwa na Taifa hili kikawa na Neema za ajabu mm ni Mkiristo ila namuona Muislamu huyu ni WA wote hana udini ana upendo na watu wake anajitoa kwa Taifa lake ❤️🇹🇿
Hii nchi ya majuha kweli, yaani mtu yoyote anaweza kuwa Raisi na mambo yakaenda poa tu.
 
Jamani kama Kuna wazee hili Taifa wenye kutia neno Mimi naomba mnisikilize na mtakuja sema Taifa lina manabii.
Prof Janabi ni kiongozi hanijuwi simjuwi ila kwa kazi anazifanya na uzalendo wake kwa watanzania Mimi nawaomba huyu jamaa apewe form atatupeleka kuwa nchi ya maziwa na asali.

Kule Marekani kuliwahi kuwepo Bencarson daktari bingwa wa upasuwaji. Japo hakupata ila kwakweli Janabi Prof nichuma
Prof Janabi amekuwa mkurugenzi alie fanya mabadiliko makubwa sana kwenye kila secta amepewa pale muhimbili pamepita wakurugenz wengi ila Prof Janabi amepadilisha sana sana.
Prof hana makuu na nimtu wa watu kama kweli tuna taka Rais huyu mwamba anaweza kuwa jibu lakizazi kipya na atakuwa naashirikiano makubwa na mataifa makubwa
Nyota ya huyu Prof sio ukurugenzi ni Urais wa Jamuhuri ya watu wa Tanzania. Sio sipendi kwenda na Samia hapana ila namuona Prof Janabi jembe sana na anaweza kututoa hapa tulipo kwa kufanya mabadiliko makubwa na Taifa hili kikawa na Neema za ajabu mm ni Mkiristo ila namuona Muislamu huyu ni WA wote hana udini ana upendo na watu wake anajitoa kwa Taifa lake ❤️🇹🇿

HUU UCHAWA WA KIWANGO CHA KISHOGA KABISA. MFANYE AWE BABA YAKO. AMUOE YOUR MAZER.
 
Jamani kama Kuna wazee hili Taifa wenye kutia neno Mimi naomba mnisikilize na mtakuja sema Taifa lina manabii.
Prof Janabi ni kiongozi hanijuwi simjuwi ila kwa kazi anazifanya na uzalendo wake kwa watanzania Mimi nawaomba huyu jamaa apewe form atatupeleka kuwa nchi ya maziwa na asali.

Kule Marekani kuliwahi kuwepo Bencarson daktari bingwa wa upasuwaji. Japo hakupata ila kwakweli Janabi Prof nichuma
Prof Janabi amekuwa mkurugenzi alie fanya mabadiliko makubwa sana kwenye kila secta amepewa pale muhimbili pamepita wakurugenz wengi ila Prof Janabi amepadilisha sana sana.
Prof hana makuu na nimtu wa watu kama kweli tuna taka Rais huyu mwamba anaweza kuwa jibu lakizazi kipya na atakuwa naashirikiano makubwa na mataifa makubwa
Nyota ya huyu Prof sio ukurugenzi ni Urais wa Jamuhuri ya watu wa Tanzania. Sio sipendi kwenda na Samia hapana ila namuona Prof Janabi jembe sana na anaweza kututoa hapa tulipo kwa kufanya mabadiliko makubwa na Taifa hili kikawa na Neema za ajabu mm ni Mkiristo ila namuona Muislamu huyu ni WA wote hana udini ana upendo na watu wake anajitoa kwa Taifa lake ❤️🇹🇿
Prof. Sarungi alikuwaGA mwamba kweri kweri akiwa Mkurugenzi Muhimbili. Watu wakampigia chapuo apewe Uwaziri wa Afya akainyooshe wizara. Kilichotokea, akaishia kupelekwa Wizara ya Ulinzi ili kumfichia aibu!
 
Tatizo la nchi yetu linaanzia hapa, hatujui tunachohitaji, ukweli ni kwamba hatuhitaji mtu bora ila tunahitaji mfumo wa kuongoza nchi uwe bora, mfumo ukiwa wa hovyo hata uweke mtu bora kias gan haichukui round mnaanza kumrushia tena mawe, kwa sasa nchi inaumizwa na mfumo mbovu na wenyew watu wabovu so maumivu square
 
Back
Top Bottom