Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Hili swali nimeuliza muda Sana Ila nashindwa kuweka uzi.
Jaman wenye elimu ZENU naombeni niwasaidie, hamkusoma ili mkaajiriwe, jiajirini basi tuone matunda ya elimu yenu?
Mwanaume kukupenda sio sababu Una masters, wanaume wanaangalia vitu vingi jamaan sahivi wamekuwa worst wanaangalia mpaka ukoo Wenu ukoje.
Pia ndoa haiangalii elimu, ndoa iko pale pale na mifumo ya ndoa ni shule nyingine kabisa ya maisha.
Tunawaomba mliosoma Sana mpaka na PHD mkiingia uwanja WA ndoa, kuweni wapole, JifunzEni Kwa upendo, mama mkwe sio mchawi, mashemeji hawana shida, mawifi sio nuksi, change your mindset
Otherwise mtakuwa vituko Kwa watu
Sasa Kwa mfano huyu dada, mtazamani anampamba buuure, na kumsaidia kumbe elimu imeeendaa 😂😂😂😂
Jaman wenye elimu ZENU naombeni niwasaidie, hamkusoma ili mkaajiriwe, jiajirini basi tuone matunda ya elimu yenu?
Mwanaume kukupenda sio sababu Una masters, wanaume wanaangalia vitu vingi jamaan sahivi wamekuwa worst wanaangalia mpaka ukoo Wenu ukoje.
Pia ndoa haiangalii elimu, ndoa iko pale pale na mifumo ya ndoa ni shule nyingine kabisa ya maisha.
Tunawaomba mliosoma Sana mpaka na PHD mkiingia uwanja WA ndoa, kuweni wapole, JifunzEni Kwa upendo, mama mkwe sio mchawi, mashemeji hawana shida, mawifi sio nuksi, change your mindset
Otherwise mtakuwa vituko Kwa watu
Sasa Kwa mfano huyu dada, mtazamani anampamba buuure, na kumsaidia kumbe elimu imeeendaa 😂😂😂😂