Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AtasikiaHaiolewi Masters, unaolewa wewe.
Nakumbuka miaka hiyo wakati naripoti Mzumbe Chuo Kikuu Main Campus Morogoro na ka-division kangu ka point 5, majamaa wa 2nd year wakawa wanatuambia, "division one zenu ziacheni getini, huku mtanange unabadilika kabisa" [emoji23][emoji23]
Aisee ni kweli mambo yalibadilika, unakuta mtu ana point 3 ila anakimbizwa mbaya kabisa na mtu wa div II.
Back to your thread, same same thing applies when it comes to marriage, Masters yako ibakishe kichwani mwako, ndoa ni swala lingine kabisa mkuu. Si ajabu mtu mwenye Certificate ya kuungaunga akawa wife material tofauti kabisa na wewe na li-Masters lako [emoji2][emoji2]
Huachi Tu hii kauliTatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
KufanyajeNjoo pm
Niachishe...Huachi Tu hii kauli
Niachishe...
sasa nakupaje youtube link wakati sizei kukutumia inboxWee Shindwaa dadalake! Nishaolewa mie!
kuna kijana amenizimia kuleee, nimekutag🤐🤐🤐 Achana na haya mambo, fanya mambo mengine...
Saii waeza nipea sis akee!sasa nakupaje youtube link wakati sizei kukutumia inbox
tayarSaii waeza nipea sis akee!
Santrooo sana nimeiona !tayar
sawa bossSantrooo sana nimeiona !
Mpe anachotaka...kuna kijana amenizimia kuleee, nimekutag
maisha sio rahisi kama unavyoongeaMpe anachotaka...
Haiolewi Masters, unaolewa wewe.
Nakumbuka miaka hiyo wakati naripoti Mzumbe Chuo Kikuu Main Campus Morogoro na ka-division kangu ka point 5, majamaa wa 2nd year wakawa wanatuambia, "division one zenu ziacheni getini, huku mtanange unabadilika kabisa" [emoji23][emoji23]
Aisee ni kweli mambo yalibadilika, unakuta mtu ana point 3 ila anakimbizwa mbaya kabisa na mtu wa div II.
Back to your thread, same same thing applies when it comes to marriage, Masters yako ibakishe kichwani mwako, ndoa ni swala lingine kabisa mkuu. Si ajabu mtu mwenye Certificate ya kuungaunga akawa wife material tofauti kabisa na wewe na li-Masters lako [emoji2][emoji2]
Amicus Curiae ,bila shaka ulikuwa faculty of law.