Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
😀😀Mnachelewa sana kula mkuu. Mwambie awahishe chakula kikichelewa sana saa mbili kamili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀Mnachelewa sana kula mkuu. Mwambie awahishe chakula kikichelewa sana saa mbili kamili.
Nimemsikia vizuri sana, kwa kuwa sisi ni wabantu, hakuna shida 😀Umemsikia dada yako anaongea kingereza hapo juu??
HahahaahNimemsikia vizuri sana, kwa kuwa sisi ni wabantu, hakuna shida 😀
India😂😂😂Hii kingereza yake toka nchi gani?😅
Muda WA taarifa ya habari🚶🚶Mnachelewa sana kula mkuu. Mwambie awahishe chakula kikichelewa sana saa mbili kamili.
Una akili kama Nyuki by mjomba wangu.Wa kwangu yuko huku jikoni na phd yake ananipikia
Ha ha ha, acha nile vinono kutoka kwa mke msomiUna akili kama Nyuki by mjomba wangu.
Nani ameyasema hayo?Ukizini na mwanamke nje ya ndoa, Mungu anapunguza Miaka 5 kwenye maisha yako
Nimetoka kusoma Biblia sasa hivi Dah, kupunguziwa Miaka 5 nayo mbaya. Imagine Mungu alikuandikia kuishi Duniani Miaka 100, lakini ukazini na mwanamke nje ya ndoa kama 10 ivi ina maana wewe tuko nawe Kwa Miaka 50 tu. Jamani ACHENI uzinzi, tuishi milele Mithali 6:32 Mtu aziniye na mwanamke...www.jamiiforums.com
Mithali 6:32Nani ameyasema hayo?
Muandishi alikuwa na lengo la kutambulisha haya yanayotokea sasa; jinsia moja kuwa na mahusiano. Na haya maandiko yaliandaliwa na watu kwa malengo maalumu.Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
ngoja wajeHili swali nimeuliza muda Sana Ila nashindwa kuweka uzi.
Jaman wenye elimu ZENU naombeni niwasaidie, hamkusoma ili mkaajiriwe, jiajirini basi tuone matunda ya elimu yenu?
Mwanaume kukupenda sio sababu Una masters, wanaume wanaangalia vitu vingi jamaan sahivi wamekuwa worst wanaangalia mpaka ukoo Wenu ukoje.
Pia ndoa haiangalii elimu, ndoa iko pale pale na mifumo ya ndoa ni shule nyingine kabisa ya maisha.
Tunawaomba mliosoma Sana mpaka na PHD mkiingia uwanja WA ndoa, kuweni wapole, JifunzEni Kwa upendo, mama mkwe sio mchawi, mashemeji hawana shida, mawifi sio nuksi, change your mindset
Otherwise mtakuwa vituko Kwa watu
Sasa Kwa mfano huyu dada, mtazamani anampamba buuure, na kumsaidia kumbe elimu imeeendaa
View attachment 2726607
AiseeMuandishi alikuwa na lengo la kutambulisha haya yanayotokea sasa; jinsia moja kuwa na mahusiano. Na haya maandiko yaliandaliwa na watu kwa malengo maalumu.
Weka picha ya ushahidiWamekuroga
Hahahaha, kama hela anayo je?Tafuta hela. Masters hizo za kukariri maandishi ya watu tushazistukia.
Haiolewi Masters, unaolewa wewe.Hili swali nimeuliza muda Sana Ila nashindwa kuweka uzi.
Jaman wenye elimu ZENU naombeni niwasaidie, hamkusoma ili mkaajiriwe, jiajirini basi tuone matunda ya elimu yenu?
Mwanaume kukupenda sio sababu Una masters, wanaume wanaangalia vitu vingi jamaan sahivi wamekuwa worst wanaangalia mpaka ukoo Wenu ukoje.
Pia ndoa haiangalii elimu, ndoa iko pale pale na mifumo ya ndoa ni shule nyingine kabisa ya maisha.
Tunawaomba mliosoma Sana mpaka na PHD mkiingia uwanja WA ndoa, kuweni wapole, JifunzEni Kwa upendo, mama mkwe sio mchawi, mashemeji hawana shida, mawifi sio nuksi, change your mindset
Otherwise mtakuwa vituko Kwa watu
Sasa Kwa mfano huyu dada, mtazamani anampamba buuure, na kumsaidia kumbe elimu imeeendaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 2726607
Njoo pmHili swali nimeuliza muda Sana Ila nashindwa kuweka uzi.
Jaman wenye elimu ZENU naombeni niwasaidie, hamkusoma ili mkaajiriwe, jiajirini basi tuone matunda ya elimu yenu?
Mwanaume kukupenda sio sababu Una masters, wanaume wanaangalia vitu vingi jamaan sahivi wamekuwa worst wanaangalia mpaka ukoo Wenu ukoje.
Pia ndoa haiangalii elimu, ndoa iko pale pale na mifumo ya ndoa ni shule nyingine kabisa ya maisha.
Tunawaomba mliosoma Sana mpaka na PHD mkiingia uwanja WA ndoa, kuweni wapole, JifunzEni Kwa upendo, mama mkwe sio mchawi, mashemeji hawana shida, mawifi sio nuksi, change your mindset
Otherwise mtakuwa vituko Kwa watu
Sasa Kwa mfano huyu dada, mtazamani anampamba buuure, na kumsaidia kumbe elimu imeeendaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 2726607