Hivi kwanini sipati wa kunipenda wakati nina elimu ya Masters?

Nimemsikia vizuri sana, kwa kuwa sisi ni wabantu, hakuna shida 😀
Hahahaah
Basi sawa uje huku
 
Mnachelewa sana kula mkuu. Mwambie awahishe chakula kikichelewa sana saa mbili kamili.
Muda WA taarifa ya habari🚶🚶
 
Mithali 6:32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Muandishi alikuwa na lengo la kutambulisha haya yanayotokea sasa; jinsia moja kuwa na mahusiano. Na haya maandiko yaliandaliwa na watu kwa malengo maalumu.
 
ngoja waje
 
Haiolewi Masters, unaolewa wewe.

Nakumbuka miaka hiyo wakati naripoti Mzumbe Chuo Kikuu Main Campus Morogoro na ka-division kangu ka point 5, majamaa wa 2nd year wakawa wanatuambia, "division one zenu ziacheni getini, huku mtanange unabadilika kabisa" [emoji23][emoji23]

Aisee ni kweli mambo yalibadilika, unakuta mtu ana point 3 ila anakimbizwa mbaya kabisa na mtu wa div II.

Back to your thread, same same thing applies when it comes to marriage, Masters yako ibakishe kichwani mwako, ndoa ni swala lingine kabisa mkuu. Si ajabu mtu mwenye Certificate ya kuungaunga akawa wife material tofauti kabisa na wewe na li-Masters lako [emoji2][emoji2]
 
Njoo pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…