Hivi kwanini starehe nyingi ni dhambi?

Hivi kwanini starehe nyingi ni dhambi?

kali linux

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2017
Posts
2,192
Reaction score
5,685
Hello bosses,

Nimejikuta nafikiria tu nikiwa nafanya tafakuri yangu ya kufunga mwaka huu. Hivi kwa nn starehe nyingi (kama sio zote) ni dhambi aidha dhidi ya dini, serikali au maadili ya kijamii (social ethics & values).

Nini maana ya maisha bila kujistarehesha. Ukiwa mlevi kosa, mvuta unga kosa, etc.... wakati zote hizo ni starehe zinazofanya maisha yawe rahisi kdg. Kuna mda najiuliza watu tuko duniani kuhangaika tu ama?

Cc Mshana Jr
 
Jana niliona clip ya sheikh mmoja akisema peponi kutakuwa kuna pombe, akiwahimiza waislamu wajitahidi kuswali kwa hali na mali waingie peponi

At the same time akawa ana wahusia waache kunywa pombe ya hapa duniani kwasababu pombe ni dhambi itayopelekea wasiipate pepo yenye hizo pombe

Nilicheka
 
Inategemea na machukulio yako, kwangu vitendo ambavyo sio un natural ndio tatizo na hizo ndio sheria mama mfano huwezi kulia jicho!.
Vipo vitu vinahitaji kipimo vipo vyengine havifai hata kipimo kabisa!. Kila starehe inamazingira yake na staha zake ukizipitiliza inaleta tabu na shida,dhambi kwangu ni kwenda kinyume na mazingira.
 
Jana niliona clip ya sheikh mmoja akisema peponi kutakuwa kuna pombe, akiwahimiza waislamu wajitahidi kuswali kwa hali na mali wagike penoni

At the sane time akawa ana wahusia waache kunywa pombe ya hapa duniani kwasababu pombe ni dhambi itayopelekea wasiipate pepo yenye hizo pombe

Nilicheka
Hata mie nilishakutana na shehe huko youtube anasema peponi kila mtu anapewa wanawake kadhaa(alitaja idadi ila sikumbuki vzr). Daaah sasa hapo ndo nachanganyikiwa ni kwamba duniani tunahangaika ili tukale raha baadae ama. Na je huko starehe kama lap dance, stimulants etc zipo?
 
Hata mie nilishakutana na shehe huko youtube anasema peponi kila mtu anapewa wanawake kadhaa(alitaja idadi ila sikumbuki vzr). Daaah sasa hapo ndo nachanganyikiwa ni kwamba duniani tunahangaika ili tukale raha baadae ama. Na je huko starehe kama lap dance, stimulants etc zipo?
Sunnah sheikh
 
Alitokea kapuku mmoja mwenye wivu akaamua kutisha wenzie ili wataabike pamoja,hakuna dhambi ni kuzingatia katika starehe zako what is right or wrong na kuzingatia afya yako basi
 
Inategemea na machukulio yako,kwangu vitendo ambavyo sio un natural ndio tatizo na hizo ndio sheria mama mfano huwezi kulia jicho!.
Vipo vitu vinahitaji kipimo vipo vyengine havifai hata kipimo kabisa!. Kila starehe inamazingira yake na staha zake ukizipitiliza inaleta tabu na shida,dhambi kwangu ni kwenda kinyume na mazingira.
Sawa hizo za kinyume na asilia kweli ni dhambi, lakini em tuangalie kitu kama bhangi(marijuana), ni kitu iko natural kabisa. Alieigundua aliikuta imeota tu kama magugu. Kila kitu kwenye nature kina umuhimu wake, bhangi haina matumizi ya kuwa chakula japo inaonekana kama zao so matumizi yake ni kustarehesha ubongo kwa namna fln. Sasa kwa nn iwe dhambi. Kuna mifano mingi ya starehe zilizo sawa na nature ila tunaziona kama dhambi kwa sababu ya ideologies flnfln.
 
Sawa hizo za kinyume na asilia kweli ni dhambi, lakini em tuangalie kitu kama bhangi(marijuana), ni kitu iko natural kabisa. Alieigundua aliikuta imeota tu kama magugu. Kila kitu kwenye nature kina umuhimu wake, bhangi haina matumizi ya kuwa chakula japo inaonekana kama zao so matumizi yake ni kustarehesha ubongo kwa namna fln. Sasa kwa nn iwe dhambi. Kuna mifano mingi ya starehe zilizo sawa na nature ila tunaziona kama dhambi kwa sababu ya ideologies flnfln.
Nishakujibu mkuu haya Mambo yanategemea na mapokeo ya mtu.
 
Starehe nyingi ni Source Of Evils, ndio maana zimeharamishwa ili kujikinga na hizi kufuru za hapa duniani.
Mfano ukinywa pombe utajikuta unatamani kufanya zinaa hata kama haukua na wazo hilo before.
Ukiwa teja au mvuta bangi siku ukikosa utatamani kuiba nk.
Over!
 
Hata mie nilishakutana na shehe huko youtube anasema peponi kila mtu anapewa wanawake kadhaa(alitaja idadi ila sikumbuki vzr). Daaah sasa hapo ndo nachanganyikiwa ni kwamba duniani tunahangaika ili tukale raha baadae ama. Na je huko starehe kama lap dance, stimulants etc zipo?
Hapa mpaka uoe ndoa inayotambulika msikitini, ila huko majuu hiko kitu hakuna unajipimia tu afu sio threesome ni gangbang
 
Starehe nyingi ni Source Of Evils, ndio maana zimeharamishwa ili kujikinga na hizi kufuru za hapa duniani.
Mfano ukinywa pombe utajikuta unatamani kufanya zinaa hata kama haukua na wazo hilo before.
Ukiwa teja au mvuta bangi siku ukikosa utatamani kuiba nk.
Over!
Nikifikiria sometime kwa jinsi wanavyo hadithia maisha ya huko peponi jinsi ya starehe zilivyo naona huko ndio kutakua na dhambi kuliko huku

Imagine huku ukiwa na wanawake zaidi ya watano ni dhambi, ila peponi kuwa na wanawake 72 ni sunna.

Haya tena kama haitoshi huko juu sehemu ambayo tunaambiwa kua ni takatifu sheikh anasema huko kuna pombe, kiukweli wanatuchanganya sana
 
Hapa mpaka uoe ndoa inayotambulika msikitini, ila huko majuu hiko kitu hakuna unajipimia tu afu sio threesome ni gangbang
Heeeheeee Michezo ya kina Mia Khalifa na John 'dhambi' au sio....
 
Hello bosses, Nimejikuta nafikiria tu nikiwa nafanya tafakuri yangu ya kufunga mwaka huu. Hivi kwa nn starehe nyingi (kama sio zote) ni dhambi aidha dhidi ya dini, serikali au maadili ya kijamii (social ethics & values).

Nini maana ya maisha bila kujistarehesha. Ukiwa mlevi kosa, mvuta unga kosa, etc.... wakati zote hizo ni starehe zinazofanya maisha yawe rahisi kdg. Kuna mda najiuliza watu tuko duniani kuhangaika tu ama?

Cc Mshana Jr
vitu vingi ni dhambi kwasababu vinakupelekea kufanya dhambi.
yaan bila hivyo vitu hutendi dhambi na vipo ili kupima imani zetu !!!
 
Nikifikiria sometime kwa jinsi wanavyo hadithia maisha ya huko peponi jinsi ya starehe zilivyo naona huko ndio kutakua na dhambi kuliko huku

Imagine huku ukiwa na wanawake zaidi ya watano ni dhambi, ila peponi kuwa na wanawake 72 ni sunna.

Haya tena kama haitoshi huko juu sehemu ambayo tunaambiwa kua ni takatifu sheikh anasema huko kuna pombe, kiukweli wanatuchanganya sana
Hapa duniani ni kama tupo kwenye kipimo hasa kwenye swala zima la imani so kama utafaulu vizuri basi huko tuendako utaenda kupokea matunda ya vile utakavyokua umefaulu huku duniani, ndio maana utakuwa free kufanya starehe zozote zitakazokuepo bila kipimo coz hakutakua na swala zima la dhambi tena.
Over!
 
Jana niliona clip ya sheikh mmoja akisema peponi kutakuwa kuna pombe, akiwahimiza waislamu wajitahidi kuswali kwa hali na mali wagike penoni

At the sane time akawa ana wahusia waache kunywa pombe ya hapa duniani kwasababu pombe ni dhambi itayopelekea wasiipate pepo yenye hizo pombe

Nilicheka

kwa Mwenye afya mbaya ya akili weli atacheka atastaajbu wito wa huyo shekh ila ukituliza akili utaona madini aliotema shekh.
 
Back
Top Bottom