Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
Sijaelewa maana ya dhambi kulingana na maelezo yako lakini Kama unamaanisha dhambi ni negative ili ukamilifu upatikane lazima positive iwepo.Hello bosses, Nimejikuta nafikiria tu nikiwa nafanya tafakuri yangu ya kufunga mwaka huu. Hivi kwa nn starehe nyingi (kama sio zote) ni dhambi aidha dhidi ya dini, serikali au maadili ya kijamii (social ethics & values).
Nini maana ya maisha bila kujistarehesha. Ukiwa mlevi kosa, mvuta unga kosa, etc.... wakati zote hizo ni starehe zinazofanya maisha yawe rahisi kdg. Kuna mda najiuliza watu tuko duniani kuhangaika tu ama?
Cc Mshana Jr
Ivi ayo maneno ya mashekh ya kuwafariji kondoo kwamba ukienda peponi unapewa wanawake 70 na je akifa mwanamke anaenda kupewa mabwana wangapi maana naona kama inaukakasiHata mie nilishakutana na shehe huko youtube anasema peponi kila mtu anapewa wanawake kadhaa(alitaja idadi ila sikumbuki vzr). Daaah sasa hapo ndo nachanganyikiwa ni kwamba duniani tunahangaika ili tukale raha baadae ama. Na je huko starehe kama lap dance, stimulants etc zipo?
nami nimecheka😂😂😂😂Jana niliona clip ya sheikh mmoja akisema peponi kutakuwa kuna pombe, akiwahimiza waislamu wajitahidi kuswali kwa hali na mali wagike penoni
At the sane time akawa ana wahusia waache kunywa pombe ya hapa duniani kwasababu pombe ni dhambi itayopelekea wasiipate pepo yenye hizo pombe
Nilicheka
MUNGU aliumba majani Kwa ajili ya chakula na Tiba,lakini mwanadamu akajitengenezea Sheria na kuyaita haramu majani hayo..kuna muda binadamu huyafanya maisha kuwa magumu sn,tafakariSawa hizo za kinyume na asilia kweli ni dhambi, lakini em tuangalie kitu kama bhangi(marijuana), ni kitu iko natural kabisa. Alieigundua aliikuta imeota tu kama magugu. Kila kitu kwenye nature kina umuhimu wake, bhangi haina matumizi ya kuwa chakula japo inaonekana kama zao so matumizi yake ni kustarehesha ubongo kwa namna fln. Sasa kwa nn iwe dhambi. Kuna mifano mingi ya starehe zilizo sawa na nature ila tunaziona kama dhambi kwa sababu ya ideologies flnfln.
Nakukumbusha,muujiza wa Kwanza kabisa kufanywa na Yesu ulikuwa kugeuza maji kuwa pombe harusini pale mjini kanna baada ya kuambiwa na mamaake pombe imeisha.Unaambiwa Hadi mgeni rasmi alipoionja pombe ya muujiza alisifia ni konki kuliko zote alizowahi kunywa beforeStarehe nyingi ni Source Of Evils, ndio maana zimeharamishwa ili kujikinga na hizi kufuru za hapa duniani.
Mfano ukinywa pombe utajikuta unatamani kufanya zinaa hata kama haukua na wazo hilo before.
Ukiwa teja au mvuta bangi siku ukikosa utatamani kuiba nk.
Over!
Yan mtu ninywe bia kwa pesa yangu ni dhambi ?Alitokea kapuku mmoja mwenye wivu akaamua kutisha wenzie ili wataabike pamoja,hakuna dhambi ni kuzingatia katika starehe zako what is right or wrong na kuzingatia afya yako basi
Jana niliona clip ya sheikh mmoja akisema peponi kutakuwa kuna pombe, akiwahimiza waislamu wajitahidi kuswali kwa hali na mali waingie peponi
At the sane time akawa ana wahusia waache kunywa pombe ya hapa duniani kwasababu pombe ni dhambi itayopelekea wasiipate pepo yenye hizo pombe
Nilicheka
Mimi sijaumbwatatizo lako si muelewa au hukulelewa na mama . wewe umeumbwa na nani? huyo aliyekuumba sindio kasema usikaribie hizo starehe zina madhara . wewe na aliyekuumba nani anajua zaidi? mbona hujadili maumbo yako jinsi alivyokuumba. sheikh kasema kuna pombe peponi hivi akili yako peponi kutakuwa na mataputapu pombe aliekuandalia mungu ni sawa na mbege ya rombo? pombe ya peponi haikubadilishi akili hautukani hukojoi ovyo haina harafu ya mavi kama hizi mnazokunywa. sinakupa nguvu zinakuburudisha kwa jinsi mungu anavyo taka. acha kumjadili mungu wajadili wanasiasa
Hizi ni porojo tu.tatizo lako si muelewa au hukulelewa na mama . wewe umeumbwa na nani? huyo aliyekuumba sindio kasema usikaribie hizo starehe zina madhara . wewe na aliyekuumba nani anajua zaidi? mbona hujadili maumbo yako jinsi alivyokuumba. sheikh kasema kuna pombe peponi hivi akili yako peponi kutakuwa na mataputapu pombe aliekuandalia mungu ni sawa na mbege ya rombo? pombe ya peponi haikubadilishi akili hautukani hukojoi ovyo haina harafu ya mavi kama hizi mnazokunywa. sinakupa nguvu zinakuburudisha kwa jinsi mungu anavyo taka. acha kumjadili mungu wajadili wanasiasa
Ni kwa sababu starehe nyingi zinaishia kwenye uharibifu either kwa mtu anayezifanya,familia yake au taifa.Hello bosses, Nimejikuta nafikiria tu nikiwa nafanya tafakuri yangu ya kufunga mwaka huu. Hivi kwa nn starehe nyingi (kama sio zote) ni dhambi aidha dhidi ya dini, serikali au maadili ya kijamii (social ethics & values).
Nini maana ya maisha bila kujistarehesha. Ukiwa mlevi kosa, mvuta unga kosa, etc.... wakati zote hizo ni starehe zinazofanya maisha yawe rahisi kdg. Kuna mda najiuliza watu tuko duniani kuhangaika tu ama?
Cc Mshana Jr
Tafakari chukua hatua.umeandika hivi ili kumfurahisha nani???Kwenye mitungi sir god atatusamehe tu hakuna burudani kama pombe na papuchi bwana.
Ikibidi napuli iko fair bwana
Nime comment nikiwa na balimi ya 23 kichwani jamani
Mbona kula pilau kuku sio dhambi?Hello bosses, Nimejikuta nafikiria tu nikiwa nafanya tafakuri yangu ya kufunga mwaka huu. Hivi kwa nn starehe nyingi (kama sio zote) ni dhambi aidha dhidi ya dini, serikali au maadili ya kijamii (social ethics & values).
Nini maana ya maisha bila kujistarehesha. Ukiwa mlevi kosa, mvuta unga kosa, etc.... wakati zote hizo ni starehe zinazofanya maisha yawe rahisi kdg. Kuna mda najiuliza watu tuko duniani kuhangaika tu ama?
Cc Mshana Jr
[emoji3][emoji3]Nakukumbusha,muujiza wa Kwanza kabisa kufanywa na Yesu ulikuwa kugeuza maji kuwa pombe harusini pale mjini kanna baada ya kuambiwa na mamaake pombe imeisha.Unaambiwa Hadi mgeni rasmi alipoionja pombe ya muujiza alisifia ni konki kuliko zote alizowahi kunywa before
Pia mfalme Suleiman alikuwa na wanawake zaidi ya buku,wakiwemo wake wa ndoa na michepuko kibao
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ukakasi saaaana!Ivi ayo maneno ya mashekh ya kuwafariji kondoo kwamba ukienda peponi unapewa wanawake 70 na je akifa mwanamke anaenda kupewa mabwana wangapi maana naona kama inaukakasi
MzeeMimi sijaumbwa