Kwa hiyo kuwa mlevi na kuvuta unga ndo starehe.....aisee!Hello bosses, Nimejikuta nafikiria tu nikiwa nafanya tafakuri yangu ya kufunga mwaka huu. Hivi kwa nn starehe nyingi (kama sio zote) ni dhambi aidha dhidi ya dini, serikali au maadili ya kijamii (social ethics & values).
Nini maana ya maisha bila kujistarehesha. Ukiwa mlevi kosa, mvuta unga kosa, etc.... wakati zote hizo ni starehe zinazofanya maisha yawe rahisi kdg. Kuna mda najiuliza watu tuko duniani kuhangaika tu ama?
Cc Mshana Jr
Kwahio dhambi ni kutokuwa na afya nzuri?nioneshe mlevi mwenye afya nzuri
Nioneshe mvuta unga mwenye afya nzuri
Ungenionesha hao watu ningekujibuKwahio dhambi ni kutokuwa na afya nzuri?
Kuna baadhi sio dhambi bali ni kanuni na mazuio yaliyowekwa na wanadamu kupitia milango ya dini na mamlaka za kidunia.. Huko mbinguni ni furaha tupu na furaha inamaanisha bataHello bosses, Nimejikuta nafikiria tu nikiwa nafanya tafakuri yangu ya kufunga mwaka huu. Hivi kwa nn starehe nyingi (kama sio zote) ni dhambi aidha dhidi ya dini, serikali au maadili ya kijamii (social ethics & values).
Nini maana ya maisha bila kujistarehesha. Ukiwa mlevi kosa, mvuta unga kosa, etc.... wakati zote hizo ni starehe zinazofanya maisha yawe rahisi kdg. Kuna mda najiuliza watu tuko duniani kuhangaika tu ama?
Cc Mshana Jr
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapa mpaka uoe ndoa inayotambulika msikitini, ila huko majuu hiko kitu hakuna unajipimia tu afu sio threesome ni gangbang
Ni sahihi kabisa starehe nyingi zinasemekana kuwa ni dhambi. Hiyo inatokana na ukweli kwamba starehe nyingi huwaelekeza wanaostarege kutenda dhambi. Sasa, kabla hatujaangalia ni kwa vipi starehe inaongoza watu kutenda dhambi, tujiulize, dhambi ni nini? Dhambi ni uasi wa sheria ya Mungu. Starehe nyingi huwaelekeza watu watende (au waseme mambo ya dhambi. Kwa mfano starehe nyingi huwaelekeza watu kuzini, au kuiba, au kusema uongo, n.k. Kwa hiyo utaona uasi wa sheria ya Mungu (dhambi) unatokana na kujihusisha na starehe.Hello bosses, Nimejikuta nafikiria tu nikiwa nafanya tafakuri yangu ya kufunga mwaka huu. Hivi kwa nn starehe nyingi (kama sio zote) ni dhambi aidha dhidi ya dini, serikali au maadili ya kijamii (social ethics & values).
Nini maana ya maisha bila kujistarehesha. Ukiwa mlevi kosa, mvuta unga kosa, etc.... wakati zote hizo ni starehe zinazofanya maisha yawe rahisi kdg. Kuna mda najiuliza watu tuko duniani kuhangaika tu ama?
Cc Mshana Jr
Starehe haramu ni tamu sana na hizo kuzifanya ndiyo dhambi ama makosa ya kisheria.Hello bosses, Nimejikuta nafikiria tu nikiwa nafanya tafakuri yangu ya kufunga mwaka huu. Hivi kwa nn starehe nyingi (kama sio zote) ni dhambi aidha dhidi ya dini, serikali au maadili ya kijamii (social ethics & values).
Nini maana ya maisha bila kujistarehesha. Ukiwa mlevi kosa, mvuta unga kosa, etc.... wakati zote hizo ni starehe zinazofanya maisha yawe rahisi kdg. Kuna mda najiuliza watu tuko duniani kuhangaika tu ama?
Cc Mshana Jr
Dhambi ni duniani tu,yaani tuishi kwa utaratibu usiovuruga jamii Wala kujidhuru,maisha ya akhera(pepo/Moto) ni tofauti na haya,tunaona madhara ya pombe hapa duniani,hakuna anaesema mlevi ni mtu wa maana,achilia mbali madhara ya kiafyaJana niliona clip ya sheikh mmoja akisema peponi kutakuwa kuna pombe, akiwahimiza waislamu wajitahidi kuswali kwa hali na mali waingie peponi
At the sane time akawa ana wahusia waache kunywa pombe ya hapa duniani kwasababu pombe ni dhambi itayopelekea wasiipate pepo yenye hizo pombe
Nilicheka
Kuna 'etc....." hapo mbele mkuu. Et cetera au na kadhalika (swahili)Kwa hiyo kuwa mlevi na kuvuta unga ndo starehe.....aisee!
No wewe ndo unajichanganya na pengine concept ya kupata pepo hujapata ina kusudio gani...Nikifikiria sometime kwa jinsi wanavyo hadithia maisha ya huko peponi jinsi ya starehe zilivyo naona huko ndio kutakua na dhambi kuliko huku
Imagine huku ukiwa na wanawake zaidi ya watano ni dhambi, ila peponi kuwa na wanawake 72 ni sunna.
Haya tena kama haitoshi huko juu sehemu ambayo tunaambiwa kua ni takatifu sheikh anasema huko kuna pombe, kiukweli wanatuchanganya sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu taja kwa uchache.Kuna baadhi sio dhambi bali ni kanuni na mazuio yaliyowekwa na wanadamu kupitia milango ya dini na mamlaka za kidunia.. Huko mbinguni ni furaha tupu na furaha inamaanisha bata
Uharamu wake ni upi? [emoji23][emoji23][emoji23]Starehe haramu ni tamu sana na hizo kuzifanya ndiyo dhambi ama makosa ya kisheria.
So si kila starehe ni dhambi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kupiga umalaya, kuzini na mwanamke asiye mkeo. Kuvuta bhangi, mihadarati nk nk.Uharamu wake ni upi? [emoji23][emoji23][emoji23]
Ooooh hapo sawa.Kupiga umalaya, kuzini na mwanamke asiye mkeo. Kuvuta bhangi, mihadarati nk nk.
Sent using Jamii Forums mobile app