[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahPapa kachomoa betri baada ya kuichakata ya SisterView attachment 2039801
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Wakati huo unaambiwa unapewa mabikira 70 ilhali unahimizwa usini ili uende pepon kwenye hao mabikraJana niliona clip ya sheikh mmoja akisema peponi kutakuwa kuna pombe, akiwahimiza waislamu wajitahidi kuswali kwa hali na mali waingie peponi
At the same time akawa ana wahusia waache kunywa pombe ya hapa duniani kwasababu pombe ni dhambi itayopelekea wasiipate pepo yenye hizo pombe
Nilicheka
Mkuu; Bangi ni Chakula na pia ni Dawa. Matumizi sahihi ya bangi yakizingatiwa ni Neema. Watu (baadhi) wamei-missuse na hivyo kupelekea iwekewe marufuku. Zipo nchi zimeshahalalisha kilimo chake na inazalishwa/inalimwa kibiashara kama inavokuwa kwa Tumbaku.Sawa hizo za kinyume na asilia kweli ni dhambi, lakini em tuangalie kitu kama bhangi(marijuana), ni kitu iko natural kabisa. Alieigundua aliikuta imeota tu kama magugu. Kila kitu kwenye nature kina umuhimu wake, bhangi haina matumizi ya kuwa chakula japo inaonekana kama zao so matumizi yake ni kustarehesha ubongo kwa namna fln. Sasa kwa nn iwe dhambi. Kuna mifano mingi ya starehe zilizo sawa na nature ila tunaziona kama dhambi kwa sababu ya ideologies flnfln.
Umenena sawa kabisa mkuu. Imeandikwa ... Mungu akaona kila kitu alichofanya kuwa ni chema kabisa.(Mw 1;31) Kwa mantiki hiyo, shida iko ni sisi Binadamu wenyewe. Hakuna kitu Mungu aliumba kwa bahati mbaya- NEVER.MUNGU aliumba majani Kwa ajili ya chakula na Tiba,lakini mwanadamu akajitengenezea Sheria na kuyaita haramu majani hayo..kuna muda binadamu huyafanya maisha kuwa magumu sn,tafakari
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Chochote dini ilichokataza ni dhambi na kina madhara.Hello bosses,
Nimejikuta nafikiria tu nikiwa nafanya tafakuri yangu ya kufunga mwaka huu. Hivi kwa nn starehe nyingi (kama sio zote) ni dhambi aidha dhidi ya dini, serikali au maadili ya kijamii (social ethics & values).
Nini maana ya maisha bila kujistarehesha. Ukiwa mlevi kosa, mvuta unga kosa, etc.... wakati zote hizo ni starehe zinazofanya maisha yawe rahisi kdg. Kuna mda najiuliza watu tuko duniani kuhangaika tu ama?
Cc Mshana Jr
Kwani wewe unaona wivu nini mkuu muislamu akipewa syo bikra Kama ujuavyo wewe Bali ni ( nurlain) 70 elfu ?, Maana bikra tu syo sifa ya wanawake wa peponi maana hata Mama yesu nae ni bkra , na si hvo tu bali starehe ni nyingi mnoWakati huo unaambiwa unapewa mabikira 70 ilhali unahimizwa usini ili uende pepon kwenye hao mabikra
Kwa kisa kipi hicho Cha 1 au cha pili, labda nikwambie tu HV kwa utuuzima wako na pilika pilika zako toka upo dogo hadi leo hujawahi kusikia mtu kalewa then akafualiwa marinda bila wasiwasi tena ukimwimbia kama umeliwa marinda ata SEMA HV " hawaja nifanya Mimi Bali waaliifanya pombeHicho kilichomtokea ni ajali kutokana na kukosa umakini...
Dah. Wasinywe pombe kwa sababu, Pombe itawakosesha pepo yenye pombe.Jana niliona clip ya sheikh mmoja akisema peponi kutakuwa kuna pombe, akiwahimiza waislamu wajitahidi kuswali kwa hali na mali waingie peponi
At the same time akawa ana wahusia waache kunywa pombe ya hapa duniani kwasababu pombe ni dhambi itayopelekea wasiipate pepo yenye hizo pombe
Nilicheka
Hao hawana tofauti na wale wanaomlewesha mtu ili wamle.. Hizo ni tabia ulevi ni kisingizio.. Pombe ina kanuni zake tatu ukizikiuka haikufaiKwa kisa kipi hicho Cha 1 au cha pili, labda nikwambie tu HV kwa utuuzima wako na pilika pilika zako toka upo dogo hadi leo hujawahi kusikia mtu kalewa then akafualiwa marinda bila wasiwasi tena ukimwimbia kama umeliwa marinda ata SEMA HV " hawaja nifanya Mimi Bali waaliifanya pombe
kwa Mwenye afya mbaya ya akili weli atacheka atastaajbu wito wa huyo shekh ila ukituliza akili utaona madini aliotema shekh.