Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 3,620
- 7,818
❗dogo unatafuta soko? qmamae acha kutukana waliokutangulia, mbuzi wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
❗dogo unatafuta soko? qmamae acha kutukana waliokutangulia, mbuzi wewe.
Usiseme hawapo ni wewe ndiyo hujakutana nao. It seems cycle yako nzima hakuna competent programmer ndo ukafikia hiyo conclusion. Once nilikuwa na mawazo kama yako but niliwahi kushiriki kwenye uzi mmoja humu ndo nikajuwa asee tuna watu hapa Tanzania wako vizuri kinoma kwenye programming.Hivi kwa nini Tanzania hakuna programmers.
Karibia wote wanaojiita Senior programmers hamna kitu ni copy & Paste naukienda kwenye social media accounts zao wanavyotoa ushauri kwa junior developers utadhani wanajua kumbe hamna kitu.
Hakuna project yeyote ya programmer's & Developers wa Tz iliyofika mbali.Shida nn wakuu?
Kitu kikianzia utotoni huwa kinakaa vizuri. Programmers wengi walioleta mapinduzi kama kina Mark Zuckerberg walianzia chini kabla ya kuingia chuo.Kulingana na ubongo wa mtu, mtoto anaweza kujifunza akashindwa kwa ugumu wake lakini mtu mzima akaweza... Au ikawa vise versa yake...
Wewe ni programmer wa matusi?dogo unatafuta soko? qmamae acha kutukana waliokutangulia, mbuzi wewe.
Kwa sisi huku ni ngumu... Labda kwa sasa hivi kidogo afadhali tumeendelea ukilinganisha na wao... Imagine wao mtoto mwenye miaka 7 anamiliki simu janja na wengine kwenda nazo shule... Sasa ukitaka iwe hivyo kwetu itakuwa sioKitu kikianzia utotoni huwa kinakaa vizuri. Programmers wengi walioleta mapinduzi kama kina Mark Zuckerberg walianzia chini kabla ya kuingia chuo.
Kuna sehemu niliwahi kuona kwenye mitandao wanawafundisha watoto CODING hapa hapa Bongo sema ni sehemu za kishua sio kwa wavunja kuni.Kwa sisi huku ni ngumu... Labda kwa sasa hivi kidogo afadhali tumeendelea ukilinganisha na wao... Imagine wao mtoto mwenye miaka 7 anamiliki simu janja na wengine kwenda nazo shule... Sasa ukitaka iwe hivyo kwetu itakuwa sio
Kwasababu hawapo.Hivi kwa nini Tanzania hakuna programmers.
Karibia wote wanaojiita Senior programmers hamna kitu ni copy & Paste naukienda kwenye social media accounts zao wanavyotoa ushauri kwa junior developers utadhani wanajua kumbe hamna kitu.
Hakuna project yeyote ya programmer's & Developers wa Tz iliyofika mbali.Shida nn wakuu
Programmer ni mtu anaeandika seti ya maelezo yanayoiambia computer nini ifanye kwa kutumia programming language (au mtu anayeandika program),Utofauti wa programmer, developer,software engineer ni nini?
Unamaanisha ?Causes of poverty???? ENZI ZILE SASA MAJIBU YA KUKARIRI KILA FANI YALIKUWA NI
LACK OF CAPITAL
LACK OF TECHNOLOGY
Lectures wenyewe wako vizuri... Hapo bado hujawagusa wanaojifunza kila siku hawana kazi nyigine wao ni kujifunza tuUsiseme hawapo ni wewe ndiyo hujakutana nao. It seems cycle yako nzima hakuna competent programmer ndo ukafikia hiyo conclusion. Once nilikuwa na mawazo kama yako but niliwahi kushiriki kwenye uzi mmoja humu ndo nikajuwa asee tuna watu hapa Tanzania wako vizuri kinoma kwenye programming.
Keep an open mind brother.
Nitajie Lugha zinazoingia kwenye CodingCODING hata HTML ina code zake wanaziita HTML tags,
Zipo nyingi, kuna Python, JavaScript, Java, C++, C#, PHP, Ruby, Kotlin, pia HTML na CSS Lakini hizi wanaziterm kama Structuring languages au markup language kwa ajili ya kudesign web interfacesNitajie Lugha zinazoingia kwenye Coding
Kwanini usiconnect direct bila http proxy mkuu?Prox setting error in android studio. Hii unaitatuaje. Kama inadai server how do i set that server so that dependencies can connect to the internet ?
Nimejaribu ku disable prox server ila error haiondoki. I'm stack , hii error inanichelewasha kusonga mbele. Help please.
Project kufika mbali au kutokufika mbali sio tatizo la programmers ila mazingira shawishi bado hayawekwa kwaajiri ya watu wenye good ideas kuwakilisha of coz buni ipo ila bado haihamasishi kiasi hiko.Hivi kwa nini Tanzania hakuna programmers.
Karibia wote wanaojiita Senior programmers hamna kitu ni copy & Paste naukienda kwenye social media accounts zao wanavyotoa ushauri kwa junior developers utadhani wanajua kumbe hamna kitu.
Hakuna project yeyote ya programmer's & Developers wa Tz iliyofika mbali.Shida nn wakuu?
Nenda kwenye File -> settings ->appearance &behavior ->system settings -> http proxy then click kwenye sehemu iliyoandikwa no proxy then bonyeza OK kisha build project yako uone kama bado inaleta error icopy hiyo error ipest hapa tuione.Prox setting error in android studio. Hii unaitatuaje. Kama inadai server how do i set that server so that dependencies can connect to the internet ?
Nimejaribu ku disable prox server ila error haiondoki. I'm stack , hii error inanichelewasha kusonga mbele. Help please.