Hivi kwanini Tanzania hakuna programmers

Hivi kwanini Tanzania hakuna programmers

Nenda kwenye File -> settings ->appearance &behavior ->system settings -> http proxy then click kwenye sehemu iliyoandikwa no proxy then bonyeza OK kisha build project yako uone kama bado inaleta error icopy hiyo error ipest hapa tuione.
Nimejaribu kufanya hivyo, nimejaribu ku disable, nimejaribu kuruhusu automatic proxy settings. Zote zimefeli.
 
Hivi kwa nini Tanzania hakuna programmers.

Karibia wote wanaojiita Senior programmers hamna kitu ni copy & Paste naukienda kwenye social media accounts zao wanavyotoa ushauri kwa junior developers utadhani wanajua kumbe hamna kitu.

Hakuna project yeyote ya programmer's & Developers wa Tz iliyofika mbali.Shida nn wakuu?
Nyuzi za watoto
 
Prox setting error in android studio. Hii unaitatuaje. Kama inadai server how do i set that server so that dependencies can connect to the internet ?
Nimejaribu ku disable prox server ila error haiondoki. I'm stack , hii error inanichelewasha kusonga mbele. Help please.
Simple are you a programmer by mtoa mada
 
Kuanza kujifunza codes ukubwani ni kama uchawi tu. Vijana wangeanza kuandika codes toka utotoni tungekuwa na programmers hatari. Tatizo mtu anafika chuo kikuu ndo anaanza kujifunza kuandika codes. Hapo tayari kaanza kuwaza familia na majukumu mengine ya kiutu uzima. Ifike sehemu watoto wenye akili wasipotezewe muda kusoma historia za kina kinjekitile.
Kwani programmer ni nini
 
Hivi kwa nini Tanzania hakuna programmers.

Karibia wote wanaojiita Senior programmers hamna kitu ni copy & Paste naukienda kwenye social media accounts zao wanavyotoa ushauri kwa junior developers utadhani wanajua kumbe hamna kitu.

Hakuna project yeyote ya programmer's & Developers wa Tz iliyofika mbali.Shida nn wakuu?
Wapo mkuu, ila karibia popote utakapoajiriwa wakuta tailor made programs!
Utaajiriwa kama IT admini au kale kajina kazuri IT Executive!
Kurekebisha system inapo crush au la, kwa kutumia manual guide za hao waliotengeneza program!
 
Prox setting error in android studio. Hii unaitatuaje. Kama inadai server how do i set that server so that dependencies can connect to the internet ?
Nimejaribu ku disable prox server ila error haiondoki. I'm stack , hii error inanichelewasha kusonga mbele. Help please.
Nenda kwenye forums za programmers mkuu hapa utakesha
 
Prox setting error in android studio. Hii unaitatuaje. Kama inadai server how do i set that server so that dependencies can connect to the internet ?
Nimejaribu ku disable prox server ila error haiondoki. I'm stack , hii error inanichelewasha kusonga mbele. Help please.
Nenda kwenye appropriate furums ukaulize haya maswali humu sio mahala sahihi. Go try stackoverflow site kule utakutana na programming geeks
 
Hivi kwa nini Tanzania hakuna programmers.

Karibia wote wanaojiita Senior programmers hamna kitu ni copy & Paste naukienda kwenye social media accounts zao wanavyotoa ushauri kwa junior developers utadhani wanajua kumbe hamna kitu.

Hakuna project yeyote ya programmer's & Developers wa Tz iliyofika mbali.Shida nn wakuu?
Mbona wapo wengi tu....
Magilatech kijana magila ambaye ni self taught programmer, kampuni yake imetengeneza mifumo mingi ya serikali ikiwemo tra, mifumo ya manunuzi, mifumo karibu mingi inayotumika serikalini. imetengeneza azam pay, imetengeneza mifumo ya mabenki n.k.
Wapo wengine wanafanya kazi za nje lakini hawawezi kusema kwa sababu sio project zao.
Mkuu ukiwa una project ya maana uwe na ela ya maana maprogrammer utawapata. Shida ni kwamba sisi tunakuwa na project kubwa, budget milioni halafu mtu akutengenezee kitu sawa na cha startup ya US iliyopata fund ya dollar milion 10.
 
Kitu kikianzia utotoni huwa kinakaa vizuri. Programmers wengi walioleta mapinduzi kama kina Mark Zuckerberg walianzia chini kabla ya kuingia chuo.
Kwahiyo?, madaktari walioanzia utotoni ni wangapi na wamefanya nini, kama hicho ndo kipimo chabuprogrammer
 
Kuanza kujifunza codes ukubwani ni kama uchawi tu. Vijana wangeanza kuandika codes toka utotoni tungekuwa na programmers hatari. Tatizo mtu anafika chuo kikuu ndo anaanza kujifunza kuandika codes. Hapo tayari kaanza kuwaza familia na majukumu mengine ya kiutu uzima. Ifike sehemu watoto wenye akili wasipotezewe muda kusoma historia za kina kinjekitile.
Nataka nianzishe darasa la kuwafunza watoto computer programming from age 8 around darasa la 5 hiv. Kwa watoto Nitawapa kipaumbele wanaosoma englis medium angalau language itakua sio barrier kubwa sana
 
Programmer ni mtu anaeandika seti ya maelezo yanayoiambia computer nini ifanye kwa kutumia programming language (au mtu anayeandika program),

developer ni mtu ambaye anauelewa na fani fulani katika teknolojia aidha kwa maendeleo ya wavuti, systems, software designing etc. na anaweza kutoa mchango fulani katika kuboresha program au system fulani.

Software engineer ni mtu anayedesign software na kuifanya, mfano akadesign software kama mobile app, au web application, na anauwezo wa kuifanyia repair and advancement. Hawa wao wanadeal na softwares tu.

Kwa ujumla watu hawa watatu wote wanatakiwa kuwa na ujuzi wa programming au kuandika program. (Programming ni msingi wa software engineering. Hivyo basi, programmer ni software engineer lakini pia ni developer
Kwa tafsiri ya kwanza, tumuulize mtoa mada je mtoa mada kwa ajili zako chache unaweza kusema hakuna programmer?
 
Sisi tunawaza TU!
FB_IMG_1721374029274.jpg
 
Yaan kwa ninavyoelewa, coding ni part ya programming, programming inajumuisha kuanzia utambuzi wa tatizo mpaka mtu anamaliza kuandika program ya kutatua hilo tatizo, kwahiyo ndani yake kuna kipengele cha coding (write a program) ambayo huwa ni hatua ya 3 katika hatua za kudevelop a program
Program ni nini?
 
Back
Top Bottom