Hivi kwanini uchawi hautumiki kwenye Uwanja wa Vita?

Hivi kwanini uchawi hautumiki kwenye Uwanja wa Vita?

Mwanakulipata

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2018
Posts
714
Reaction score
1,193
Ndugu zangu mshawahi kujiuliza kwanini uchawi hautumiki kwenye uwanja wa medani (vitani), nadhani kuna vitu vingi tumeshuhudia vya kichawi ambavyo ki uhalisia au ki fikra za kawaida tu vinaweza kuwekwa kwenye vita na vikafanya kazi..

Lakini cha ajabu Uchawi hautumiki kabisaaa ani tena nasikia uzunguni huko uchawi wao upo developed😀😀 sasa inashindikanaje wale wanajeshi wa upinzaniwakapigwa kimbora wakaumwa matumbo wiki nzima.

Mi naona uchawi ni wa mchongo... kuna sababu nyingine?
 
Kwenye Vita mbali Sana uko,
nenda apo benki tu.
Chuma ulete haifanyi kazi kabisa,na Washirikina hawatoi majibu yakueleweka[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
uchawi ni technique ndogo sana..nasikia chuma ulete ili ifanye kazi ni lazima akupe hela mkono kwa mkono..leo hii ukienda benk kumpa hela Teller unampa mkononi au unaweka pale kwenye kidirisha then anachukua??..kuna mwanangu mmoja ni mtu wa Finance aliniapanga hii ishu
 
Ndugu zangu mshawahi kujiuliza kwanini uchawi hautumiki kwenye uwanja wa medani (vitani), nadhani kuna vitu vingi tumeshuhudia vya kichawi ambavyo ki uhalisia au ki fikra za kawaida tu vinaweza kuwekwa kwenye vita na vikafanya kazi..

lakini cha ajabu Uchawi hautumiki kabisaaa ani tena nasikia uzunguni huko uchawi wao upo developed😀😀 sasa inashindikanaje wale wanajeshi wa upinzaniwakapigwa kimbora wakaumwa matumbo wiki nzima.

mi naona uchawi ni wa mchongo... kuna sababu nyingine?
Toa mfano, vitu gani vya kichawi vikiwekwa vitani vinaweza kuwa msaada..?!
 
Huko mbali sana mfano mtwara walipgwa sana kwenye gas kuhusu maeneo yao,huku nilipo tunachmba madini lakn mara kw mara askari huja kutufukuza wachmbaj et eneo la mwekezaji,mwekezaj hatak kuwalipa fidia maeneo yao anataka kuyachukua bure na jana wameua mchmbaji mmoja kwa risasi, sasa najiulza kwann wachawi wasiwaloge hawa askari.
 
uchawi ni technique ndogo sana..nasikia chuma ulete ili ifanye kazi ni lazima akupe hela mkono kwa mkono..leo hii ukienda benk kumpa hela Teller unampa mkononi au unaweka pale kwenye kidirisha then anachukua??..kuna mwanangu mmoja ni mtu wa Finance aliniapanga hii ishu
ChumaUlete ni UCHOCHORO wa wafanyakazi wadokozi kuwaibia mabosi VILAZA!

Taratibu za kibenki ZIMEZIBA huo uchochoro!

Naongea kwa UZOEFU.

Mimi ni MFANYABIASHARA, nasema hiviii KIUHALISIA HAKUNA KITU KINACHOITWA CHUMA ULETE!!!

Mfanyakazi wako akikuletea habari za chumaulete, tia mabanzi, weka ndani... mwenyewe atakuonesha ALIPOFICHA HELA ZAKO!!!
 
uchawi ni technique ndogo sana..nasikia chuma ulete ili ifanye kazi ni lazima akupe hela mkono kwa mkono..leo hii ukienda benk kumpa hela Teller unampa mkononi au unaweka pale kwenye kidirisha then anachukua??..kuna mwanangu mmoja ni mtu wa Finance aliniapanga hii ishu
Na wewe ukaamini
 
ChumaUlete ni UCHOCHORO wa wafanyakazi wadokozi kuwaibia mabosi VILAZA!

Taratibu za kibenki ZIMEZIBA huo uchochoro!

Naongea kwa UZOEFU.

Mimi ni MFANYABIASHARA, nasema hiviii KIUHALISIA HAKUNA KITU KINACHOITWA CHUMA ULETE!!!

Mfanyakazi wako akikuletea habari za chumaulete, tia mabanzi, weka ndani... mwenyewe atakuonesha ALIPOFICHA HELA ZAKO!!!
Safi sana mkuu
 
Back
Top Bottom