Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,413
- 4,020
hakuna chuma ulete ya aina moja,uchawi ni technique ndogo sana..nasikia chuma ulete ili ifanye kazi ni lazima akupe hela mkono kwa mkono..leo hii ukienda benk kumpa hela Teller unampa mkononi au unaweka pale kwenye kidirisha then anachukua??..kuna mwanangu mmoja ni mtu wa Finance aliniapanga hii ishu