Hivi kwanini uchawi hautumiki kwenye Uwanja wa Vita?

Hivi kwanini uchawi hautumiki kwenye Uwanja wa Vita?

uchawi ni technique ndogo sana..nasikia chuma ulete ili ifanye kazi ni lazima akupe hela mkono kwa mkono..leo hii ukienda benk kumpa hela Teller unampa mkononi au unaweka pale kwenye kidirisha then anachukua??..kuna mwanangu mmoja ni mtu wa Finance aliniapanga hii ishu
hakuna chuma ulete ya aina moja,
 
Hautumiki?
Are serious?
Kuna mzee huko Lindi Liwale, huyo anakusomea Dua ukienda vitani hata kama nyuklia ikipigwa huwezi kufa.
Kama unabisha njoo pm.
Yule mzee mpaka pesa za benki anaweza kukuwezeaha uzichote.
Sasa ni mzee sana . Anakufanyia free malipo baada ya matokeo
Ngende hiyo?
 

Operation Cone of Power: When British Witches Attacked Adolf Hitler​

 
Kawaulize raia wa DRC na M23 watakutoa shaka kwamba uchawi unatumika kwenye medani za kivita....mind you uchawi ni imani kama zilivyo imani nyingine
 
Uchawi ni sanaa inayofanya mabadiliko ya kitu au vitu kutokea.. Sasa sanaa hii inahitaji muda wakuifanya, huko vitani hakuna muda wakujiandaa
 
vita ya kagera tusingeshinda bila uchawi wa kikurya na kisukuma!...Kwa ni maji maji wars! unaielewaje wewe hivi umesoma kweli??
 
Sure!
Niamini
Tanzania kuna wataalamu wabobezi sana.
Huyo mzee ni baba yangu mzazi, simpigii promo ila daaaahhh anatisha.
Sasa hivi kaachia hiyo kazi anapiga mechi za nyumbani tu
Usanii mara kuna mzee mara baba yangu eti sasa hivi anapiga tu mechi za nyumbani[emoji28][emoji28][emoji28] saiv laifu tait sana upati[emoji389][emoji389] za bure chapa kazi
 
Mleta mada tatizo unataka uchawi ufanye vitu unavyotaka wewe.
Yaani eti kisa gari haiwezi kupaa ndo uhitimishe kwakusema eti hii siyo gari??

Kama wewe hujaona miujiza ya kichawi basi wengine wameona.

Nikiwa mdogo niliwahi nyolewa nywele bila mtu yeyote kuona.Je,mama yangu alikuwa amesahau kuwa hajaninyoa??

Usihitimishe bali omba uelekezwe kwa mambo usiyo na upeo nayo!
 
Ndugu zangu mshawahi kujiuliza kwanini uchawi hautumiki kwenye uwanja wa medani (vitani), nadhani kuna vitu vingi tumeshuhudia vya kichawi ambavyo ki uhalisia au ki fikra za kawaida tu vinaweza kuwekwa kwenye vita na vikafanya kazi..

Lakini cha ajabu Uchawi hautumiki kabisaaa ani tena nasikia uzunguni huko uchawi wao upo developed😀😀 sasa inashindikanaje wale wanajeshi wa upinzaniwakapigwa kimbora wakaumwa matumbo wiki nzima.

Mi naona uchawi ni wa mchongo... kuna sababu nyingine?
Rejea historia ya Vita ya Majimaji
 
Back
Top Bottom