Hivi kwanini uchawi hautumiki kwenye Uwanja wa Vita?

Hivi kwanini uchawi hautumiki kwenye Uwanja wa Vita?

Uchawi unatumika vizuri ni swala la imani tu

Fata historia ya ufaransa na haiti ndo utajua uchawi upo bali watu hawataki kutumia kwasababu wamesha ambia ni dhambi mbele ya macho ya Mungu ila hizi tombwela zipo kweli
 
Toa mfano, vitu gani vya kichawi vikiwekwa vitani vinaweza kuwa msaada..?!
Kuna kitu kinaitwa LUBWIBWILUSA (mortii tombo mivi) hiyo kitu inaweza badirisha hata uelekeo wa kombora na kurudi likikotoka
 
sidhani mkuu hii sio sababu..mimi nshawahi kufanya kazi na mama..kipindi hiko nipo yanky..kazi enyewe mama lishe..nilikuwa nikipeleka order sitoi mguu bila kupewa hela... na vile mama yangu alikuwa mzoefu kwenye hii biashara..ila kuna siku tunauza sanaaaa namimi naona kabisa tumeuza..tena mimi ndo nae pokea hela kwa wateja napeleka kwa mama...ila jioni mama akiwa anapiga hesabu hela imepukutika yoote hata ya msingi ...anaanza kukopa..mkuu hatakama ni utunzaji hafifu ndo tupoteze hela hadi msingi ufe kwa siku moja?
Mimi NIMEKUZINDUA tu...

KUZINGATIA au KUPOTEZEA nilichoandika sio jukumu langu!
 
Kuna kitu kinaitwa LUBWIBWILUSA (mortii tombo mivi) hiyo kitu inaweza badirisha hata uelekeo wa kombora na kurudi likikotoka
Wee jamaa ni COMEDIAN!
[emoji1787][emoji23][emoji23]
 
Wanaorudi salama huwa walikwepa mengi kwa kutumia ulimwengu wa roho. Unakumbuka wakati DRC waliwatumia watoto na ikipigwa risasi inawakwaruza kama mchanga?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KUAMINI uchawi ni KUSHINDWA KUTUMIA AKILI VIZURI!
Kuna aina mbili za watu skuizi
Walio nyonya maziwa ya ng'ombe na
Sisi wa maziwa ya mama
We Kama umekomalia uingereza hatukuitaji huku[emoji16][emoji16].
Mnajifanyaga mnaakili kumbe ni chenga tu[emoji1787]
Uchawi upo, amini husiamini kembola iko.
 
Kuna aina mbili za watu skuizi
Walio nyonya maziwa ya ng'ombe na
Sisi wa maziwa ya mama
We Kama umekomalia uingereza hatukuitaji huku[emoji16][emoji16].
Mnajifanyaga mnaakili kumbe ni chenga tu[emoji1787]
Uchawi upo, amini husiamini kembola iko.
Ni kawaida WATU WENYE UWEZO MDOGO WA AKILI KUKIMBILIA MATUSI NA KUJICHEKESHA CHEKESHA!!
 
Machotara ya malaika waasi na wanawake weusi, ambao ndio mwanzo wa rangi zingine zooote.
Waafrika ni masikini kwa sababu hawana connection na positive energy.
Awajafungua mlango wa pili ndo maana wanateswa na umasikini.
Umasikini ni matokeo ya ukosefu wa maarifa ya kuufungua ulimwengu wa kiroho.
Tangu nimeijua Siri hii si haba namshukuru Mungu nimeweza kijiconect na positive energy.
 
Mbona unatumika sana kwenye uwanja wa medani, ulizia watu walioenda mission Darfu or Congo DR.
 
Waafrika ni masikini kwa sababu hawana connection na positive energy.
Awajafungua mlango wa pili ndo maana wanateswa na umasikini.
Umasikini ni matokeo ya ukosefu wa maarifa ya kuufungua ulimwengu wa kiroho.
Tangu nimeijua Siri hii si haba namshukuru Mungu nimeweza kijiconect na positive energy.
Utakua na masharti pia si ndio???
 
umeandika kama umeshawahi kupigana vita vyote, kama hujawahi how dare you kuongea hivyo!
 
Back
Top Bottom