Mwanakulipata
JF-Expert Member
- Jul 17, 2018
- 714
- 1,193
- Thread starter
- #61
tupe sababu natamani kujuaHakuna uchawi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tupe sababu natamani kujuaHakuna uchawi!
ndo maana wachaw wengi mafukara..we uwezi kuta mchawi kanasa juu ya bati huko masaki au mikocheniMchawi ndie kiumbe mwenye kiwango cha chini sana cha kufikiri duniani mtu mwenye akili hawezi kuwa mchawi.
kanunue maandazi unyweChai
Hawajawezeshwa. Ref. Uchimbaji barabara kule Handeni kwa Msisi 2022.Wachawi wetu wanazingua sanaa
Akaishia wapi?Na kule Singida pia, kuna mmama alikuwa anaitwa LETTI KIDANKA aliwapeleka puta Germans
Sababu uchawi ni imani. Na imani ni jambo au mambo ya kufikirika tu.tupe sababu natamani kujua
Hiyo mbona ipo kama ndoto vile…Kuna veteran mmoja swahiba alinihadithia kuhusu vita ya Uganda
Aliniambia aisee uchawi upo walifanyiwa ambush na waganda wakauwawa baadhi ya wanajeshi wetu ila nao wakapambana mpaka waganda wakakimbia
Wakati wanawasaka porini walimkuta mmoja wao kakaa chini ya mti na bunduki yake
Wakaanza kumiminia risasi ila hazikumuuwa wala kumjeruhi badal yake alisimama na kuondoka
Anasema mpaka leo hayuko vizuri kwa lile tukio
Bado anakula pension yake na analima tu na [emoji609] zake
Bado namuendea kumsalimia ila kila wakati hadithi zake ni vita tu
Hii mada ya kuhusu Uchawi inajirudia sanaMimi nadhani ni vigumu sana uchawi kudhuru mtu ambaye hauna details zake.
Wachawi utakuta wanakuagiza kitu fulani kwa mtu ambaye unataka adhurike,utaskia lete nywele yake au lete nguo n.k
Kisha wanatumia hiko kitu kumdhuru mtu,mimi nadhani bila kuwa na kitu fulani cha mtu huyo inaweza kuwa ngumu.
Sasa vitani mfano vita ya urusi na ukraine,mchawi atapata wapi vitu vya adui ili amdhuru ?
Ndio maana inakuwa rahisi mtu kumroga mtu anayemjua kwa sababu akiambiwa alete kitu fulani kutoka kwa huyo mtu analeta.
Mnaobeza uchawi hamjakaa na watu wanaojua hayo mambo,uchawi upo.
Kuna mama alikaa miezi kadhaa hajazaa kwa sababu alifanyiwa ucahwi na mke mwenzake kwa mganga.
Mganga alimchukua mbuzi akafanya mambo yake kisha yule mbuzi akamfunga(akamshona)sehemu za siri kisha akamfukia mbuzi,yule mama alikaa na mimba zaidi ya mwaka.
Baadae tena ikatokea sontofahamu mganga na yule mama,mganga akaenda kumfukua mbuzi kisha akampasua sehemu za siri na yule mama kule akazaa mtoto akiwa amekomaa kabisa.
Sasa utaona hapo kwamba wanaofanyiana uchawi ni watu wanaofahamiana kwa sababu mtu unayemfahamu ukiambiwa kuleta nywele yake,au kipande cha nguo,au kiatu chake au kucha yake ni rahsi kuliko kuleta vitu hivi kwa mtu usiyemfahamu.
Uchawi upo na mimi nadhani hao wenye uchawi hawajataka kushughulisha akili yao kuvumbua vitu vya ziada ambavyo vitaondoa vikwazo ama mipaka katika uchawi waliourithi.
Kama ambavyo zamani kulikuwa na redio kisha watu hawakuishia hapo wakafikiria na kufanya tafiti wakagundua mpaka tv na simu za picha.
Basi na 2achawi 2a kishwahili nadhani wametosheka tu na uchawi waliorithi kutoka kwa wazee wao,ha2ataki kufanya tafiti na kuona namna gani uchawi unaweza kufanya mambo makub2a zaidi ya hapo.
Kuna miti ukichanganya na ukajipaka basi unaweza ukapita sehemu na mtu asikuone,unaweza kuona namna gani mtu akiamua kufanya tafiti zaidi juu ya hiyo miti inaweza kuleta manufaa katika mambo mengine ?
Pengine hiyo miti ikichanganywa ina particles ambazo macho yetu hayawezi kuona mchanganyiko huo ?
Ni mawazo yangu tu ila kidini uchawi haufai kwa sababu ya huu ujinga wa kuwadhuru watu wengine
gfsonwin aione hii 🤣🤣Hii mada ya kuhusu Uchawi inajirudia sana
Nyani Ngabu kila Mara anasema alogwe na huku kuna watu wanajidai wachawi sana na juzi kuna mmoja aliandika habari ya kuloga kwa kupitia hesabu za kiarabu akasema akipata jina la Mtu na la mama yake basi atamroga hakika.
Huyu jamaa kila Mara anasema yupo tayari kusema alipo, na kuleta majina kamili na hata kucha, nywele au Nguo ili arogwe lakini HAROGWI.
Kama Uchawi UPO na wanaweza kuloga kwanini wasimloge huyu aliye tayari kutoa details zake zote kila mara?
Uchawi ni Jambo la kidhahania zaidi yaani la kufikirika, ni Imani isiyokuwepo.
🤣🤣Hautumiki?
Are serious?
Kuna mzee huko Lindi Liwale, huyo anakusomea Dua ukienda vitani hata kama nyuklia ikipigwa huwezi kufa.
Kama unabisha njoo pm
Mkuu hii chai na mchana huuHautumiki?
Are serious?
Kuna mzee huko Lindi Liwale, huyo anakusomea Dua ukienda vitani hata kama nyuklia ikipigwa huwezi kufa.
Kama unabisha njoo pm.
Yule mzee mpaka pesa za benki anaweza kukuwezeaha uzichote.
Sasa ni mzee sana . Anakufanyia free malipo baada ya matokeo
Mtu Kama wewe utaaminije Kuna uchawi??ChumaUlete ni UCHOCHORO wa wafanyakazi wadokozi kuwaibia mabosi VILAZA!
Taratibu za kibenki ZIMEZIBA huo uchochoro!
Naongea kwa UZOEFU.
Mimi ni MFANYABIASHARA, nasema hiviii KIUHALISIA HAKUNA KITU KINACHOITWA CHUMA ULETE!!!
Mfanyakazi wako akikuletea habari za chumaulete, tia mabanzi, weka ndani... mwenyewe atakuonesha ALIPOFICHA HELA ZAKO!!!
Naskia Kuna vifaru vya serekali ya rwanda, burundi, na drc vilishidwa kuingia fizi mkuu[emoji23][emoji23]Mleta mada unawajua MAI MAI drc? au mizabwa ?
DuuhKuna veteran mmoja swahiba alinihadithia kuhusu vita ya Uganda
Aliniambia aisee uchawi upo walifanyiwa ambush na waganda wakauwawa baadhi ya wanajeshi wetu ila nao wakapambana mpaka waganda wakakimbia
Wakati wanawasaka porini walimkuta mmoja wao kakaa chini ya mti na bunduki yake
Wakaanza kumiminia risasi ila hazikumuuwa wala kumjeruhi badal yake alisimama na kuondoka
Anasema mpaka leo hayuko vizuri kwa lile tukio
Bado anakula pension yake na analima tu na [emoji609] zake
Bado namuendea kumsalimia ila kila wakati hadithi zake ni vita tu
UmbeaHautumiki?
Are serious?
Kuna mzee huko Lindi Liwale, huyo anakusomea Dua ukienda vitani hata kama nyuklia ikipigwa huwezi kufa.
Kama unabisha njoo pm.
Yule mzee mpaka pesa za benki anaweza kukuwezeaha uzichote.
Sasa ni mzee sana . Anakufanyia free malipo baada ya matokeo
Nimekuja PM,Hautumiki?
Are serious?
Kuna mzee huko Lindi Liwale, huyo anakusomea Dua ukienda vitani hata kama nyuklia ikipigwa huwezi kufa.
Kama unabisha njoo pm.
Yule mzee mpaka pesa za benki anaweza kukuwezeaha uzichote.
Sasa ni mzee sana . Anakufanyia free malipo baada ya matokeo
We nikituko. Nanikakwambia wa afrika walikua niwachawi???Uchawi ni technology duni Sana na sio kwamba una nguvu kubwa umepewa nguvu zaidi na propaganda. Ungekuwa na nguvu kubwa mwafrika asingechukulika utumwani wala kutawaliwa na mkoloni. Shida wengi hawana elimu ya kutosha kuhusu uchawi ndo maana wanauogopa au kulogeka.