Hivi kwanini uchawi hautumiki kwenye Uwanja wa Vita?

Hivi kwanini uchawi hautumiki kwenye Uwanja wa Vita?

ChumaUlete ni UCHOCHORO wa wafanyakazi wadokozi kuwaibia mabosi VILAZA!

Taratibu za kibenki ZIMEZIBA huo uchochoro!

Naongea kwa UZOEFU.

Mimi ni MFANYABIASHARA, nasema hiviii KIUHALISIA HAKUNA KITU KINACHOITWA CHUMA ULETE!!!

Mfanyakazi wako akikuletea habari za chumaulete, tia mabanzi, weka ndani... mwenyewe atakuonesha ALIPOFICHA HELA ZAKO!!!
na vipi kama we mwenyewe ndo hela zinapotea mikononi mwako
 
na vipi kama we mwenyewe ndo hela zinapotea mikononi mwako
Hela HAZIWEZI KUPOTEA TU hivi hivi!

Hicho kitu hakipo!

1. Itakuwa HAUTUNZI VIZURI kumbukmbu au rekodi zako za kinachoingia na kutoka.

Waswahili wanasema MALI BILA DAFTARI HUPOTEA BILA HABARI!

2. Una MATUMIZI YA HOVYO na hauweki kumbukumbu za hayo matumizi

3. HAUKO MAKINI/ SI MTU MAKINI!

Siku hizi kuna matapeli/ utapei na wizi wa viwango vya lami kiasi kwamba kama wewe si mtu makini au tayari umejawa kichwani na imani zako za kichawi lazima utaamini chumaulete na utaanza kuchafua watu wasiokuwa na hatia!

Ukienda kwa mpiga ramli, UNAPIGWA TENA!
 
uchawi ni technique ndogo sana..nasikia chuma ulete ili ifanye kazi ni lazima akupe hela mkono kwa mkono..leo hii ukienda benk kumpa hela Teller unampa mkononi au unaweka pale kwenye kidirisha then anachukua??..kuna mwanangu mmoja ni mtu wa Finance aliniapanga hii ishu
Naunga mkono hoja. Kuna mnaija mmoja nimefanya nae kazi kwa miaka kadhaa aesee piga ua hakupi wala hapokei hela mkononi, anakuwekea mezani na wewe unamwekea mezani. Mkikutana njiani anakupeleka popote mnakaa anakuwekea pesa yako kwenye kitu chochote unachukua
 
Nguvu ya Uchawi ni 10% ya maisha halisi ya mwanadamu.

Uchawi hauna nguvu kihivyo.
Wanaoamini Uchawi unanguvu ni watu wajinga waliopotiliza kwenye ujinga wao
Weee jamaa nakuelewaga sana ,uchawi ni upumbavu uliozidi kiwango na nasikitika sana vijana wengi siku hizi ndio wameroea kwenye uchawi dah foolish kabisa
 
Uchawi wa kudhuru unaitwa black magic. Wazungu awafanyi black magic labda kwa kiwango kidogo. Wao ufanya white magic
 
Weee jamaa nakuelewaga sana ,uchawi ni upumbavu uliozidi kiwango na nasikitika sana vijana wengi siku hizi ndio wameroea kwenye uchawi dah foolish kabisa

Uchawi nguvu yake ni ndogo ndio maana watu wenye akili hawajishughulishi nayo.

Hivi Uchawi ungekuwa dili unafikiri Wazungu na mataifa Makubwa wangeuachia?

Inahitaji akili ndogo Sana kutambua Jambo hili
 
Uchawi ni technology duni Sana na sio kwamba una nguvu kubwa umepewa nguvu zaidi na propaganda. Ungekuwa na nguvu kubwa mwafrika asingechukulika utumwani wala kutawaliwa na mkoloni. Shida wengi hawana elimu ya kutosha kuhusu uchawi ndo maana wanauogopa au kulogeka.
 
Uchawi nguvu yake ni ndogo ndio maana watu wenye akili hawajishughulishi nayo.

Hivi Uchawi ungekuwa dili unafikiri Wazungu na mataifa Makubwa wangeuachia?

Inahitaji akili ndogo Sana kutambua Jambo hili
Wanafanya white magic na sio black magic ufanywa na watu wenye akili duni hasa afrika.
Mtu alielimika hawezi kuwa mchawi.
 
Nguvu ya Uchawi ni 10% ya maisha halisi ya mwanadamu.

Uchawi hauna nguvu kihivyo.
Wanaoamini Uchawi unanguvu ni watu wajinga waliopotiliza kwenye ujinga wao

Inakuwaje mchawi anatumia Radi kumpiga mtu or mifugo Si watumie radi vitani pia
 
Mchawi ndie kiumbe mwenye kiwango cha chini sana cha kufikiri duniani mtu mwenye akili hawezi kuwa mchawi.
 
Back
Top Bottom