Barakate I have
JF-Expert Member
- Nov 16, 2021
- 736
- 664
Tulia. Kama umekolia maziwa ya ng'ombe na sio ya mama huitajiki huku.Hakuna uchawi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia. Kama umekolia maziwa ya ng'ombe na sio ya mama huitajiki huku.Hakuna uchawi!
Hiyo mbona ipo kama ndoto vile…
Duuh
Sasa hizi mindset ya kuamini ushirikina plus KILA mtaa mganga alileta mkoloni?We nikituko. Nanikakwambia wa afrika walikua niwachawi???
Hujijui, humjui mwafika alafu unaleta history ya kipindi Cha ukoloni na baada yaa.
[emoji1787]Kwenye Vita mbali Sana uko,
nenda apo benki tu.
Chuma ulete haifanyi kazi kabisa,na Washirikina hawatoi majibu yakueleweka[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
True umasikini, ujinga na uchawi vinaendana.ndo maana wachaw wengi mafukara..we uwezi kuta mchawi kanasa juu ya bati huko masaki au mikocheni
Kama wapi?Sasa hizi mindset ya kuamini ushirikina plus KILA mtaa mganga alileta mkoloni?
Penye ujinga uchawi unastawi.Angalia maeneo yanayoamini huu upumbavu yalivyoduni.
Uchawi umeharibu Sana mindset za wengi.Check watu waamini eti huwezi fanikiwa bila dawa, huwezi chimba madini bila dawa, huwezi vua samaki bila dawa, huwezi lima bila dawa,nk huu ni uongo mkubwa na ni total mindset rubbish hizi niKama wapi?
Kwaiyo waafrika tupo ivi kisa mindset ya uchawi?
Wewe husie amini ushirikina umevumbua Nini uko chuo??Kama sio ujanja wakuongea nakuoji tuu[emoji16][emoji16]
Kuna mzee mchawi alikua anakaa pale kwenye kidaraja NBC kinondoni,nahisi alikua anazipiga,haiwezekani kila siku awahi vileKwenye Vita mbali Sana uko,
nenda apo benki tu.
Chuma ulete haifanyi kazi kabisa,na Washirikina hawatoi majibu yakueleweka[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ivi hujawai kuskia Kuna kabila fulani afrika ya kati walikua nauwezo wakutengeneza bunduki?? Tangu lini wakaenda chuo??[emoji23][emoji23]Uchawi umeharibu Sana mindset za wengi.Check watu waamini eti huwezi fanikiwa bila dawa, huwezi chimba madini bila dawa, huwezi vua samaki bila dawa, huwezi lima bila dawa,nk huu ni uongo mkubwa na ni total mindset rubbish hizi ni
propaganda za washirikina ,kutwa watu wanabadili waganga na still matatizo yapo pale pale.
Ethiopia, Liberia akuwahi Mzungu kutawala wala kuchukuliwa utumwani.Ivi hujawai kuskia Kuna kabila fulani afrika ya kati walikua nauwezo wakutengeneza bunduki?? Tangu lini wakaenda chuo??![]()
![]()
wa moja wali fyekwa, wengine wakasafirishwa na mameli yao.
Sasa unatakiwa ujue kwamba, bila viumbe wakiroho huna utakalo liweza wewe.
Kitu mkoloni alifanya kwa akili kubwa, ilikua kukutenganisha na viumbe hao.
Na ndiomana kizazi chetu hakijitambui![]()
![]()
Hachana na mabubu zako wa juzi, wanakwambia kutoka mungu Ni mzungu![]()
![]()
![]()
Fwata hitoria ya noha/nuhu, analo jina lake la halali nasio hayo waliompachika wazungu, nimeandika hayo majina hili uelewe, Kuna kitu utajifunza happy.
Mapumbavu sana kila kitu kikienda vibaya tu yanasingizia kurogwa ilimradi tu yamtukuze shetani [emoji34]Weee jamaa nakuelewaga sana ,uchawi ni upumbavu uliozidi kiwango na nasikitika sana vijana wengi siku hizi ndio wameroea kwenye uchawi dah foolish kabisa
Mambo ya kukutenganisha na viumbe vyako vya kiroho yalianza kabla ya ukoloni.Ethiopia, Liberia akuwahi Mzungu kutawala wala kuchukuliwa utumwani.
Wao wataalamu wao walipotelea wapi
Tupe shule nani alitutenganisha na viumbe vya kirohoMambo ya kukutenganisha na viumbe vyako vya kiroho yalianza kabla ya ukoloni.
Dini zilianza kabla ukoloni na ndio fimbo ilio kuchapa barabara, na vyakula fulani fulani.
Na alafu kilicho sababisha wasitawali nchi izo nini?