Mwanakulipata
JF-Expert Member
- Jul 17, 2018
- 714
- 1,193
uchawi ni technique ndogo sana..nasikia chuma ulete ili ifanye kazi ni lazima akupe hela mkono kwa mkono..leo hii ukienda benk kumpa hela Teller unampa mkononi au unaweka pale kwenye kidirisha then anachukua??..kuna mwanangu mmoja ni mtu wa Finance aliniapanga hii ishuKwenye Vita mbali Sana uko,
nenda apo benki tu.
Chuma ulete haifanyi kazi kabisa,na Washirikina hawatoi majibu yakueleweka[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
kivipi thibitisha kauli yako chief
nipe intro kidogo kiongoziUlizia role ya mtu anaitwa brig bayeke mayunga ma mwita ndio utajua kama inahusika ama laa
Hata manati?[emoji1787]
unapozungumzia machimbo ni sehem tofauti mzee..kuleta hata mtu ambaye haamini uchaw ila lazzima atakwambia machimboni uchawi upo..Sawa nakusema uchawi unatumikaje machimbo..!
Wachawi wapo popote.unapozungumzia machimbo ni sehem tofauti mzee..kuleta hata mtu ambaye haamini uchaw ila lazzima atakwambia machimboni uchawi upo
We hujui vitu vingi kuhusu uchawi, ndio maana umetolea ako kamfanoKwenye Vita mbali Sana uko,
nenda apo benki tu.
Chuma ulete haifanyi kazi kabisa,na Washirikina hawatoi majibu yakueleweka[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Toa mfano, vitu gani vya kichawi vikiwekwa vitani vinaweza kuwa msaada..?!Ndugu zangu mshawahi kujiuliza kwanini uchawi hautumiki kwenye uwanja wa medani (vitani), nadhani kuna vitu vingi tumeshuhudia vya kichawi ambavyo ki uhalisia au ki fikra za kawaida tu vinaweza kuwekwa kwenye vita na vikafanya kazi..
lakini cha ajabu Uchawi hautumiki kabisaaa ani tena nasikia uzunguni huko uchawi wao upo developedππ sasa inashindikanaje wale wanajeshi wa upinzaniwakapigwa kimbora wakaumwa matumbo wiki nzima.
mi naona uchawi ni wa mchongo... kuna sababu nyingine?
ChumaUlete ni UCHOCHORO wa wafanyakazi wadokozi kuwaibia mabosi VILAZA!uchawi ni technique ndogo sana..nasikia chuma ulete ili ifanye kazi ni lazima akupe hela mkono kwa mkono..leo hii ukienda benk kumpa hela Teller unampa mkononi au unaweka pale kwenye kidirisha then anachukua??..kuna mwanangu mmoja ni mtu wa Finance aliniapanga hii ishu
sawaWachawi wapo popote.
Na wewe ukaaminiuchawi ni technique ndogo sana..nasikia chuma ulete ili ifanye kazi ni lazima akupe hela mkono kwa mkono..leo hii ukienda benk kumpa hela Teller unampa mkononi au unaweka pale kwenye kidirisha then anachukua??..kuna mwanangu mmoja ni mtu wa Finance aliniapanga hii ishu
Safi sana mkuuChumaUlete ni UCHOCHORO wa wafanyakazi wadokozi kuwaibia mabosi VILAZA!
Taratibu za kibenki ZIMEZIBA huo uchochoro!
Naongea kwa UZOEFU.
Mimi ni MFANYABIASHARA, nasema hiviii KIUHALISIA HAKUNA KITU KINACHOITWA CHUMA ULETE!!!
Mfanyakazi wako akikuletea habari za chumaulete, tia mabanzi, weka ndani... mwenyewe atakuonesha ALIPOFICHA HELA ZAKO!!!
nikaamini sababu sijuiNa wewe ukaamini