Hivi kwanini ukienda bar na mtu wa jinsia ya tofauti(me)unapata huduma mbovu?

Hivi kwanini ukienda bar na mtu wa jinsia ya tofauti(me)unapata huduma mbovu?

Kwasababu kila kitu kipo pale ......
20211230_183903.jpg
 
J acha basi mambo ya ajabu..
Hujwahi kwenda bar kweli!!.

Hakika leo nimechukia Kwa kiwango kizito mno😓😓

Nimekumiss pia Joana wangu..unaendeleaje mama
Hahahahh habari za huko bar kweli sina cha kuongelea

Pole kwa yaliyokusibu

Mie naendelea vizuri,habari za kwako?...nani alikuficha asee
 
Hahahahh habari za huko bar kweli sina cha kuongelea

Pole kwa yaliyokusibu

Mie naendelea vizuri,habari za kwako?...nani alikuficha asee
Kwakweli ninamasikitiko makubwa mno😩😩😩

Jambo la kheri kusikia kama unaendelea vyema.
Sikufichwa Na mtu ni majukumu ya hapa na pale yalichangia my Joana
 
Hakika leo nimekwazika kiwango cha juu mno..sijawahi kuchukia Na sipendagi kuchukia kiasi hiki cha leo

Hii tabia kuna baa flani mbeya ilikua nikitaka kwenda na mwanaume inabidi umtangulize akaagize then na wewe ufate vinginevyo mtakaaa hata nusu saa hakuna anaekuja kuwasikiliza na ikitokea amekuja hehehe utapata kichefuchefu mbona
 
Hii tabia kuna baa flani mbeya ilikua nikitaka kwenda na mwanaume inabidi umtangulize akaagize then na wewe ufate vinginevyo mtakaaa hata nusu saa hakuna anaekuja kuwasikiliza na ikitokea amekuja hehehe utapata kichefuchefu mbona
Ilikuwa hivyo Kwa kipindi chote ulichokuwa mbea
Ya au walikuja kukuzoea Na kupata huduma nzuri?
 
Wadada wa bar hawapendi kabisa wadada wenye shepu kuwazidi...wanakasirika na kununa kabisa..
Ndo maana bar kubwa lazima wawepo wahudumu wa kiume hata wawili...
Sasa mbona hata Sheri yenyewe sina The Boss ..
Leo nimeshuhudiwa Kwa macho mawili nikirushiwa chakula jaman.

Na wangejua niliyekuwa nae ni mdogo wangu hakika wasingenipa treat ile jamani🥲🥲🥲
 
Ilikuwa hivyo Kwa kipindi chote ulichokuwa mbea
Ya au walikuja kukuzoea Na kupata huduma nzuri?

Wale kawaida yao, watu wengi walikua wanalalamika, kama kubadilika labda wawe wamebadilika sasa
 
Sasa mbona hata Sheri yenyewe sina The Boss ..
Leo nimeshuhudiwa Kwa macho mawili nikirushiwa chakula jaman.

Na wangejua niliyekuwa nae ni mdogo wangu hakika wasingenipa treat ile jamani🥲🥲🥲
Huyo mdogo wako Ana tetea pale hasa huyo mtoa huduma
 
Kwakweli ninamasikitiko makubwa mno😩😩😩

Jambo la kheri kusikia kama unaendelea vyema.
Sikufichwa Na mtu ni majukumu ya hapa na pale yalichangia my Joana
Haya my dia,nimefurahi kukuona tena

Heri ya mwaka mpya
 
hata sisi wanaume tukienda bar peke yetu bila kampani ya mwanamke huwa tunahudumiwa kwa uchangamfu sana na wahudumu wa kike.

siku ukitaka kuona vituko nenda bar na mke wako/girlfriend au mwanamke yoyote tu. kaa nae mezani halafu muwe mnapiga story zenu kwa namna ya mahaba.

muhudumu yuleyule wa kike ambaye ukiwa peke yako huwa anakudumia kwa ucheshi na bashasha, siku hiyo atakuhudumia kwa kisirani sana. atakuwa very slow ku-serve meza yenu, pia atakuwa na majibu ya mkato kwa kila swali utakalomuuliza. ni full vituko.
 
Wahudumu wa kike huwa wana kasumba mbaya juu ya wateja wa jinsia nao sawa...

Tabia hiyo ipo pia hata sehemu nyinginezo kama banks, gas stations, kwa manesi/doctors (kama ni mwanaume ukitaka tibiwa vizuri, ulizia dokta wa kike 😉 hutajuta)...
 
Back
Top Bottom