Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Hicho Ndicho Kilitokea Siku Ile Nimeshukuru Sana Nilikuona Umepita Kidogo Maeneo Yale.KK hivyo unavyoandika ni kama kweli vile [emoji16][emoji16][emoji16]
Ww ni she or he?Mie nimekumiss tu
Mambo ya bar siyajuagi
"...unaweza kuta komenti yako ya mapenzi kwenye uzi wa mradi wa maji!,hujui imefikaje.."Mbona hata humu jf hiyo tabia ipo!
Mods wakike wakijua unamchumba nyuzi zako zitafutwa hovyo muda mwengine kuzi mix.. unaweza kuta komenti yako ya mapenzi kwenye uzi wa mradi wa maji!,hujui imefikaje..[emoji23]
Mbona hata humu jf hiyo tabia ipo!
Mods wakike wakijua unamchumba nyuzi zako zitafutwa hovyo muda mwengine kuzi mix.. unaweza kuta komenti yako ya mapenzi kwenye uzi wa mradi wa maji!,hujui imefikaje..😂
@Joanah atakua SHE.HE tuWw ni she or he?
Halafu ukienda mwenyewe ukiyaomba yanakunyima[emoji23][emoji23]Hakika leo nimekwazika kiwango cha juu mno..sijawahi kuchukia Na sipendagi kuchukia kiasi hiki cha leo
Pia ukienda na demu mkali sehemu ambako wanahudumia wahudumu wa kiume utapata huduma za kiwango cha juu mpk unaweza pata hofu.Mpk utasikia sweetie anasema jamani huyu kaka mkarimu sana na anahudumia vizuri,mwisho wa siku anakwambia husisahau kumwachia tip [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],sidhani km hiyo sehemu itakupa amani tena. Tuendelee kuhudumiwa na hao acha watupe huduma hovyo, wanawake si watu.Demu wako anabembelezwa kuliko unavofanya wewe, hatari sanaHakika leo nimekwazika kiwango cha juu mno..sijawahi kuchukia Na sipendagi kuchukia kiasi hiki cha leo
[emoji23][emoji23][emoji23]Unaongea kama kweli vile KK[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Utakuwa unaonekana huna hela au ni mbahili bia zako hazinyweki kirahisi🤣🤣Halafu ukienda mwenyewe ukiyaomba yanakunyima[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Yap hata mimi hiyo sehemu Siwezi acha enda 🤣Pia ukienda na demu mkali sehemu ambako wanahudumia wahudumu wa kiume utapata huduma za kiwango cha juu mpk unaweza pata hofu.Mpk utasikia sweetie anasema jamani huyu kaka mkarimu sana na anahudumia vizuri,mwisho wa siku anakwambia husisahau kumwachia tip [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],sidhani km hiyo sehemu itakupa amani tena. Tuendelee kuhudumiwa na hao acha watupe huduma hovyo, wanawake si watu.Demu wako anabembelezwa kuliko unavofanya wewe, hatari sana
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
hujwita menega kweli??Sasa mbona hata Sheri yenyewe sina The Boss ..
Leo nimeshuhudiwa Kwa macho mawili nikirushiwa chakula jaman.
Na wangejua niliyekuwa nae ni mdogo wangu hakika wasingenipa treat ile jamani🥲🥲🥲