Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
wakati wa Nyerere, Mkapa , Magufuli walikuwa hawaadimiki. halafu watu wanaulizana mbona vijana watz tofauti na wakenya?Kama hawaoni umuhimu wako, haina haja ya kulazimisha.
Keep your profil low
Inasemekana na posho nzitoHuwa wanalipiwa au wanajilipia gharama za kuhudhuria??
Kwenye nini?nyinyi Chadema mlialika viongozi wa dini pale mwembe yanga,na bado Mungu hakujibu mlichokiomba.
wakati wa Nyerere , Mkapa, Magufuli walikuwa kunguni? au akili zikuwa wapi?Wale sio machawa wana akili zao timamu Hawa wengine wazee wa fungu la nyanya
Ukitazama hapo kila mmoja yuko busy na simu kutafuta fursaWale sio machawa wana akili zao timamu Hawa wengine wazee wa fungu la nyanya
Utakuwa leukocyte muda si mrefu ππAu hawakualikwa, na kwanini hawakualikwa?
Je kuna ulazima wa kushirikisha watu wa Dini kwenye mambo kama haya, Kwanini?
View attachment 3058599View attachment 3058600View attachment 30586014
Naunga mkono hojaUkitazama hapo kila mmoja yuko busy na simu kutafuta fursa
HII ILIKUWA FUNCTION GANI?Au hawakualikwa, na kwanini hawakualikwa?
Je kuna ulazima wa kushirikisha watu wa Dini kwenye mambo kama haya, Kwanini?
View attachment 3058599View attachment 3058600View attachment 30586014
Uzinduzi wa SGRHII ILIKUWA FUNCTION GANI?
HayaUtakuwa leukocyte muda si mrefu ππ