Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Habari zenu nina imani mwabuheri wa afya.
Nadhani baadhi yetu tunasikia sana namna hao wadau tajwa hapo juu wanavyoopewa sana Kwa kupasua anga za mbususu, je wana utofauti gani wengine kiasi kwamba wanakuwa na utisho Kwa majirani Zao wenye wake.
Wana pepo gani Mtambuka kuwazidi wengine, au wana mahaba yenye mnyumbuliko wa aina gani?
Tujadili hili kama lipo au kama ni uzushi tuwasafishe hawa mabaharia wenzetu ili nao wapewe taswira ya majirani wema
Tuendelee kuwaombea wenye kundi la wana mtandao wanaoimiliki Tanzania kwa sasa.
Naelekea Sonni Lushoto nikapate maoni ya wazee kuhusu Mungu wa Bumbula alieoa mama yetu wa Kihaya.
Nimeanza na kundi lenye fragility kubwa kubalance upepoMbona hao uliowataja ndo wapo insecure Zaidi na wenza wao...maana wanachapika sana mtaani
umenichana vizuri sana Buda confidence na access, vipi hapo umejumlisha na pesa pesa madafu?Confidence na access walizonazo ni rare kwa watu wa kawaida. That why
umenichana vizuri sana Buda confidence na access, vipi hapo umejumlisha na pesa pesa madafu?
Habari zenu nina imani mwabuheri wa afya.
Nadhani baadhi yetu tunasikia sana namna hao wadau tajwa hapo juu wanavyoopewa sana Kwa kupasua anga za mbususu, je wana utofauti gani wengine kiasi kwamba wanakuwa na utisho Kwa majirani Zao wenye wake.
Wana pepo gani Mtambuka kuwazidi wengine, au wana mahaba yenye mnyumbuliko wa aina gani?
Tujadili hili kama lipo au kama ni uzushi tuwasafishe hawa mabaharia wenzetu ili nao wapewe taswira ya majirani wema
Tuendelee kuwaombea wenye kundi la wana mtandao wanaoimiliki Tanzania kwa sasa.
Naelekea Sonni Lushoto nikapate maoni ya wazee kuhusu Mungu wa Bumbula alieoa mama yetu wa Kihaya.
Huyo mke ni mama wa nyumbani au ana official job ?Asee wanaliwa ovyo wee acha tuu!kwanza waume zao unakuta wako bize kupitiliza hawana time na wake zao.jamaa yangu mjeshi mkewe analiwa na mgogo muuza nyama kuna siku kainamishiwa chini ya lile lizege ambalo juu ndio wanaweka ile mizani yao tangu siku ile hadi naogopa kuoa nimewadharau sana wanawake
Au wewe ndiye uliyemwinamisha mke wa mjeshi?? Nasikia anakutafuta!! HahahaAsee wanaliwa ovyo wee acha tuu!kwanza waume zao unakuta wako bize kupitiliza hawana time na wake zao.jamaa yangu mjeshi mkewe analiwa na mgogo muuza nyama kuna siku kainamishiwa chini ya lile lizege ambalo juu ndio wanaweka ile mizani yao tangu siku ile hadi naogopa kuoa nimewadharau sana wanawake
Hakuna ukweli wowote kwenye observation hii.Habari zenu nina imani mwabuheri wa afya.
Nadhani baadhi yetu tunasikia sana namna hao wadau tajwa hapo juu wanavyoopewa sana Kwa kupasua anga za mbususu, je wana utofauti gani wengine kiasi kwamba wanakuwa na utisho Kwa majirani Zao wenye wake.
Wana pepo gani Mtambuka kuwazidi wengine, au wana mahaba yenye mnyumbuliko wa aina gani?
Tujadili hili kama lipo au kama ni uzushi tuwasafishe hawa mabaharia wenzetu ili nao wapewe taswira ya majirani wema
Tuendelee kuwaombea wenye kundi la wana mtandao wanaoimiliki Tanzania kwa sasa.
Naelekea Sonni Lushoto nikapate maoni ya wazee kuhusu Mungu wa Bumbula alieoa mama yetu wa Kihaya.
Ila wao ndio wanapigiwa sana et eeeh?H
Hakuna ukweli wowote kwenye observation hii.
Kama hanywi.
Hapana, yeyote tu anaweza kupigiwa. Haijalishi kazi wala cheo chako.Ila wao ndio wanapigiwa sana et eeeh?
Influence ya status na kipato Chao ndio mwiba Kwa wake wa majirani zaoHapana, yeyote tu anaweza kupigiwa. Haijalishi kazi wala cheo chako.
Hapana. Kama mke wa jirani yako hajiheshimu hata kama we ni bodaboda tu unamgonga. Ni nidhamu ya mwanamke tu.Influence ya status na kipato Chao ndio mwiba Kwa wake wa majirani zao