Hivi kwanini wanaume tukiingia kwenye mahusiano na wanawake wanaotuzidi umri tunazama sana kimapenzi?

I thought ni mimi tu ndo niliyenotice hiki...Mbaya zaidi at 25 alikua na tabia za ajabu na kijinga hivyo wakati ni mtu mzima kabisa...Only explanation i can accept ni hiyo,mental issues!.I think ndo maana huyo manzi alitemana nae chap.
 

Oya mzee rud bac nimeipend hii post yako
 
Kuanzia leo msiwapopoe mawe wasichana wadogo wanaotoka na wababa, wanapata same treatment kama mnazopata nyie, tofauti ni kuwa wababa show zao sio kama za vijana.

Nyie wote ni wale wale, msisemane , mpendane na muombeane 😀😀
 
Kuanzia leo msiwapopoe mawe wasichana wadogo wanaotoka na wababa, wanapata same treatment kama mnazopata nyie, tofauti ni kuwa wababa show zao sio kama za vijana.

Nyie wote ni wale wale, msisemane , mpendane na muombeane [emoji3][emoji3]
Hatuwapondi mawe bali tunatoa tahadhari maana soko lao liko limited to short time, mwanaume anaweza hang out na mashangazi weee akichoka anaoa kabinti kabichi na maisha yakaendelea

Sasa kwa hawa mabinti wadogo at early 20s wanashinda na wazee wakati ndio time ya kutengeneza bond ya mahusiano, wakifika 30s' wanaanza kuhaha kutafuta ndoa na watu sahihi inakuwa too late wanageuka kuwa mashanganzi walezi wa wana

Kila upande una athari tatizo ni ukubwa wa athari kwa pande hizo.
 
Sahihi.
 
I thought ni mimi tu ndo niliyenotice hiki...Mbaya zaidi at 25 alikua na tabia za ajabu na kijinga hivyo wakati ni mtu mzima kabisa...Only explanation i can accept ni hiyo,mental issues!.I think ndo maana huyo manzi alitemana nae chap.
Ahsante brother.
Wengine waliamua kukaa kimya waone watu wakijiexpose humu.


Mental illness is real.
 
unapenda midondoko kwa wasimbe.
 
Hahahaah eti shwaini. Nimecheka
 
kwahuyo demu unaonekana huna vigezo vya mashangazi wavitakavyo.Sema ulimuwin wakati yuko na upwiru.Akili ilivyomrejea akona hapa sikuwaza kwa akili ni nyege tu zilikuwa zinanisumbua.

Amini kwamba kama huyo mshangazi ungekuwa unamkojoza vilivyo bado ungekuwa unamchanua kama kawaida hata huko Mwanza ungekuwa unatumiwa ticket go n teturn na posho unakula.

N:B#1.Demu/Mwanamke/Mshangazi unatakiwa akupende sana wewe kuliko unavyompenda yeye.

2.Ukiwa kwenye mahusiano unatakiwa ujiandae kwa lolote muda wowote.Demu kabla hajasema uachane nae wewe kama spy unatakiwa uwe ushajua sign kitambo,akija na hilo wazo wewe tayari kitambo ulishakuwa na jibu lake.

Mwanamke akikwambia tuachane.Jibu lako ni "Sawa".Au kakutxt unakausha tu hujibu chochote.Akipiga kutaka kusikia kutoka kwako unasema naheshimu maamuzi yako,ukiona anajichekesha oh nilikuwa nakupima kama kweli unanipenda...na wewe unachange gear angani na mimi nilikuwa nakutania mpenzi wangu,mimi niachane na wewe mrembo wa moyo wangu!

Muhimu kukaa kimaster muda wote na chochote,ukizingatia hayo mapenzi hayawezi kukutesa kamwe.
 
nikamjibu thanx too.. who knows may be next WEEKEND could be me and u, just US. how abt that? kumbuka hapo mhudumu analipwa kwa Kila route anayoenda, msiogope ni 2K namshikisha kwa route . I did it on purposely.. hela yangu haiendagi Bure aroooh.
kimemo kikamfikia mlengwa, namtizama kwa jicho la kuibia nione atareact vp.
bi mkubwa kasoma Kile kimemo akaishia kusmile na kutikisa kichwa Kisha akarudi kwenye kimemo akajibu I WOULD LOVE THAT..
this time mhuni sikuwa na mambo mengi nikamchorea namba zangu kwenye kimemo, mhudumu akafanya kazi yake.. Mimi huyoo bizee na watoto wang, nshapewa jina la biggy daddy mbichwaaa huoo.
Hapo kwenye digits zangu naomba niwaweke sawa vijana wenzangu.. najua 90% ya vidume mngeomba nyie namba kwa yule bi mkubwa.. for me it was totally different.. I had to behave like a gentleman, not a classic man. nilifanya vile ili kumuonyesha kwamba whatever happens am good with it, I have got nothing to lose.. whether u find me or not life goes on as long as am already put my proposal on the table and u accept it so it's up to wewe upige hatua unifate.
hatukuchukua muda sana ikabidi niwachomoe madogo twenzetu home. tukatoka zetu mdogo mdogo sikutaka hata kumuangalia nipo bizee naelekea kwenye msubaru wang namba B umechoka balaa, ingine ikiwa on basi mikelele flan hivi ya kinyama lazma ugeuke. mbichwaa huo barabaran kama gari langu vile kumbe nilipewa na anko nipashe injini, mda mrefu lipo tu limepaki.

narudi mida ya saa tatu wanangu niwape story yaliyojiri, usiache kuLike ili nikumention iwe rahisi kupata updates za kipande kijacho
princeNathan
 
Umenikumbusha jamaa yangu mmoja yeye alikuwa na mahusiano ya siri kama hayo na rafiki wa mama yake. Basi hadithi ilikuwa kama yako siku aliyoambiwa sasa basi alilia sana. Akiulizwa na mama yake hana jibu.
 
Sema mwanangu umetupiga, maji lita tatu unayajua kweli mzee au hata vikombe vitatu sidhani kama huwa yanafika.

Ngoja waliowahi kuwatoa wanawake maji waje waseme
 
Mental illness is real.
Naona hii ndo kauli mbiu yako

Ebu nijibu swali, mm ambaye nimeandika tuu story kwa kiufupi sana bila kuelezea mambo kiundani na ww ambaye umesoma tuu story ilioandikwa na mm uka jump to conclusions ukaja na matusi yako, unatukana bila sababu yeyote, nani ana matatizo ya akili??

Maybe hujui nn maana ya matatizo ya akili, learn things first before they become part of your vocabulary brother.
 

Miaka mi4 huyo ni age mate punguza wenge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…