Hivi kwanini wanaume tukiingia kwenye mahusiano na wanawake wanaotuzidi umri tunazama sana kimapenzi?

Hivi kwanini wanaume tukiingia kwenye mahusiano na wanawake wanaotuzidi umri tunazama sana kimapenzi?

Nilikuwa Chuo mwaka wa Pili, mtaani nilikutana na mama muuza uji. Alikuwa ni Mnyarwanda anaitwa Linah, kwa ujumla alikuwa mrembo sana(black beautiful, hips kubwa, tako laini na kimo chake ni Kama futi tano na nusu, macho yake yalikuwa kama ya mdoli/katuni wa kwenye TV.

nilikunywa kikombe kimoja, uji ulikuwa mtamu sana, nikamuomba namba ili nikihitaji aniletee.

Baadae tulizoeana sana nikaja kugundua Ni mjane wa miaka 40 Mwenye watoto watatu, mkubwa ni msichana wa miaka 14, Wakati huo Mimi nilikuwa na miaka 25.

Tuliingia kwenye mapenzi akawa anavutiwa sana na mboo yangu ya kimaasai(mimi ni maasai na huwa tunatahiriwa kwa mtindo tofauti Na waswahili, Sasa yeye akawa anasema Ni tamu sana). Alikuwa na wivu sana, Mara kwa mara alikagua simu yangu na hata akikuta mawasiliano ya kawaida na wasichana alikuwa anasema "kaa mbali nao maana mazoea yanaanzaga hivi baadae mtatongozana".

Hadharani na wakati mwingine faraghani Alipendelea kuniita"mwanangu" hivyo watu wengi walidhani labda Ni mama mdogo wangu au shangazi. Alikuwa ananivua nguo ananikagua mwili mzima akiona hata kovu dogo anauliza " hapa ulifanyaje?". Alininyoa, Aliniogesha, Alinivalisha na kunipikia chakula Kitamu.

Alipofahamu kuwa napenda chapati, aliniandalia chapati kwa kutumia unga wa ngano, maziwa fresh, blue band na viungo vyenye harufu ya kuvutia sana, kwa ufupi chapati zilikuwa Kama za Serena hotel.

Kila baada ya kumchapa aliiosha rungu yangu(alikuwa haniruhusu nishike kabla hajaosha, anasema "usishike uchafu mwanangu mzuri"). Akishanisafisha alinikumbatia na kunishukuru na kunipa pole kwa kazi. Baada ya hapo aliniambia nipumzike aniandalie chakula. Wakati anaanda chakula alipendelea kuvaa shati langu kubwa na huku chini alikuwa mtupu.

Kwahiyo wakati mwingine akiwa anapika nilikuwa naamka naenda kusimama nyuma yake na kumshika shika hips na tako lake laini huku nikimuambia yupo vizuri, yeye alinijibu "ni yakwako yote mwanangu mzuri, enjoy, yashike utakavyo". Basi Mimi wakati mwingine nadata kabisaa naanza vurugu Hadi anaahirisha kupika tunarudi raund nyingine ya pambano.

Wakati mwingine aliniambia niweke mziki ninaoupenda anichezee, alafu anaukalia ukuni alafu anaukatikia kulingana na biti na mdundo wa mziki huku mikono yangu ikishika_shika kiuno, tako lake laini na hips kubwa. Huyo mama alifanikiwa kuiteka akili yangu kiasi kwamba hata wasichana wa rika langu sikuwazingatia tena

Kutokana na kwamba nilikuwa mwanafunzi, Kwenye Mahusiano yetu Sikuwa na la maana la kumpa Ila yeye alinigawiwa vyombo vya ghetto na baada ya kuhitimu alinipa mbuzi wawili wa kisasa akasema" najua maasai wangu unapenda maziwa ya mbuzi, wachikue Hawa majike wawili, wakipandwa na beberu wa kienyeji watazaliwa machotara ambao watahimili Hali ya hewa yeyote na watatoa maziwa mengi kwaajili yako mwanangu" . Kwa ufupi alinilea Kama Mtoto wake.

Baada ya masomo nilirudi nyumbani, mawasiliano ya alipungua Hadi yakaisha.

Kwa kuhitimisha, Ni kweli wanaume tukiingia kwenye mahusiano na wanawake wanaotuzidi umri tunazama sana kimapenzi kwa sababu ya higher level of care and respect tunayopewa ukilinganisha na Hawa wasichana washenzi, ambao wanataka Queen- level treatment wakati wao hata ubunifu kwenye Mahusiano hawana. Kazi ni kupiga mizinga tu shwaini.
Duh! Aisee 🤔
 
Dhambi zote zina uzito sawa! Mungu ni wetu sote.....acha watu waongelee faida na hasara za kuwa na shangazi..
dhambi zote ni dhambi, ila sio sahihi kusema watu waongelee faida za kuwa na mashangazi. kuna faida gani unayotaka kujustify uzinzi?
 
dhambi zote ni dhambi, ila sio sahihi kusema watu waongelee faida za kuwa na mashangazi. kuna faida gani unayotaka kujustify uzinzi?
Mbona hasara hujauliza? Faida zipo Soma huu Uzi wa kutulia, mpendwa kafungue Uzi wako wenye " HASARA ZA UZINZI" maana ulishazinzika weee, Sasa umezeeka unasumbua watu!

Tulia mkuu, punguza insha! Kila mtu ananafasi yake kwa Mungu na kila mtu atahukumiwa kwa matendo yake!
 
No, ni vile tu ukiwa na mtu ambae mahusiano yenu sio exploitive and demanding.

Uchawi wa mapenzi ni mtu akugeuze uwe kitega uchumi wake na askali wa kukufuatilia. Hapo utano kero tu.

Ndo maana mm sipendagi kabisaa demu mwenye mindset ya utegemezi
 
Kuna Mama ilitokea incident tukazoana chitchat za hapa na pale akasema ana mtoto mkubwa kuliko au tuseme kunizidi Mimi na sasa yupo Chuo anachukua master's yaan Mama kanizidi umri na mtoto wake wa kiume kanizidi umri pia nikaomba picha akatuma WhatsApp nikachoka ametuma amesimama nae pamoja wamelingana anasema ndio mwanae na wanafanana nikaona isiwe tabu tukamalizia hapo hakikuendelea kitu ingawa alikua ananielewa sana

The End.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
nimeshawahi kuwa mzinzi sana. ninyi nyote chamtoto tu. namshukuru Mungu alinineemia, nilistahili adhabu sana lakini alinisamehe. kitu pekee nilichojifunza ni kwamba, hakuna dhambi ambayo huwa inaenda bure kama hautatubu na kuiacha, kuna siku tu ya arobaini yako itakuletea madhara. mshahara wa dhambini mauti, bali karama ya Mungu ni uzima wa milele. inaweza kuwa mauti ya maisha yako/uhai, mauti ya pesa zako, mauti ya hatima yako ya maisha, unajinajisi, mauti ya vitu vingi. pale mnapozini huwa ni mlango wa mashetani mengi yanayokuja kuua vitu maishani mwako kiroho na kimwili pia. Mungu awasaidie mkumbuke hili na Mungu anisaidie na mimi kuikimbia zinaa.

zinaa dawa yake ni kukimbia mazingira yake yote, discussions zake zote, usipende kuwa karibu na mwanamke ambaye unajua lolote laweza kutokea, ikimbie, usipende kuwa na mwanamke ninyi wawili tu hakuna mtu mwingine, lolote laweza kutokea, kati ya dhambi yenye nguvu sana duniani ya kwanza ni zinaa, mwanamke akishaweka mazingira tu mwanaume huwa ni rahisi sana kudondoka. na shetani kwasababu anajua hilo, huwa anawaingia wanawake anawatumia kama chombo, inasemekana hadi baadhi ya wanawake hua wanakuja kustuka baadaye sana na kujilaumu imekuwaje wakatembea na mtu fulani, hadi wanajilaumu, kumbe shetani aliwatumia kama chombo ili kupata mlango wa kuingia kwa mtu fulani na kumharibia maisha yake kwa nuksi, kufunga milango ya baraka, magonjwa na mauti.

Yesu Yuaja, tuiogope dhambi. wakati watakaposema kuna amani, ndipo uharibifu uwajiapo, pale unaposema huyu ndio mwanamke wa kuzini naye nyuma yake kuna uharibifu unakufuatilia.
Umejuaje kuwa wengine ni cha mtoto kwenye uzinzi Zaidi yako?
 
Habari wakuu, Huu ni Muendelezo....

Baada ya kukata mawasiliano na mm, hali yangu haikuwa nzuri, i wasn't in the mood to do anything, Mm ni mpenzi sana wa documentaries za wildlife, scince and space, hadi hizo nikaacha kuangalia, i was miserable, ilikuwa kipindi kigumu sana kweny maisha yangu.

Niliumwa vibaya sana hadi nikalazwa kama siku mbili hv, palepale hospitali ya chuo muhimbili, mama alivokuja kunitembelea alihuzunika sana, sio tuu kwa sababu nililazwa but kwa sababu doctor alimwambia mwanao anasumbuliwa na stress sana mwili wake unaishiwa nguvu, mama alinisihi sana nimweleze ninasumbuliwa na nn lakini sikumwambia kitu, nilimwambia tuu masomo magumu.

Baada ya kupona nilipunguza kuongea na watu, sikuwa mchangamfu kama hapo awali, mshkaji wangu wa karibu ambaye nilikuwa nakaa nae room moja, nasoma nae kozi moja na tulikuwa pia tunasali dhehebu moja alihisi siko sawa, Alinisisitiza sana nimweleze nn kimenitokea, nilimwambia kila kitu From A to Z, aliumia sana kwa sababu ana experience na haya maumivu, yeye mwenyew alishawahi kumpenda mdada flani huko nyuma but mahusiano yao hayakuisha vizur na alishawahi kuniadisia siku za nyuma.

Bac yule mshkaji wangu alikuwa haniachi nibaki mwenyew, kila sehemu niendako tuliongozana(of course ilikuwa rahic muda wote kuwa wote cause ratiba zetu zilikuwa zinafanana sana), aliogopa naweza kujidhuru, I'll admit sikuwa sawa kiakili but mawazo ya kujidhuru sikuwa nayo, but my friend didn't take any chances, hakuniacha room mwenyew, alikuwa akijitahidi kunichangamsha sana, baada ya muda hali yangu ikarudi kawaida.
A FRIEND IN NEED IS A FRIEND INDEED, Thank you brother.

Wakati tukiwa bado kweny mahusiano tulitumia Gmail kuchat mambo yetu sensitive, normal text zilikuwa za kujuliana hali tuu, niliacha kumtafuta yule mrembo because alinambia nisifanye hivo nitamkwaza, and the last thing I wanted to do is to make her sad, I never wanted that, alinambia niheshimu maamuzi yake na nikubaliane na hali halisi, tuliheshimiana sana, alinambia "Huumii peke yako hata mm naumia, sijawahi pata mtu tunaye bond kama mm na ww, inaniumiza na mm pia".
Nilimsihi bac hata tuwe marafiki, akacheka then akasema "tutaumizana zaidi, una hisia kali sana kwangu, ukaribu na mm utakuongezea machungu na mm sitaki nikuone unaumia, you're young you need to enjoy life" nakumbuka nilimjibu "there is nothing to enjoy about my life"

Ilipita miezi hatukuwasiliana, hali yangu ikaimarika, sasa kuna siku sister akaniita ofisini kwao nimsaidie kufanya mambo flani, nikaenda kumsadia chap ili nirudi chuo, baada ya kumaliza nikatoka nje ya jengo ili niondoke, nilikutana na yule mrembo bhana uso kwa uso, aisee mapigo ya moyo yalienda kasi sana, alishtuka kuniona, tulisalimiana vizur tuu na kujuliana hali, aliniuliza kulikoni nikamwambia "nimekuja kumsaidia sister na baadhi ya vitu" akasema "Sawa haina shida", tukaagana pale nikaondoka, hakutaka kuongea na mm sana na nilimwelewa.

Njiani nilimuwaza sana hadi nafika chuo, ni kama vile nimejitonesha kidonda, jioni ya ile siku nilipokea an email notification, kuifungua ni yule mrembo alikuwa amenitumia email anataka tuonane, alisema pc yake inashida siku hz ipo slow sana, aisee nilifurahi sana, I thought maybe she wanted me back, jioni ya kesho yake tulikutana sehemu flani, nikachukua pc yake nikafanya madude yangu pale na kumpa ushauri kidogo juu ya tatizo la pc ili lisitokee tena.

Aliniangalia sana usoni kwa huruma wakati naongea hadi niliona aibu, alinambia "I miss you so much" nikamjibu "well the feeling is mutual", alinambia kwa msisitizo sana "kusema ukweli our connection was strong na ulikuwa unanisaidia mambo mengi sana ya kila siku ambayo bila ww ilibidi niajiri watu niwalipe hela, ila ww ulikuwa unanifanyia bure ahsante sana, nimemiss sana kuongea na ww, ulikuwa unanielezea mambo mengi ambayo nilikuwa sifahamu kuhusu nature and science stuff, yalinivutia sana", kiufupi i was very resourceful to her.

Tuliongea mambo mengi sana kuhusu maisha, alinambia "Love is sacrifice, kama hauko tayar ku-sacrifice you did not love, just imagine tungeendelea na yale mahusiano kwa mwaka, tungezidi kupendana zaidi na ingekuwa ngumu kuachana, imagine tena mahusiano yetu yamedumu miaka miwili, ingekuwa ngumu zaidi, bora tulivo stop mapema, mfikirie mama ako angejua una mahusiano na mwanamke aliyekuzidi miaka 16, asingefurahi kabisa, na mm ni mama naelewa".

Kusema ukweli i understood her point of view, nilimwambia "sawa haina shida its all behind us". Nilimweleza sitakuja kupenda mwanamke mwingine kama ninavyompenda yeye, she will always be special to me, alicheka sana na kunambia nisiseme hivo namuumiza.
Nilimjulia hali mtoto wake alisema anaendelea vizur, mwishoni alinambia anahamishwa anapelekwa branch ya mwanza anaondoka wiki ijayo, anahitajika mtu akaongeze nguvu huko.
Nilimtakia kila la kheri, tukaagana nikaondoka.

Tuliendelea kuchat kwa email mara moja moja kwa kusuasua, likizo alirudi dar nilimwomba tukitane, alikuwa anakata alisema "I need to move on" bac tukawa tunachat hivohivo kwa email hadi mawasiliano yakakatika.

Her name was Rachel and I was Head over heels in love with her.

HITIMISHO.
nimejikuta natoa chozi,mapenzi yanaraha na maumivu pia
 
Back
Top Bottom