Hivi kwanini wanaume wa zama hizi sio wavumilivu, na hawajiongezi?

Hivi kwanini wanaume wa zama hizi sio wavumilivu, na hawajiongezi?

Umeongea point nyingi za msingi

Ila kuna nyingine uko selfish, why ww unataka kupewa hela wakati wewe hautaki kumpa mbususu?

Kama ww hutaki sex basi wacha kuomba hela zake hata kama ni ndogo elfu 5 acha
 
Mtoa mada hana akili timamu...
Hio namba tatu nahisi n mwanaume wako yuko hvo....
 
1: Mwanaume unashindwa kuvumilia sex mpaka ndoa... Na badala yake umetongoza Leo baada ya wiki unataka starehe ya mwili. Wewe si useme tu kuwa hitaji lako ni sex tu basi na acha kuzunguka zunguka kuwa nataka kuoa?
Hapo kwenye namba 2 umeharibu shoga! Kumbe wewe unauza mapenzi!. Unahusianishaje kuombwa penzi na wewe kuomba 5,000?
 
Hiyoo number 6 itoe mkuu hata mababu zetu walishindwa na kuoa mke zaid mmoja
 
Mapenzi ya zama za iPhones works likes car cooling systems... radiator (mahusiano) inapozwa na coolants (pesa) then hot coolant (penzi) inatoka the other way, kwenda kwenye engine....If this process doesn't happen radiator huzima (gari inachemsha)....This is the law of nature....Pesa hulainisha mahusiano then penzi hutoka...
 
Mwanaume lazima awe na sababu ya ugomvi amani ikizidi mtaanza kushikana matako ndani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
 
Utaki kutoa kipochi manyoya mpka ndoa Ila unataka hela zake 😁 wewe ni Malaya tu
 
1: Mwanaume unashindwa kuvumilia sex mpaka ndoa... Na badala yake umetongoza Leo baada ya wiki unataka starehe ya mwili. Wewe si useme tu kuwa hitaji lako ni sex tu basi na acha kuzunguka zunguka kuwa nataka kuoa?

2: Mwanaume unatongoza, umekubaliwa tayari. Unaanza kuuliza vipi Sasa tutalala pamoja lini?. Ilhali unaombwa elfu 5 tu , huna unaitafuta mwezi mzima. Unafikiri Kuna mdada atakufikiria kweli?

3: Unaenda Nyumbani kwa mwanamke wako, unakaa wiki, hujiongezi Wala nini. Unatumia dawa yake ya mswaki, maji yake, Taulo lake, msosi wake, tena unakaa kabisa unabadili na chaneli unavyotaka wewe. Na simu unachaji kabisa. Hiiii Yani huoni aibu ilhali hujachangia hata sent 5??. Unaombwa pesa ya umeme unasema sina, Sasa unapata wapi nguvu ya kukaa kwake wiki nzima huku huna mchango wwte, zaidi ya show tu?

4: Mwanamke wako anakuambia "baby nna njaa". Eti unamjibu "chukua chakula ule". Au " hapo Nyumbani kwani hakuna chakula". Unatakiwa ujiongeze utume pesa ya kula. Mbona mambo mengine yanaeleweka. Unaambiwa "naumwa" tuma pesa ya hospitali na sio nenda hospital.

5: Unaombwa pesa kidogo kidogo tuuu ya majukumu yake, unasema yule mwanamke Malaya. Sasa baba unataka ule uroda bila kuhudumia?. Oooh Kuna mapenzi bila pesa, hahahaha nicheke Sana, hivi unaweza kwenda lodge bila pesa wewe?. Unaweza kwenda out bila pesa wewe?

6: Mkeo mjamzito, unatoka unaenda kutembea na wanawake wa nje, hivi unashindwa kuvumilia ata miez 3 kweli?... Uvumilivu mbona hamuna nyie

7: Mwanaume unampa mimba mtoto wa watu, halafu unaikataa. Kipindi unakula starehe hukujua kuwa Kuna kitu kinaitwa mimba???. Mtoto akishakuwa ndiyo mnakuja kuja huyu mtoto wangu, huku hujui hata amekuaje kuaje kufikia umri huo. Ww ni wa kupigwa kabisa.

8: Mwanaume unalia Lia mapenzi tu, Kila siku nyuzi za wanaume kulia na kulizwa mapenzi. Kazi yako kutafuta Hela, mpenzi yatakukutia mbeleni. Wajibu wako ni kutongoza yyt yule umtakaye na sio kulia Lia mapenzi kisa mtu mmoja ambaye ameamua kufanya yake, nawe tafuta wako.

9: Chumba Cha mwanaume ni kichafu hatari, usafi ni mara 1 Kwa mwezi. Soksi zake Sasa zitazame huwezi ata kuzinusa Yani. Unamsubiri mtoto wa watu tena ambaye humpi huduma yoyote aje akufulie na huduma akupe. Mwanaume kuwa smart bhana. Kuwa nadhifu kabisa, hata ukionekana mtaani, unakubalika. Hata kama huna Hela.

10: Mwanaume unakaa kabisa unajisifia tena mbele ya wanaume wenzio, eti ooh yule manzi acha kabisa, kafa kaoza kwangu, ananipa chochote nachotaka, hata tukitoka out yeye ndiyo ananipenyezea pesa Ili Mimi nilipe nionekane nimelipa Mimi kidume, nguo ananinunulia mpaka boksa. Hapo huyo mwanaume yupo Nyumbani tu anakula na kulala. Eti ooh Mimi ni mzuri, hakuna mwanamke atanikataa, wenyeweee wananihonga.

Khaaaa Yani unajisifia kuhongwa na mtoto wa kike?, Mbona Kuna vijana wa hovyo Sana??. Yani ni bora hata yule muuza ndizi, akirudi anampa manzi ake shng 1000. Kuliko ww unayejisifu kupewa. Unajisifia uzuri eti, ata huwe kama amo rapa ukiwa na Hela hukataliwiii. Mtoto Wa kiume piga Kazi...Mwanaume wa ukweli hawez kukubali pesa ya mwanamke wake ata siku 1.

HONGERA SANA KWA WANAUME WANAOJIONGEZA HAPA DUNIANI. WAJENGEWE SANAMU LA PEKE YAO.
Wivu utakuuua.kwani wajameni mliambiwa sisi hatupendwii!!!
Ke mna wivu sana. nilimsikia mama greener ananiteta na mke wangu bana daaaa!! Eti akaniomba msamaha nilimuangaliaaaa...wivu tu saabu napendwa.
 
1: Mwanaume unashindwa kuvumilia sex mpaka ndoa... Na badala yake umetongoza Leo baada ya wiki unataka starehe ya mwili. Wewe si useme tu kuwa hitaji lako ni sex tu basi na acha kuzunguka zunguka kuwa nataka kuoa?

2: Mwanaume unatongoza, umekubaliwa tayari. Unaanza kuuliza vipi Sasa tutalala pamoja lini?. Ilhali unaombwa elfu 5 tu , huna unaitafuta mwezi mzima. Unafikiri Kuna mdada atakufikiria kweli?

3: Unaenda Nyumbani kwa mwanamke wako, unakaa wiki, hujiongezi Wala nini. Unatumia dawa yake ya mswaki, maji yake, Taulo lake, msosi wake, tena unakaa kabisa unabadili na chaneli unavyotaka wewe. Na simu unachaji kabisa. Hiiii Yani huoni aibu ilhali hujachangia hata sent 5??. Unaombwa pesa ya umeme unasema sina, Sasa unapata wapi nguvu ya kukaa kwake wiki nzima huku huna mchango wwte, zaidi ya show tu?

4: Mwanamke wako anakuambia "baby nna njaa". Eti unamjibu "chukua chakula ule". Au " hapo Nyumbani kwani hakuna chakula". Unatakiwa ujiongeze utume pesa ya kula. Mbona mambo mengine yanaeleweka. Unaambiwa "naumwa" tuma pesa ya hospitali na sio nenda hospital.

5: Unaombwa pesa kidogo kidogo tuuu ya majukumu yake, unasema yule mwanamke Malaya. Sasa baba unataka ule uroda bila kuhudumia?. Oooh Kuna mapenzi bila pesa, hahahaha nicheke Sana, hivi unaweza kwenda lodge bila pesa wewe?. Unaweza kwenda out bila pesa wewe?

6: Mkeo mjamzito, unatoka unaenda kutembea na wanawake wa nje, hivi unashindwa kuvumilia ata miez 3 kweli?... Uvumilivu mbona hamuna nyie

7: Mwanaume unampa mimba mtoto wa watu, halafu unaikataa. Kipindi unakula starehe hukujua kuwa Kuna kitu kinaitwa mimba???. Mtoto akishakuwa ndiyo mnakuja kuja huyu mtoto wangu, huku hujui hata amekuaje kuaje kufikia umri huo. Ww ni wa kupigwa kabisa.

8: Mwanaume unalia Lia mapenzi tu, Kila siku nyuzi za wanaume kulia na kulizwa mapenzi. Kazi yako kutafuta Hela, mpenzi yatakukutia mbeleni. Wajibu wako ni kutongoza yyt yule umtakaye na sio kulia Lia mapenzi kisa mtu mmoja ambaye ameamua kufanya yake, nawe tafuta wako.

9: Chumba Cha mwanaume ni kichafu hatari, usafi ni mara 1 Kwa mwezi. Soksi zake Sasa zitazame huwezi ata kuzinusa Yani. Unamsubiri mtoto wa watu tena ambaye humpi huduma yoyote aje akufulie na huduma akupe. Mwanaume kuwa smart bhana. Kuwa nadhifu kabisa, hata ukionekana mtaani, unakubalika. Hata kama huna Hela.

10: Mwanaume unakaa kabisa unajisifia tena mbele ya wanaume wenzio, eti ooh yule manzi acha kabisa, kafa kaoza kwangu, ananipa chochote nachotaka, hata tukitoka out yeye ndiyo ananipenyezea pesa Ili Mimi nilipe nionekane nimelipa Mimi kidume, nguo ananinunulia mpaka boksa. Hapo huyo mwanaume yupo Nyumbani tu anakula na kulala. Eti ooh Mimi ni mzuri, hakuna mwanamke atanikataa, wenyeweee wananihonga.

Khaaaa Yani unajisifia kuhongwa na mtoto wa kike?, Mbona Kuna vijana wa hovyo Sana??. Yani ni bora hata yule muuza ndizi, akirudi anampa manzi ake shng 1000. Kuliko ww unayejisifu kupewa. Unajisifia uzuri eti, ata huwe kama amo rapa ukiwa na Hela hukataliwiii. Mtoto Wa kiume piga Kazi...Mwanaume wa ukweli hawez kukubali pesa ya mwanamke wake ata siku 1.

HONGERA SANA KWA WANAUME WANAOJIONGEZA HAPA DUNIANI. WAJENGEWE SANAMU LA PEKE YAO.
Hiyo namba 2, wewe na wenzio na nyie mvumilie mpaka ndoa..!!
 
Mbona yamekuuma sana , karne hii lazima tuombe sex ndo tuoe maana wengi wenu mmeonjwa sana
 
1: Mwanaume unashindwa kuvumilia sex mpaka ndoa... Na badala yake umetongoza Leo baada ya wiki unataka starehe ya mwili. Wewe si useme tu kuwa hitaji lako ni sex tu basi na acha kuzunguka zunguka kuwa nataka kuoa?

2: Mwanaume unatongoza, umekubaliwa tayari. Unaanza kuuliza vipi Sasa tutalala pamoja lini?. Ilhali unaombwa elfu 5 tu , huna unaitafuta mwezi mzima. Unafikiri Kuna mdada atakufikiria kweli?

3: Unaenda Nyumbani kwa mwanamke wako, unakaa wiki, hujiongezi Wala nini. Unatumia dawa yake ya mswaki, maji yake, Taulo lake, msosi wake, tena unakaa kabisa unabadili na chaneli unavyotaka wewe. Na simu unachaji kabisa. Hiiii Yani huoni aibu ilhali hujachangia hata sent 5??. Unaombwa pesa ya umeme unasema sina, Sasa unapata wapi nguvu ya kukaa kwake wiki nzima huku huna mchango wwte, zaidi ya show tu?

4: Mwanamke wako anakuambia "baby nna njaa". Eti unamjibu "chukua chakula ule". Au " hapo Nyumbani kwani hakuna chakula". Unatakiwa ujiongeze utume pesa ya kula. Mbona mambo mengine yanaeleweka. Unaambiwa "naumwa" tuma pesa ya hospitali na sio nenda hospital.

5: Unaombwa pesa kidogo kidogo tuuu ya majukumu yake, unasema yule mwanamke Malaya. Sasa baba unataka ule uroda bila kuhudumia?. Oooh Kuna mapenzi bila pesa, hahahaha nicheke Sana, hivi unaweza kwenda lodge bila pesa wewe?. Unaweza kwenda out bila pesa wewe?

6: Mkeo mjamzito, unatoka unaenda kutembea na wanawake wa nje, hivi unashindwa kuvumilia ata miez 3 kweli?... Uvumilivu mbona hamuna nyie

7: Mwanaume unampa mimba mtoto wa watu, halafu unaikataa. Kipindi unakula starehe hukujua kuwa Kuna kitu kinaitwa mimba???. Mtoto akishakuwa ndiyo mnakuja kuja huyu mtoto wangu, huku hujui hata amekuaje kuaje kufikia umri huo. Ww ni wa kupigwa kabisa.

8: Mwanaume unalia Lia mapenzi tu, Kila siku nyuzi za wanaume kulia na kulizwa mapenzi. Kazi yako kutafuta Hela, mpenzi yatakukutia mbeleni. Wajibu wako ni kutongoza yyt yule umtakaye na sio kulia Lia mapenzi kisa mtu mmoja ambaye ameamua kufanya yake, nawe tafuta wako.

9: Chumba Cha mwanaume ni kichafu hatari, usafi ni mara 1 Kwa mwezi. Soksi zake Sasa zitazame huwezi ata kuzinusa Yani. Unamsubiri mtoto wa watu tena ambaye humpi huduma yoyote aje akufulie na huduma akupe. Mwanaume kuwa smart bhana. Kuwa nadhifu kabisa, hata ukionekana mtaani, unakubalika. Hata kama huna Hela.

10: Mwanaume unakaa kabisa unajisifia tena mbele ya wanaume wenzio, eti ooh yule manzi acha kabisa, kafa kaoza kwangu, ananipa chochote nachotaka, hata tukitoka out yeye ndiyo ananipenyezea pesa Ili Mimi nilipe nionekane nimelipa Mimi kidume, nguo ananinunulia mpaka boksa. Hapo huyo mwanaume yupo Nyumbani tu anakula na kulala. Eti ooh Mimi ni mzuri, hakuna mwanamke atanikataa, wenyeweee wananihonga.

Khaaaa Yani unajisifia kuhongwa na mtoto wa kike?, Mbona Kuna vijana wa hovyo Sana??. Yani ni bora hata yule muuza ndizi, akirudi anampa manzi ake shng 1000. Kuliko ww unayejisifu kupewa. Unajisifia uzuri eti, ata huwe kama amo rapa ukiwa na Hela hukataliwiii. Mtoto Wa kiume piga Kazi...Mwanaume wa ukweli hawez kukubali pesa ya mwanamke wake ata siku 1.

HONGERA SANA KWA WANAUME WANAOJIONGEZA HAPA DUNIANI. WAJENGEWE SANAMU LA PEKE YAO.
Pole umeandika kwa uchungu sana ila nasikitika kukuambia kwamba sifa zote ulizoorodhesha kwenye Uzi wako sio za WANAUME Bali WAVULANA ushauri wango kwako na wenzako muwe mna date na wanaume na sio wavulana.
 
Thubutuuuuuuuuu!
Sio hawa wa zama hizi.

Kama ambavo hatuwezi kuvumilia kuwapiga mizinga ndivo ambavo hawawezi kuvumilia kutaka utelezi



Cc Smart911
 
Back
Top Bottom