Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Lazima tukasirike haiwezekani mwanaume ufundishe wanawake kubania mbususu utadhani anazikatia VAT tra kama mabanda ya biasharaNgoja waje
Watashusha hasira hadi!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima tukasirike haiwezekani mwanaume ufundishe wanawake kubania mbususu utadhani anazikatia VAT tra kama mabanda ya biasharaNgoja waje
Watashusha hasira hadi!!
Shemale huyo kutoka hapo si ajabu kavaa thong au bikinijinsi yako tafadhali
Na ukisema ukweli utakufa na nyege zakoHakuna mwanaume anayekuja na Gia ya kuoa ili ampate msichana [emoji3][emoji3][emoji3] ila wanawake mnakuaga na zile sentensi za "sitaki kuchezewa" muhuni anabend kulingana na mahitaji [emoji3] kazi ibaki kwako sasa binti mfalme ! Nakazia kwenye point ya kwanza na ya pili
Acha ngonjera mama ukitongozwa ukikubali, kinachofuata ni kusakata mbususu kwa kwenda mbele.1: Mwanaume unashindwa kuvumilia sex mpaka ndoa... Na badala yake umetongoza Leo baada ya wiki unataka starehe ya mwili. Wewe si useme tu kuwa hitaji lako ni sex tu basi na acha kuzunguka zunguka kuwa nataka kuoa?
2: Mwanaume unatongoza, umekubaliwa tayari. Unaanza kuuliza vipi Sasa tutalala pamoja lini?. Ilhali unaombwa elfu 5 tu , huna unaitafuta mwezi mzima. Unafikiri Kuna mdada atakufikiria kweli?
3: Unaenda Nyumbani kwa mwanamke wako, unakaa wiki, hujiongezi Wala nini. Unatumia dawa yake ya mswaki, maji yake, Taulo lake, msosi wake, tena unakaa kabisa unabadili na chaneli unavyotaka wewe. Na simu unachaji kabisa. Hiiii Yani huoni aibu ilhali hujachangia hata sent 5??. Unaombwa pesa ya umeme unasema sina, Sasa unapata wapi nguvu ya kukaa kwake wiki nzima huku huna mchango wwte, zaidi ya show tu?
4: Mwanamke wako anakuambia "baby nna njaa". Eti unamjibu "chukua chakula ule". Au " hapo Nyumbani kwani hakuna chakula". Unatakiwa ujiongeze utume pesa ya kula. Mbona mambo mengine yanaeleweka. Unaambiwa "naumwa" tuma pesa ya hospitali na sio nenda hospital.
5: Unaombwa pesa kidogo kidogo tuuu ya majukumu yake, unasema yule mwanamke Malaya. Sasa baba unataka ule uroda bila kuhudumia?. Oooh Kuna mapenzi bila pesa, hahahaha nicheke Sana, hivi unaweza kwenda lodge bila pesa wewe?. Unaweza kwenda out bila pesa wewe?
6: Mkeo mjamzito, unatoka unaenda kutembea na wanawake wa nje, hivi unashindwa kuvumilia ata miez 3 kweli?... Uvumilivu mbona hamuna nyie
7: Mwanaume unampa mimba mtoto wa watu, halafu unaikataa. Kipindi unakula starehe hukujua kuwa Kuna kitu kinaitwa mimba???. Mtoto akishakuwa ndiyo mnakuja kuja huyu mtoto wangu, huku hujui hata amekuaje kuaje kufikia umri huo. Ww ni wa kupigwa kabisa.
8: Mwanaume unalia Lia mapenzi tu, Kila siku nyuzi za wanaume kulia na kulizwa mapenzi. Kazi yako kutafuta Hela, mpenzi yatakukutia mbeleni. Wajibu wako ni kutongoza yyt yule umtakaye na sio kulia Lia mapenzi kisa mtu mmoja ambaye ameamua kufanya yake, nawe tafuta wako.
9: Chumba Cha mwanaume ni kichafu hatari, usafi ni mara 1 Kwa mwezi. Soksi zake Sasa zitazame huwezi ata kuzinusa Yani. Unamsubiri mtoto wa watu tena ambaye humpi huduma yoyote aje akufulie na huduma akupe. Mwanaume kuwa smart bhana. Kuwa nadhifu kabisa, hata ukionekana mtaani, unakubalika. Hata kama huna Hela.
10: Mwanaume unakaa kabisa unajisifia tena mbele ya wanaume wenzio, eti ooh yule manzi acha kabisa, kafa kaoza kwangu, ananipa chochote nachotaka, hata tukitoka out yeye ndiyo ananipenyezea pesa Ili Mimi nilipe nionekane nimelipa Mimi kidume, nguo ananinunulia mpaka boksa. Hapo huyo mwanaume yupo Nyumbani tu anakula na kulala. Eti ooh Mimi ni mzuri, hakuna mwanamke atanikataa, wenyeweee wananihonga.
Khaaaa Yani unajisifia kuhongwa na mtoto wa kike?, Mbona Kuna vijana wa hovyo Sana??. Yani ni bora hata yule muuza ndizi, akirudi anampa manzi ake shng 1000. Kuliko ww unayejisifu kupewa. Unajisifia uzuri eti, ata huwe kama amo rapa ukiwa na Hela hukataliwiii. Mtoto Wa kiume piga Kazi...Mwanaume wa ukweli hawez kukubali pesa ya mwanamke wake ata siku 1.
HONGERA SANA KWA WANAUME WANAOJIONGEZA HAPA DUNIANI. WAJENGEWE SANAMU LA PEKE YAO.
Nashukuru best binafsi sipendi maoni yangu yaendeshwe na mihemko ya watu wengine napenda kutoa hoja kutokana kile kilichopo kichwani kwanguAngalau wewe una maneno mazuri. We ni mwanaume 1 na nusu [emoji2]
8: Mwanaume unalia Lia mapenzi tu, Kila siku nyuzi za wanaume kulia na kulizwa mapenzi. Kazi yako kutafuta Hela, mpenzi yatakukutia mbeleni. Wajibu wako ni kutongoza yyt yule umtakaye na sio kulia Lia mapenzi kisa mtu mmoja ambaye ameamua kufanya yake, nawe tafuta wako.
Asante studio 🤣Hakuna chamaana ulichoandika apa unajua uvumilivu WA mwanaume unapimwa kwenye nn kama bwanaako akuudumiii tafuta pesa yako Acha kuja kulia Lia apa nikutongoze alafu unizungushe kunipa Papa maana yake nn sasa c ungenikataa Tu et ndoa ww ni bikra Hadi naisubiri ndoa kiazi kabisa
Tafta chako wewe kulia lia huhongwi hela ni mambo ya kishamba. Ma super woman wanajituma sana.1: Mwanaume unashindwa kuvumilia sex mpaka ndoa... Na badala yake umetongoza Leo baada ya wiki unataka starehe ya mwili. Wewe si useme tu kuwa hitaji lako ni sex tu basi na acha kuzunguka zunguka kuwa nataka kuoa?
2: Mwanaume unatongoza, umekubaliwa tayari. Unaanza kuuliza vipi Sasa tutalala pamoja lini?. Ilhali unaombwa elfu 5 tu , huna unaitafuta mwezi mzima. Unafikiri Kuna mdada atakufikiria kweli?
3: Unaenda Nyumbani kwa mwanamke wako, unakaa wiki, hujiongezi Wala nini. Unatumia dawa yake ya mswaki, maji yake, Taulo lake, msosi wake, tena unakaa kabisa unabadili na chaneli unavyotaka wewe. Na simu unachaji kabisa. Hiiii Yani huoni aibu ilhali hujachangia hata sent 5??. Unaombwa pesa ya umeme unasema sina, Sasa unapata wapi nguvu ya kukaa kwake wiki nzima huku huna mchango wwte, zaidi ya show tu?
4: Mwanamke wako anakuambia "baby nna njaa". Eti unamjibu "chukua chakula ule". Au " hapo Nyumbani kwani hakuna chakula". Unatakiwa ujiongeze utume pesa ya kula. Mbona mambo mengine yanaeleweka. Unaambiwa "naumwa" tuma pesa ya hospitali na sio nenda hospital.
5: Unaombwa pesa kidogo kidogo tuuu ya majukumu yake, unasema yule mwanamke Malaya. Sasa baba unataka ule uroda bila kuhudumia?. Oooh Kuna mapenzi bila pesa, hahahaha nicheke Sana, hivi unaweza kwenda lodge bila pesa wewe?. Unaweza kwenda out bila pesa wewe?
6: Mkeo mjamzito, unatoka unaenda kutembea na wanawake wa nje, hivi unashindwa kuvumilia ata miez 3 kweli?... Uvumilivu mbona hamuna nyie
7: Mwanaume unampa mimba mtoto wa watu, halafu unaikataa. Kipindi unakula starehe hukujua kuwa Kuna kitu kinaitwa mimba???. Mtoto akishakuwa ndiyo mnakuja kuja huyu mtoto wangu, huku hujui hata amekuaje kuaje kufikia umri huo. Ww ni wa kupigwa kabisa.
8: Mwanaume unalia Lia mapenzi tu, Kila siku nyuzi za wanaume kulia na kulizwa mapenzi. Kazi yako kutafuta Hela, mpenzi yatakukutia mbeleni. Wajibu wako ni kutongoza yyt yule umtakaye na sio kulia Lia mapenzi kisa mtu mmoja ambaye ameamua kufanya yake, nawe tafuta wako.
9: Chumba Cha mwanaume ni kichafu hatari, usafi ni mara 1 Kwa mwezi. Soksi zake Sasa zitazame huwezi ata kuzinusa Yani. Unamsubiri mtoto wa watu tena ambaye humpi huduma yoyote aje akufulie na huduma akupe. Mwanaume kuwa smart bhana. Kuwa nadhifu kabisa, hata ukionekana mtaani, unakubalika. Hata kama huna Hela.
10: Mwanaume unakaa kabisa unajisifia tena mbele ya wanaume wenzio, eti ooh yule manzi acha kabisa, kafa kaoza kwangu, ananipa chochote nachotaka, hata tukitoka out yeye ndiyo ananipenyezea pesa Ili Mimi nilipe nionekane nimelipa Mimi kidume, nguo ananinunulia mpaka boksa. Hapo huyo mwanaume yupo Nyumbani tu anakula na kulala. Eti ooh Mimi ni mzuri, hakuna mwanamke atanikataa, wenyeweee wananihonga.
Khaaaa Yani unajisifia kuhongwa na mtoto wa kike?, Mbona Kuna vijana wa hovyo Sana??. Yani ni bora hata yule muuza ndizi, akirudi anampa manzi ake shng 1000. Kuliko ww unayejisifu kupewa. Unajisifia uzuri eti, ata huwe kama amo rapa ukiwa na Hela hukataliwiii. Mtoto Wa kiume piga Kazi...Mwanaume wa ukweli hawez kukubali pesa ya mwanamke wake ata siku 1.
HONGERA SANA KWA WANAUME WANAOJIONGEZA HAPA DUNIANI. WAJENGEWE SANAMU LA PEKE YAO.
Hivi nyie wanawake kwanin msitafute pesa zenu wenyewe kwanini mtake kuhongwa tu ilhali tukinyanduana ni wote tunapata raha.Siku hizi ukimtongoza mwanamke dk sifuri kakuhamishia shida zake,ila iko hivi nyie wanawake; mwanaume akipenda anahonga mwenyewe wala hashurutishwi.Wanawake wanaojua kuzisaka pesa wapo na Mungu awabariki[emoji120]
#3. Nyie mkija kwetu huwa mnajiongeza zaidi ya kubeba kanga huku mkitegemea hata wanja mnunuliwe?1: Mwanaume unashindwa kuvumilia sex mpaka ndoa... Na badala yake umetongoza Leo baada ya wiki unataka starehe ya mwili. Wewe si useme tu kuwa hitaji lako ni sex tu basi na acha kuzunguka zunguka kuwa nataka kuoa?
2: Mwanaume unatongoza, umekubaliwa tayari. Unaanza kuuliza vipi Sasa tutalala pamoja lini?. Ilhali unaombwa elfu 5 tu , huna unaitafuta mwezi mzima. Unafikiri Kuna mdada atakufikiria kweli?
3: Unaenda Nyumbani kwa mwanamke wako, unakaa wiki, hujiongezi Wala nini. Unatumia dawa yake ya mswaki, maji yake, Taulo lake, msosi wake, tena unakaa kabisa unabadili na chaneli unavyotaka wewe. Na simu unachaji kabisa. Hiiii Yani huoni aibu ilhali hujachangia hata sent 5??. Unaombwa pesa ya umeme unasema sina, Sasa unapata wapi nguvu ya kukaa kwake wiki nzima huku huna mchango wwte, zaidi ya show tu?
4: Mwanamke wako anakuambia "baby nna njaa". Eti unamjibu "chukua chakula ule". Au " hapo Nyumbani kwani hakuna chakula". Unatakiwa ujiongeze utume pesa ya kula. Mbona mambo mengine yanaeleweka. Unaambiwa "naumwa" tuma pesa ya hospitali na sio nenda hospital.
5: Unaombwa pesa kidogo kidogo tuuu ya majukumu yake, unasema yule mwanamke Malaya. Sasa baba unataka ule uroda bila kuhudumia?. Oooh Kuna mapenzi bila pesa, hahahaha nicheke Sana, hivi unaweza kwenda lodge bila pesa wewe?. Unaweza kwenda out bila pesa wewe?
6: Mkeo mjamzito, unatoka unaenda kutembea na wanawake wa nje, hivi unashindwa kuvumilia ata miez 3 kweli?... Uvumilivu mbona hamuna nyie
7: Mwanaume unampa mimba mtoto wa watu, halafu unaikataa. Kipindi unakula starehe hukujua kuwa Kuna kitu kinaitwa mimba???. Mtoto akishakuwa ndiyo mnakuja kuja huyu mtoto wangu, huku hujui hata amekuaje kuaje kufikia umri huo. Ww ni wa kupigwa kabisa.
8: Mwanaume unalia Lia mapenzi tu, Kila siku nyuzi za wanaume kulia na kulizwa mapenzi. Kazi yako kutafuta Hela, mpenzi yatakukutia mbeleni. Wajibu wako ni kutongoza yyt yule umtakaye na sio kulia Lia mapenzi kisa mtu mmoja ambaye ameamua kufanya yake, nawe tafuta wako.
9: Chumba Cha mwanaume ni kichafu hatari, usafi ni mara 1 Kwa mwezi. Soksi zake Sasa zitazame huwezi ata kuzinusa Yani. Unamsubiri mtoto wa watu tena ambaye humpi huduma yoyote aje akufulie na huduma akupe. Mwanaume kuwa smart bhana. Kuwa nadhifu kabisa, hata ukionekana mtaani, unakubalika. Hata kama huna Hela.
10: Mwanaume unakaa kabisa unajisifia tena mbele ya wanaume wenzio, eti ooh yule manzi acha kabisa, kafa kaoza kwangu, ananipa chochote nachotaka, hata tukitoka out yeye ndiyo ananipenyezea pesa Ili Mimi nilipe nionekane nimelipa Mimi kidume, nguo ananinunulia mpaka boksa. Hapo huyo mwanaume yupo Nyumbani tu anakula na kulala. Eti ooh Mimi ni mzuri, hakuna mwanamke atanikataa, wenyeweee wananihonga.
Khaaaa Yani unajisifia kuhongwa na mtoto wa kike?, Mbona Kuna vijana wa hovyo Sana??. Yani ni bora hata yule muuza ndizi, akirudi anampa manzi ake shng 1000. Kuliko ww unayejisifu kupewa. Unajisifia uzuri eti, ata huwe kama amo rapa ukiwa na Hela hukataliwiii. Mtoto Wa kiume piga Kazi...Mwanaume wa ukweli hawez kukubali pesa ya mwanamke wake ata siku 1.
HONGERA SANA KWA WANAUME WANAOJIONGEZA HAPA DUNIANI. WAJENGEWE SANAMU LA PEKE YAO.