Hivi kwanini wanaume wa zama hizi sio wavumilivu, na hawajiongezi?

Hivi kwanini wanaume wa zama hizi sio wavumilivu, na hawajiongezi?

Hv unajua zamani mtu anaoa akishabalehe tuu
Mtoa malalamiko hajiu zamani wazazi wetu hawakupitia mifumo tunayo pitia kizaz cha sasa cha kulipiana kodi ya nyumba kununuliana gas wasicha wazamani walikuawa hawatoki chini ya uangalizi wa wazaz kwenda mkoa mwingine kujitafutia maisha bila kuwa na ndugu uko aendapo, kwaiyo mtoa mada husijaribu kulinga nisha maisha ya vijana wa zamani na vijana wa sasa,nimuulize mtoa mada Mama kabla kabla haja olewa alikuwa anaishi Kwa wazaz au alikodi chumba akawa anaishi pekeake
 
Hakuna chamaana ulichoandika apa unajua uvumilivu WA mwanaume unapimwa kwenye nn kama bwanaako akuudumiii tafuta pesa yako Acha kuja kulia Lia apa nikutongoze alafu unizungushe kunipa Papa maana yake nn sasa c ungenikataa Tu et ndoa ww ni bikra Hadi naisubiri ndoa kiazi kabisa
Msg sent
 
Naona umeandika uzi wote unatetea umalaya. Hivi hujui hata dini zinesema mwanamke mpumbavu ataiharibu nyumba yake kwa mikono yake yeye mwenyewe. I see you single mother
Labda utanipa wewe
 
No 3,6 na 9 nakubaliana na Wewe Hilo hizo zingine zinaonesha upungufu au Wanawake wengi kushindwa kutumia au kuendana na nyakati Ukiwa kama mwanamke mwenye ndoto kubwa za kimaisha ikiwemo kuolewa unatakiwa baadhi ya vitu ufanyiwe kazi mahusiano yanahitaji kusaidiana sio tu kupokea kila kitu kea mwanaume tunaiita Win Win situation Ndio yanayodumu kwasasa amsaidie mwanaume wako pale unapoona kakwama kama ambavyo anavyokuhudumia pale anapokuwa na hela jitahidi pia uwe mshauri mzuri kea mwanaume.Mwanaume anaweza kuwa useful kwako unapoonesha matendo mazuri kwake unapokuwa mtu wakuthamini maslahi sana kwenye mahusiano usifikiri huyo mwanaume atakupenda
Angalau wewe una maneno mazuri. We ni mwanaume 1 na nusu [emoji2]
 
Siku ambayo wanaume tutakua na uwezo wa kuvumilia kutoomba sex kabla ya ndoa ni pale ambapo nyinyi mtavumilia kutokumuomba mwanaume pesa kabla ya kutoa mbususu ichakatwe.
Kwa hiyo bila bila cyo?.
 
Hv unajua zamani mtu anaoa akishabalehe tuu
Najua na kulikuwa hakuna udanganyifu kama wa Sasa. Hizi kesi za kutekelezewa mimba au za kuoa asiye bikra zilikuwa hazipo kabisa.
 
Mtoa mada naona unatetea kujiuza...unadharau 5000 ambayo hata wewe mwenyewe huna.
Fanya kazi tumeshtuka siku hizi, toa mbunye upewe hela full stop.
Wapi nilipotelea hapo? Badilika ndugu yng
 
Hivi nyie wanawake kwanin msitafute pesa zenu wenyewe kwanini mtake kuhongwa tu ilhali tukinyanduana ni wote tunapata raha.Siku hizi ukimtongoza mwanamke dk sifuri kakuhamishia shida zake,ila iko hivi nyie wanawake; mwanaume akipenda anahonga mwenyewe wala hashurutishwi.Wanawake wanaojua kuzisaka pesa wapo na Mungu awabariki[emoji120]
Tubarikiwe Sana. Na Mimi nimesemea anayejiongeza, sijasema anayeomba omba Kila siku. Au anayehamishia matatizo ya ukoo wake kwenu nyinyi.
 
Hakuna mwanaume anayekuja na Gia ya kuoa ili ampate msichana [emoji3][emoji3][emoji3] ila wanawake mnakuaga na zile sentensi za "sitaki kuchezewa" muhuni anabend kulingana na mahitaji [emoji3] kazi ibaki kwako sasa binti mfalme ! Nakazia kwenye point ya kwanza na ya pili
 
Back
Top Bottom