my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,397
Kwanini niteme mate chini?We dada wewee sijui kaka,tema mate chinii,...
Ufupi hauna mwanzo au mwisho mtu ukiwa mfupi unajijua tu kama wewe mfupiMwisho wa ufupi ni urefu gani?
Hata kama hawajajiumba mtu unatakiwa kuvaa kulingana na ulivoKama walijiumba wenyewe sawa ,Mimi pia nakuunga mkono mtoa mada.
Ngoja kwanza waje halafu nitakwambia kwanini...Kwanini niteme mate chini?
Usikasirike ni ushauri tu πMungu alivomjuzi atakujibu soon
Hivi nasi wanaume warefu wembamba tukomenti wapiIla JF hakuna anayebakigi salama,
Yaaaani kwa namna yoyote lazima kuna siku utaanzishwa uzi ambao deep down utakugusa tu,tena utakugusa kwa namna mbaya
Haya,leo zamu ya wafupi [emoji23][emoji23][emoji23]
Uzuri kati ya wafupi watakaoboreka leo,watakuwepo wafupi waliowahi kuanzisha mada kuponda single mothers [emoji1787]
Bobrisk ndio nini?Naomba tujue jinsia yako kwanza isije ikawa bobrisk
Ufupi ni nini na unalingasha na nini? Mbona Mzee Mwinyi pamoja na ufupi wake anapendeza? Je baba yako ni mfupi au mrefu na kwa vigezo vipi?Hivi kwanini wanaume wafupi wakivaa suti hawapendezi. Hta hawakai vizuri wanakuwa km wametundikwa au wamefunikwa hawapendezi hta kidogo. Unaweza kusema ni kafurushi sijui cha nn. Wanakuwa hawaeleweki. We km unajijua mfupi usivae suti jaman hupendezi unakuwa kichekesho.
Ona hawa wakaka warefu suti zilivokaa vizuri wamependeza sio km vimbilikimo View attachment 1773693View attachment 1773694View attachment 1773695