Hivi kwanini wanaume wafupi hawapendezi?

Hivi kwanini wanaume wafupi hawapendezi?

Hivi kwanini wanaume wafupi wakivaa suti hawapendezi. Hta hawakai vizuri wanakuwa km wametundikwa au wamefunikwa hawapendezi hta kidogo. Unaweza kusema ni kafurushi sijui cha nn. Wanakuwa hawaeleweki. We km unajijua mfupi usivae suti jaman hupendezi unakuwa kichekesho.


Ona hawa wakaka warefu suti zilivokaa vizuri wamependeza sio km vimbilikimo View attachment 1773693View attachment 1773694View attachment 1773695
Hizi bangi mnazovuta msiwe mnachanganya na ugoro.
 
Hivi kwanini wanaume wafupi wakivaa suti hawapendezi. Hta hawakai vizuri wanakuwa km wametundikwa au wamefunikwa hawapendezi hta kidogo. Unaweza kusema ni kafurushi sijui cha nn. Wanakuwa hawaeleweki. We km unajijua mfupi usivae suti jaman hupendezi unakuwa kichekesho.


Ona hawa wakaka warefu suti zilivokaa vizuri wamependeza sio km vimbilikimo View attachment 1773693View attachment 1773694View attachment 1773695
Basi sawa vuta subira kidogo, Muumba wao atakujibu
 
Ufupi ni nini na unalingasha na nini? Mbona Mzee Mwinyi pamoja na ufupi wake anapendeza? Je baba yako ni mfupi au mrefu na kwa vigezo vipi?
Nilidhani Kagame ni mrefu sana baada ya kusimama na Kikwete, ila Kagame aliposimama na Obama, akawa mfupi kwa...

Nikajua Mwinyi ni mfupi, ila aliposimama na Ben, akawa mrefu kuliko...

Kwa ujumla, andunje ni mfupi
 
Hivi kwanini wanaume wafupi wakivaa suti hawapendezi. Hta hawakai vizuri wanakuwa km wametundikwa au wamefunikwa hawapendezi hta kidogo. Unaweza kusema ni kafurushi sijui cha nn. Wanakuwa hawaeleweki. We km unajijua mfupi usivae suti jaman hupendezi unakuwa kichekesho.


Ona hawa wakaka warefu suti zilivokaa vizuri wamependeza sio km vimbilikimo View attachment 1773693View attachment 1773694View attachment 1773695
Kama hawapendezi ni kwako na ujizungumzie peke yako, unadhani ungepata jeuri ya kuwagundua warefu kama wasingekuepo wafupi
 
Mwacheni tu na ujuaji wake,Ana criticize viumbe wa Mungu,Mungu fundi atkufurahisha
 
Back
Top Bottom