Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Hao wana majungu tu. Suti kama ni fupi na mtu ni mfupi si sawa tu.Nyie tulieni kwa leo tujadili wanaume wafupi na suti zao š¤£
Lakini mbona Chaliifrancisco na ule ufupi wake huwa anawaka sana na suti?tena anapendelea suti nyeupe