Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Aende na Nigeria pia,.akutane na vitu...lolHongera sana kwa vile mlijiumba. Kwani urefu akili au ni majaliwa. Urefu na ufupi vyote vina faida na hasara zake so to speak usijisifu kana kwamba ulituma maombi kuumbwa hivyo. Je sura zenu nazo vipi? Kama ukitaka kushindana na kuringia urefu si uende Sudan ya Kusini uone.