AKILI KIJIKO
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 405
- 589
wewe ndo umeua kabisa aisee duuuuhKwa sababu moyo wao uko karibu na mfuko wa mavi kwa hio kutokana na joto la oale muda wote wanakua na hasira.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe ndo umeua kabisa aisee duuuuhKwa sababu moyo wao uko karibu na mfuko wa mavi kwa hio kutokana na joto la oale muda wote wanakua na hasira.
Tutakujengea sanamu lako lodge kubwa pale katiAf wanaume warefu asilimia kubwa wana vipenseli ya kakitu kembamba kanaelea elea tu ila hawa 5 ft kitu kinene urefu wastani,kwakweli kwa ma andunje sibanduki ata wakivaa kama jokeri.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Acha blah blah mtu ukiwa mfupi unajijua tu. Hta mzee mwinyi hapendezi. Ndio baba yngu mrefu kwetu hakuna watu wafupi. Mimi tu mwanamke lakin nna 1.72mUfupi ni nini na unalingasha na nini? Mbona Mzee Mwinyi pamoja na ufupi wake anapendeza? Je baba yako ni mfupi au mrefu na kwa vigezo vipi?
Nyie tulieni kwa leo tujadili wanaume wafupi na suti zao 🤣Hivi nasi wanaume warefu wembamba tukomenti wapi
Huyo ni daktari?Nyie tulieni kwa leo tujadili wanaume wafupi na suti zao [emoji1787]
Lakini mbona Chaliifrancisco na ule ufupi wake huwa anawaka sana na suti?tena anapendelea suti nyeupe
Hapana 🤣🤣Huyo ni daktari?
Wee sio mfupi sana5.6 mkuu
[emoji1787][emoji1787]Hakuna aliyesalama, dhambi ya ubaguz inatafuna pande zoteIla JF hakuna anayebakigi salama,
Yaaaani kwa namna yoyote lazima kuna siku utaanzishwa uzi ambao deep down utakugusa tu,tena utakugusa kwa namna mbaya
Haya,leo zamu ya wafupi [emoji23][emoji23][emoji23]
Uzuri kati ya wafupi watakaoboreka leo,watakuwepo wafupi waliowahi kuanzisha mada kuponda single mothers [emoji1787]
Mtu mfupi atanifanya nini mimi? We mbona unataka niseme visivosemwa 😁Kutakuwa na kitu kibaya umefanyiwa na mtu wa kimo hicho mkuu sasa hasira zako umewajumuisha wote
Btw hilo vazi lipo kwa watu wa vimo vyote na linampendeza yeyote hasa akipatia vipimo vyake maana nguo humpendeza mtu ikiwa sahihi kivipimo
Bangi ndo nn?Hizi bangi mnazovuta msiwe mnachanganya na ugoro.
Kamwinyi kafupi ila kamependeza aisee!Kwani mrefu ni kuanzia futi ngapi View attachment 1773752
[emoji1787][emoji1787]Hakuna aliyesalama, dhambi ya ubaguz inatafuna pande zote
Usiwe unavaa suti kaka 😁Basi sawa vuta subira kidogo, Muumba wao atakujibu
Umeshasema mtoto. mtoto huwezi kum classify km mrefu au mfupi Kwa sababu bado yko kwenye ukuajiKupendeza kunatokana na fikra za mtazamaji ndio maana kuna vitoto vya miaka mitano vifupi na ukimvisha suti anapendeza