Mara nyingi makundi haya matatu huguswa mara kibao:-Ila JF hakuna anayebakigi salama,
Yaaaani kwa namna yoyote lazima kuna siku utaanzishwa uzi ambao deep down utakugusa tu,tena utakugusa kwa namna mbaya
Haya,leo zamu ya wafupi πππ
Uzuri kati ya wafupi watakaoboreka leo,watakuwepo wafupi waliowahi kuanzisha mada kuponda single mothers π€£
Vbonge hatupo salama.... Kutwa tupo kwa dscussn[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mara nyingi makundi haya matatu huguswa mara kibao:-
1.singo maza
2.Vijana wenye umri mkubwa ambao bado wanaishi kwa wazazi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mavaz bhana!
Kwanza suti hapa duniani huwapendeza watu wachache sana,mimi nazani ambao niliwah kuwaona wamependezwa na suti hawazid hata 10.
Afu suruali kwa wadada pia ambao huwa inawapendeza ni wachache sana,mwanamke kama hana hips hapaswi kuvaa suruali
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu mtoa mada atakuwa mshamba!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] andaa maji ya kuoga, povu wanakuja naloUko sahihi Sana, havipendezi na vina gubu hatari, utadhani vina mimba changa ovyo kabisa hivyo vijitu
Daaah, hii dunia bwana. Namuona hapo mzee magu.Kwani mrefu ni kuanzia futi ngapi View attachment 1773752
π π πIla JF hakuna anayebakigi salama,
Yaaaani kwa namna yoyote lazima kuna siku utaanzishwa uzi ambao deep down utakugusa tu,tena utakugusa kwa namna mbaya
Haya,leo zamu ya wafupi πππ
Uzuri kati ya wafupi watakaoboreka leo,watakuwepo wafupi waliowahi kuanzisha mada kuponda single mothers π€£
Livemungu alivomjuzi atakujibu soon katika kizazi chako
[emoji2357][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji2089][emoji160]nmecheka sanaNaomba tujue jinsia yako kwanza isije ikawa bobrisk
Kwani ni wapi nilisema walijiumba mwanangu kama siyo kusingiziana bure?Mkuu usilalamike sana,mbona hapa kila siku utasikia mwanamke ana sura ya babake simtaki au mwanamke hana tako mimi simtaki je kwan hao nao wamejiumba??
Haki iwe sawa, mwanamke asie na sura nzuri au tako hakujiumba na wanaume wafupi au warefu hawajajiumba nyie wanaume ndio wa kwanza kutoa kasoro za kimaumbile kwa wanawake
Sent using Jamii Forums mobile app
Usichokijua wanaume wanaaongoza kwa kupendwa sio hata hao warefu! Wanaume wafupi wako so charismatic!!! Wana vitu vinavyowafanya wanawake wengi happy wakiwa aroundπ π π wacheshi sana mf. Jotikuna jamaa alinipa research kwamba wanaume wafupi ndio huongoza kwa mafanikio kwasababu wanafight sana ili washindane na warefu kwenye kupendwa na mademu. ukweli ni kwamba, kama wanaume wote wangekuwa na pesa kiwango sawa wakapangwa mstari hapo, wanawake wakaambiwa wakachague nani awaoe, wafupi wangekuwa single fathers.
Tusredi twingine twa kiboya sana.
Wewe umekaonaje? Kakiboya kweli.Eti tusredi [emoji23][emoji23][emoji23]
kwani huyu mtoa mada ni single mother nauliza tu mkuu?Ila JF hakuna anayebakigi salama,
Yaaaani kwa namna yoyote lazima kuna siku utaanzishwa uzi ambao deep down utakugusa tu,tena utakugusa kwa namna mbaya
Haya,leo zamu ya wafupi [emoji23][emoji23][emoji23]
Uzuri kati ya wafupi watakaoboreka leo,watakuwepo wafupi waliowahi kuanzisha mada kuponda single mothers [emoji1787]
mungu alivomjuzi atakujibu soon katika kizazi chako
Kama wangechagua warefu tupu means pia single mothers wangekua wengi sababu warefu ni wachachekuna jamaa alinipa research kwamba wanaume wafupi ndio huongoza kwa mafanikio kwasababu wanafight sana ili washindane na warefu kwenye kupendwa na mademu. ukweli ni kwamba, kama wanaume wote wangekuwa na pesa kiwango sawa wakapangwa mstari hapo, wanawake wakaambiwa wakachague nani awaoe, wafupi wangekuwa single fathers.