Hivi kwanini wanawake wa Tz wanaamini uongo Sana , Je Mwalimu wao kipofu?

Hivi kwanini wanawake wa Tz wanaamini uongo Sana , Je Mwalimu wao kipofu?

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Nipo hapa Chuo X Kuna Mwanamke nimemwambia Mimi ni Mtumishi wa Serikali nafanya Kazi ofisi ya waziri Mkuu .

Wakati tupo Katika maongezi imeingia message kwenye simu yangu , jina limeandikwa Mh Mbunge , ukweli ni Kwamba huyo sio Mbunge wa Serikali ya JMT Bali ni mh Mbunge wa Serikali ya wanafunzi Jimbo la hostel za nje😁
Waliosoma chuo wanawajua Sasa kuona nawasiliana na Mh Mbunge huku nikimwambia Nina appointment na waziri Mkuu ,Basi huyu Mwanamke kaamini Mimi ni mtu mkubwa Sana . Kid


Sasa kusema ukweli huyu Mwanamke kaanza kuniganda Sana tena Sana . So this is too wonders , mtu mzima kukosa umakini wa kujua ukweli na uongo.

Maana Yake Akili imeanza kumtuma kuwa Mimi ni mtu mkubwa na ameshaanza kupiga hesabu za kuokota Dodo chini ya Mpapai.


Kweli wanawake ni viumbe dhaifu Sana .
 
wanawake kama ulivyo kwa wanaume hupenda kusikia mambo mazuri, ya kuvutia, ya kufurahisha nafsi, maneno mazuri ya faraja, upendo, amani, furaha kusifiwa nk

Wanawake na wanaume wote tu hudanganyika kwa njia moja ama nyingine. Hujaona wanaume wanafilisika kwa kupambwa na kupelembwa.
 
Nipo hapa Chuo X Kuna Mwanamke nimemwambia Mimi ni Mtumishi wa Serikali nafanya Kazi ofisi ya waziri Mkuu .

Wakati tupo Katika maongezi imeingia message kwenye simu yangu , jina limeandikwa Mh Mbunge , ukweli ni Kwamba huyo sio Mbunge wa Serikali ya JMT Bali ni mh Mbunge wa Serikali ya wanafunzi Jimbo la hostel za nje😁
Waliosoma chuo wanawajua Sasa kuona nawasiliana na Mh Mbunge huku nikimwambia Nina appointment na waziri Mkuu ,Basi huyu Mwanamke kaamini Mimi ni mtu mkubwa Sana . Kid


Sasa kusema ukweli huyu Mwanamke kaanza kuniganda Sana tena Sana . So this is too wonders , mtu mzima kukosa umakini wa kujua ukweli na uongo.

Maana Yake Akili imeanza kumtuma kuwa Mimi ni mtu mkubwa na ameshaanza kupiga hesabu za kuokota Dodo chini ya Mpapai.


Kweli wanawake ni viumbe dhaifu Sana .
Ila nakupa ushauri wa bure, ukiwa na start-up office business card yako usiandike CEO, MD wala Chairman.

Andika marketing officer tu inatosha, utakuja kunishukuru.
 
wanawake kama ulivyo kwa wanaume hupenda kusikia mambo mazuri, ya kuvutia, ya kufurahisha nafsi, maneno mazuri ya faraja, upendo, amani, furaha kusifiwa nk

Wanawake na wanaume wote tu hudanganyika kwa njia moja ama nyingine. Hujaona wanaume wanafilisika kwa kupambwa na kupelembwa.
Sasa hapa weka tofauti ya wanaume na wavulana, elewa hili kwanza.
 
Mkuu nikiandika hivyo itanisogeza Sehemu Nzuri? Nipe hints mkuu
Unakwenda kwenye appointment na Bodaboda ya ubber halafu unatowa business card wewe ni CEO, huo ni mzaha.

Hizo tittle utazitumia baadaye ukianza kufuwa nguo dry cleaner na una kitoyota Spacio cha kupigia misele na hata hao mademu wala hautakuwa na haja kuwadanganya kwamba sijui upo serikalini, demu anachojali ni shopping yake na pocket money tu, hayo mengine unajirisha upepo tu.
 
Mkuu sisi gari hizi mark 2 corola kawaida sema nachokwama bado sijakaa Sehemu ile nataka Kama ya Kupata mil 1 kwa siku.
Unakwenda kwenye appointment na Bodaboda ya ubber halafu unatowa business card wewe ni CEO, huo ni mzaha.

Hizo tittle utazitumia baadaye ukianza kufuwa nguo dry cleaner na una kitoyota Spacio cha kupigia misele na hata hao mademu wala hautakuwa na haja kuwadanganya kwamba sijui upo serikalini, demu anachojali ni shopping yake na pocket money tu, hayo mengine unajirisha upepo tu.
 
Back
Top Bottom