dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
mie ni mpiga kinanda(keyboard)We unaimba au wewe producer
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mie ni mpiga kinanda(keyboard)We unaimba au wewe producer
"ukweli ni Kwamba huyo sio Mbunge wa Serikali ya JMT Bali ni mh Mbunge wa Serikali ya wanafunzi Jimbo la hostel za nje[emoji16]"Nipo hapa Chuo X Kuna Mwanamke nimemwambia Mimi ni Mtumishi wa Serikali nafanya Kazi ofisi ya waziri Mkuu .
Wakati tupo Katika maongezi imeingia message kwenye simu yangu , jina limeandikwa Mh Mbunge , ukweli ni Kwamba huyo sio Mbunge wa Serikali ya JMT Bali ni mh Mbunge wa Serikali ya wanafunzi Jimbo la hostel za nje[emoji16]
Waliosoma chuo wanawajua Sasa kuona nawasiliana na Mh Mbunge huku nikimwambia Nina appointment na waziri Mkuu ,Basi huyu Mwanamke kaamini Mimi ni mtu mkubwa Sana . Kid
Sasa kusema ukweli huyu Mwanamke kaanza kuniganda Sana tena Sana . So this is too wonders , mtu mzima kukosa umakini wa kujua ukweli na uongo.
Maana Yake Akili imeanza kumtuma kuwa Mimi ni mtu mkubwa na ameshaanza kupiga hesabu za kuokota Dodo chini ya Mpapai.
Kweli wanawake ni viumbe dhaifu Sana .
Hili nalo nenoHawakupewa vyote..... Utawadanganya kirahisi ila ufanisi wao kwenye kupiga mizinga hutoamini[emoji23]
Kua makini.....
Hili nalo mkaliangaliewanawake kama ulivyo kwa wanaume hupenda kusikia mambo mazuri, ya kuvutia, ya kufurahisha nafsi, maneno mazuri ya faraja, upendo, amani, furaha kusifiwa nk
Wanawake na wanaume wote tu hudanganyika kwa njia moja ama nyingine. Hujaona wanaume wanafilisika kwa kupambwa na kupelembwa.
well saidwanawake kama ulivyo kwa wanaume hupenda kusikia mambo mazuri, ya kuvutia, ya kufurahisha nafsi, maneno mazuri ya faraja, upendo, amani, furaha kusifiwa nk
Wanawake na wanaume wote tu hudanganyika kwa njia moja ama nyingine. Hujaona wanaume wanafilisika kwa kupambwa na kupelembwa.
Kwa kifupi wewe ni pipa na umekutana na mfuniko wako.
Ila ngoja nikumegee siri. Mkiwa mnatudanganya msidhani huwa hatujui hapa tunapigwa changa la macho tunajua vizuri tu. Sasa wewe hapo unadhani hajajua na wakati amechekelea atakupiga vizinga vya watu wazito.
Fanyeni tu Kazi Mtapata o
Pesa zenu za halali
Mimi sio mtu wa zinaa Japo sijaoa . Naelewa madhara ya zinaa Kama msomi mkubwa wa Quruan natumiaNa nyie oeni mtakula papuchi za halali.
Achenj zinaa, sana sana wewe ACHA ZINAA. Sawa?
Mimi sio mtu wa zinaa Japo sijaoa . Naelewa madhara ya zinaa Kama msomi mkubwa wa Quruan natumia
Muda wangu kuswali na kusoma vitabu that all sema hii issue leo imenitokea tu lakini siwezi kuongea uongo kwa ajili ya kupata Mwanamke never to me sex sio Sehemu ya Maisha yangu that way I prioritize my self and not anybody else.
Mkuu sisi gari hizi mark 2 corola kawaida sema nachokwama bado sijakaa Sehemu ile nataka Kama ya Kupata mil 1 kwa siku.
Mkuu mwaka 2030 unagombea Urais? Wa JMT.Upate milioni kwa siku unataka kununua Dunia?[emoji276]inatakiwa upate Elfu 5 tu kwa siku ili tuisome namba huku tukishuhudia ukipigwa mwingi