Hivi kwanini wanawake wa Tz wanaamini uongo Sana , Je Mwalimu wao kipofu?

"ukweli ni Kwamba huyo sio Mbunge wa Serikali ya JMT Bali ni mh Mbunge wa Serikali ya wanafunzi Jimbo la hostel za nje[emoji16]"

Ndio ukundundu wao huo. Ndio maana wanaendelea kuzalishwa ovyo. Piga mbususu hio mkuu
 
Hili nalo mkaliangalie
 
well said
 
Kwa kifupi wewe ni pipa na umekutana na mfuniko wako.

Ila ngoja nikumegee siri. Mkiwa mnatudanganya msidhani huwa hatujui hapa tunapigwa changa la macho tunajua vizuri tu. Sasa wewe hapo unadhani hajajua na wakati amechekelea atakupiga vizinga vya watu wazito.
 
Fanyeni tu Kazi Mtapata o
Pesa zenu za halali
 
Na nyie oeni mtakula papuchi za halali.
Achenj zinaa, sana sana wewe ACHA ZINAA. Sawa?
Mimi sio mtu wa zinaa Japo sijaoa . Naelewa madhara ya zinaa Kama msomi mkubwa wa Quruan natumia
Muda wangu kuswali na kusoma vitabu that all sema hii issue leo imenitokea tu lakini siwezi kuongea uongo kwa ajili ya kupata Mwanamke never to me sex sio Sehemu ya Maisha yangu that way I prioritize my self and not anybody else.
 

Safi sana.
 
Upate milioni kwa siku unataka kununua Dunia?[emoji276]inatakiwa upate Elfu 5 tu kwa siku ili tuisome namba huku tukishuhudia ukipigwa mwingi
Mkuu mwaka 2030 unagombea Urais? Wa JMT.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…