Hivi kwanini wanawake wengi hawanaga nauli ukiwaita kwako?

Hivi kwanini wanawake wengi hawanaga nauli ukiwaita kwako?

No
Na haiko hvo mkuu ila kwe majukumu ya kifedha uwajibike ndo unakua mwanaume haswa
Not hundred percent true cuz unajua ukiwa na mwanamke wa hivo kuna siku utakua na pesa nyingi kiasi kwamba pesa kwake na kwako sio tatizo au pale ambapo wewe utakua na hela nyingi sanaaa kiasi huhitaji pesa za mwanaume je bado utaendelea kuniambia uanaume ni pesa .Does money makes a a real, romantic ..caring man.Wat if I giv you milions everyday n not caring bout anythn else like your feeling n some sort of little means nuthn with you....wud that make me a man?
 
No

Not hundred percent true cuz unajua ukiwa na mwanamke wa hivo kuna siku utakua na pesa nyingi kiasi kwamba pesa kwake na kwako sio tatizo au pale ambapo wewe utakua na hela nyingi sanaaa kiasi huhitaji pesa za mwanaume je bado utaendelea kuniambia uanaume ni pesa .Does money makes a a real, romantic ..caring man.Wat if I giv you milions everyday n not caring bout anythn else like your feeling n some sort of little means nuthn with you....wud that make me a man?
Sasa umeweka na kimalkia kingi hapo ndugu yangu tutaelewana kweli unanipa shida ya kutafuta mkalimani
 
Starehe gharama, No free in this world.. Kwahyo ujitathimin wew, km unapenda starehe usiogope kugharamia
 
Starehe gharama, No free in this world.. Kwahyo ujitathimin wew, km unapenda starehe usiogope kugharamia
Kwa mantiki hiyo ntalipia na ukija kwangu kwa kukulipia wewe utakua ni chombo changu cha starehe...vipi uko wapi nikutumie nauli uje?
 
Yan kama wamerogwa hivi kweli mtu uniambie nije kwako na nauli nijilipie looh,,so papuch nkuletee bure tu hiyo kitu Hamna,,wanaume nawaambia tena kila mwanamke ana chembe chembe hai za kupenda pesa hata mkeo wa ndani asikufmdanganye mwanamke yeyote kuwa hajakupendea pesa that's a big liar wanawake tumeumbwa kupenda pesa jamani msitushutumu
Na kweli!!! Hiyo ni nature yetu tu kama ambavyo wanaume hawawezi kukaa na m'mke mmoja pekee basi na sisi nature yetu ndio hiyo, hivyo kila mmoja yampasa kumvumilia mwenzie tu ili twende sawa
 
Na kweli!!! Hiyo ni nature yetu tu kama ambavyo wanaume hawawezi kukaa na m'mke mmoja pekee basi na sisi nature yetu ndio hiyo, hivyo kila mmoja yampasa kumvumilia mwenzie tu ili twende sawa
Kwakweli tuvumiliane tu hakuna namna jamani
 
Sio natu
Na kweli!!! Hiyo ni nature yetu tu kama ambavyo wanaume hawawezi kukaa na m'mke mmoja pekee basi na sisi nature yetu ndio hiyo, hivyo kila mmoja yampasa kumvumilia mwenzie tu ili twende sawa[/QUOTE sio nature ni tabia...yenu ukisema nature unakosea.
 
Sio nature ni tabia yenu
Na kweli!!! Hiyo ni nature yetu tu kama ambavyo wanaume hawawezi kukaa na m'mke mmoja pekee basi na sisi nature yetu ndio hiyo, hivyo kila mmoja yampasa kumvumilia mwenzie tu ili twende sawa
 
Back
Top Bottom